Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Jana nimemaliza safari yangu ya kikazi ya siku 4. Nilianzia Dubai nikakaa siku 1 kisha nikaelekea Abu Dhabi nikakaa siku 2. Nikamalizia Qatar siku 1. Na kila mara nikiwa kwenye ndege narudi bongo kutokea UAE huwa najiuliza hilo swali, hivi sisi waafrika weusi tungepewa huo utajiri wa mafuta, je tungekua matajiri kama walivyo waarabu?
Tajiri pekee mweusi alieweza kutengeneza utajiri wa kutisha na kuwaogopesha wazungu na wa-asia kipindi kile alikua ni mwamba Mansa Musa. Huyu jamaa yeye aliweza kudeal na gold na ikamtoa. Tukipata Mansa Musa mwingine tukampa North mara au GGM basi tutegemee kuwa namba 1 kiuchumi.
Unajua kuna hela, mali na utajiri hivo ni vitu tofauti kabisa. Mfano wazungu wengi tunasema wana hela, lakini sio kwamba ni matajiri kama miamba ya UAE, hao kina elon, mara billgates, na wengineo stock exchange ikireverse kidogo tu utajiri wao unashuka.
Mfano kampuni ya apple ina thamani ya Trillion 3 kwa sasa, lkn ukiangalia assets wala hazifiki hata billion 300. So ni pesa za namba tu.
Sasa njoo UAE, wale ni visima vya mafuta ambapo value zao sio kama kwa makampuni ya USA. Na ndio maana ukifanya deal na mwarabu yoyote au kampuni yoyote ya UAE wale jamaa wanakulipa cash, na wala sio stock au stock options.
Kuna banks kubwa kadhaa zilitetereka mwaka 2023 lakini mwarabu akajaza cash wakarudi mzigoni.
Ukitaka kujua utajiri ni nini basi nenda UAE, hela sio utajiri. Haiwezekani mtu una 100m bank halafu unajibania bania kula misosi ya maana au kuendesha ndinga za maana. Wewe sio tajiri bali ni una hela tu bank. Kaangalie kufuru za UAE, unapishana na ferrari imepakwa gold mwanzo mwisho.
Kufuru za utajiri wa UAE hakuna pengine duniani utaziona, labda kidogo sana Monaco, Italy wanajitahidi ila wao wengi ni familia na kimafia na wauza sembe
Tajiri pekee mweusi alieweza kutengeneza utajiri wa kutisha na kuwaogopesha wazungu na wa-asia kipindi kile alikua ni mwamba Mansa Musa. Huyu jamaa yeye aliweza kudeal na gold na ikamtoa. Tukipata Mansa Musa mwingine tukampa North mara au GGM basi tutegemee kuwa namba 1 kiuchumi.
Unajua kuna hela, mali na utajiri hivo ni vitu tofauti kabisa. Mfano wazungu wengi tunasema wana hela, lakini sio kwamba ni matajiri kama miamba ya UAE, hao kina elon, mara billgates, na wengineo stock exchange ikireverse kidogo tu utajiri wao unashuka.
Mfano kampuni ya apple ina thamani ya Trillion 3 kwa sasa, lkn ukiangalia assets wala hazifiki hata billion 300. So ni pesa za namba tu.
Sasa njoo UAE, wale ni visima vya mafuta ambapo value zao sio kama kwa makampuni ya USA. Na ndio maana ukifanya deal na mwarabu yoyote au kampuni yoyote ya UAE wale jamaa wanakulipa cash, na wala sio stock au stock options.
Kuna banks kubwa kadhaa zilitetereka mwaka 2023 lakini mwarabu akajaza cash wakarudi mzigoni.
Ukitaka kujua utajiri ni nini basi nenda UAE, hela sio utajiri. Haiwezekani mtu una 100m bank halafu unajibania bania kula misosi ya maana au kuendesha ndinga za maana. Wewe sio tajiri bali ni una hela tu bank. Kaangalie kufuru za UAE, unapishana na ferrari imepakwa gold mwanzo mwisho.
Kufuru za utajiri wa UAE hakuna pengine duniani utaziona, labda kidogo sana Monaco, Italy wanajitahidi ila wao wengi ni familia na kimafia na wauza sembe