Huwa najiuliza swali, Endapo waafrika weusi tungepewa utajiri wa mafuta kama ilivyo kwa waarabu je tungeudumisha kama kinachoendelea UAE?

Huwa najiuliza swali, Endapo waafrika weusi tungepewa utajiri wa mafuta kama ilivyo kwa waarabu je tungeudumisha kama kinachoendelea UAE?

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
Jana nimemaliza safari yangu ya kikazi ya siku 4. Nilianzia Dubai nikakaa siku 1 kisha nikaelekea Abu Dhabi nikakaa siku 2. Nikamalizia Qatar siku 1. Na kila mara nikiwa kwenye ndege narudi bongo kutokea UAE huwa najiuliza hilo swali, hivi sisi waafrika weusi tungepewa huo utajiri wa mafuta, je tungekua matajiri kama walivyo waarabu?

Tajiri pekee mweusi alieweza kutengeneza utajiri wa kutisha na kuwaogopesha wazungu na wa-asia kipindi kile alikua ni mwamba Mansa Musa. Huyu jamaa yeye aliweza kudeal na gold na ikamtoa. Tukipata Mansa Musa mwingine tukampa North mara au GGM basi tutegemee kuwa namba 1 kiuchumi.

Unajua kuna hela, mali na utajiri hivo ni vitu tofauti kabisa. Mfano wazungu wengi tunasema wana hela, lakini sio kwamba ni matajiri kama miamba ya UAE, hao kina elon, mara billgates, na wengineo stock exchange ikireverse kidogo tu utajiri wao unashuka.

Mfano kampuni ya apple ina thamani ya Trillion 3 kwa sasa, lkn ukiangalia assets wala hazifiki hata billion 300. So ni pesa za namba tu.

Sasa njoo UAE, wale ni visima vya mafuta ambapo value zao sio kama kwa makampuni ya USA. Na ndio maana ukifanya deal na mwarabu yoyote au kampuni yoyote ya UAE wale jamaa wanakulipa cash, na wala sio stock au stock options.

Kuna banks kubwa kadhaa zilitetereka mwaka 2023 lakini mwarabu akajaza cash wakarudi mzigoni.

Ukitaka kujua utajiri ni nini basi nenda UAE, hela sio utajiri. Haiwezekani mtu una 100m bank halafu unajibania bania kula misosi ya maana au kuendesha ndinga za maana. Wewe sio tajiri bali ni una hela tu bank. Kaangalie kufuru za UAE, unapishana na ferrari imepakwa gold mwanzo mwisho.

Kufuru za utajiri wa UAE hakuna pengine duniani utaziona, labda kidogo sana Monaco, Italy wanajitahidi ila wao wengi ni familia na kimafia na wauza sembe
 
Tumepewa na wanakula wachache.
Hapo nigeria wana hifadhi kubwa sana ya mafuta ila wanaofaidi ni kina dangote.
Angola pia anazalisha crude oil.

Hapo uganda nayeye soon atakuwa na mafuta kutoka Ohima to Tanga.

Tanzania tuna mafuta ya mwampossa. Raia tunayatumia kupata kazi na pesa na miujiza kupitia maombi. Mafuta haya ya mwamposa ni balaa hata ukiumwa Ukimwi yanaponya.
 
Tumepewa na wanakula wachache.
Hapo nigeria wana hifadhi kubwa sana ya mafuta ila wanaofaidi ni kina dangote.
Angola pia anazalisha crude oil.

Hapo uganda nayeye soon atakuwa na mafuta kutoka Ohima to Tanga.

Tanzania tuna mafuta ya mwampossa. Raia tunayatumia kupata kazi na pesa na miujiza kupitia maombi.
Hata hao wachache wanaokula bado hawajala inavyopaswa.

Kwa nigeria kidogo naona wanajitahidi kuna familia za kina davido wale watoto wao wanazaliwa wanaukuta utajiri.

Kipindi davido kanunua ile RR sikushangaa sabab dogo hela kazikuta zinatiririka kwao kutoka kwenye visima vya mafuta.

Hao walaji bado kabisa hawajala inavyopaswa, wengi ni kama vibaraka tu
 
Mwafrika hana akili,wewe na kwenda kote huko kwanini hujaulizia historia ya Dubai???Usomi wako uko wapi bwashee kwanini unashangaa na kutafakari kimyakimya😄😄😄au unaogopa kuchekwa kama kawaida yetu inferiority complex.

Mfalme wa dubai angeweza kujilimbikizia mali na kula na familia yake na ukoo wake, ila alikuwa na AKILI TIMAMU.Akaamua kuweka ubinafsi kando rasilimali za nchi zikaijenga Dubai,leo kila mtu anaenda kushangaa dubai mpaka wazungu wenyewe.

Ukija africa UBINAFSI na UKOSEFU WA VIPAUMBELE umetufanya tumekuwa mzigo,vituko na mazombie hapa duniani.

Leo uganda ameshindwa kukaza msuli awekeze pesa achimbe mwenyewe mafuta yake, kampa Ufaransa hapo kuna watu wamelamba 10% wametulia na familia zao mafuta yatatoka Uganda yatapita hapa kwetu yataenda Ufaransa😂😂😂😂😂 nabado unauliza mnafeli wapi,waafrica ni jamii iliyo LAANIWA.

Wazungu hawana kosa hata ukoloni unasingiziwa ukweli usemwe sisi hakuna kitu tunaweza. Ukirudi hapa kwetu tuna GESI hiyo tu inatosha kutufanya tuishi kama Libya ya Gaddafi ila yakuwapi.

Msitafute mchawi,wala wa kumtupia zigo la mavi UBINAFSI ndio shida ya AFRICA.Ajabu ni kuwa tatizo mbegu ya ubinafsi imemea vilivyo kiasi kwamba hata mtoto anayezaliwa leo anazaliwa na UBINAFSI.We as a continent, we are finished!!!
 
Jana nimemaliza safari yangu ya kikazi ya siku 4. Nilianzia Dubai nikakaa siku 1 kisha nikaelekea Abu Dhabi nikakaa siku 2. Nikamalizia Qatar siku 1. Na kila mara nikiwa kwenye ndege narudi bongo kutokea UAE huwa najiuliza hilo swali, hivi sisi waafrika weusi tungepewa huo utajiri wa mafuta, je tungekua matajiri kama walivyo waarabu?

Tajiri pekee mweusi alieweza kutengeneza utajiri wa kutisha na kuwaogopesha wazungu na wa-asia kipindi kile alikua ni mwamba Mansa Musa. Huyu jamaa yeye aliweza kudeal na gold na ikamtoa. Tukipata Mansa Musa mwingine tukampa North mara au GGM basi tutegemee kuwa namba 1 kiuchumi.

Unajua kuna hela, mali na utajiri hivo ni vitu tofauti kabisa. Mfano wazungu wengi tunasema wana hela, lakini sio kwamba ni matajiri kama miamba ya UAE, hao kina elon, mara billgates, na wengineo stock exchange ikireverse kidogo tu utajiri wao unashuka.

Mfano kampuni ya apple ina thamani ya Trillion 3 kwa sasa, lkn ukiangalia assets wala hazifiki hata billion 300. So ni pesa za namba tu.

Sasa njoo UAE, wale ni visima vya mafuta ambapo value zao sio kama kwa makampuni ya USA. Na ndio maana ukifanya deal na mwarabu yoyote au kampuni yoyote ya UAE wale jamaa wanakulipa cash, na wala sio stock au stock options.

Kuna banks kubwa kadhaa zilitetereka mwaka 2023 lakini mwarabu akajaza cash wakarudi mzigoni.

Ukitaka kujua utajiri ni nini basi nenda UAE, hela sio utajiri. Haiwezekani mtu una 100m bank halafu unajibania bania kula misosi ya maana au kuendesha ndinga za maana. Wewe sio tajiri bali ni una hela tu bank. Kaangalie kufuru za UAE, unapishana na ferrari imepakwa gold mwanzo mwisho.

Kufuru za utajiri wa UAE hakuna pengine duniani utaziona, labda kidogo sana Monaco, Italy wanajitahidi ila wao wengi ni familia na kimafia na wauza sembe
Usiende mbali, tazama Angola, EQUATORIAL GUINEA, DRC....
TUNA LAANA!
 
Mwafrika hana akili,wewe na kwenda kote huko kwanini hujaulizia historia ya Dubai???Usomi wako uko wapi bwashee kwanini unashangaa na kutafakari kimyakimya😄😄😄au unaogopa kuchekwa kama kawaida yetu inferiority complex.

Mfalme wa dubai angeweza kujilimbikizia mali na kula na familia yake na ukoo wake, ila alikuwa na AKILI TIMAMU.Akaamua kuweka ubinafsi kando rasilimali za nchi zikaijenga Dubai,leo kila mtu anaenda kushangaa dubai mpaka wazungu wenyewe.

Ukija africa UBINAFSI na UKOSEFU WA VIPAUMBELE umetufanya tumekuwa mzigo,vituko na mazombie hapa duniani.

Leo uganda ameshindwa kukaza msuli awekeze pesa achimbe mwenyewe mafuta yake, kampa Ufaransa hapo kuna watu wamelamba 10% wametulia na familia zao mafuta yatatoka Uganda yatapita hapa kwetu yataenda Ufaransa😂😂😂😂😂 nabado unauliza mnafeli wapi,waafrica ni jamii iliyo LAANIWA.

Wazungu hawana kosa hata ukoloni unasingiziwa ukweli usemwe sisi hakuna kitu tunaweza. Ukirudi hapa kwetu tuna GESI hiyo tu inatosha kutufanya tuishi kama Libya ya Gaddafi ila yakuwapi.

Msitafute mchawi,wala wa kumtupia zigo la mavi UBINAFSI ndio shida ya AFRICA.Ajabu ni kuwa tatizo mbegu ya ubinafsi imemea vilivyo kiasi kwamba hata mtoto anayezaliwa leo anazaliwa na UBINAFSI.We as a continent, we are finished!!!
Waafrika alieturoga alikufa na antidote
 
Usiende mbali, tazama Angola, EQUATORIAL GUINEA, DRC....
TUNA LAANA!
DRC inanisikitisha sana. Utajiri uliopo pale ni generational wealth, ila wenye utajiri unakuta wanamfanyia kazi mzungu kwenye migodi ya lithium kisha baadae wanatuuzia smartphone zenye battery za lithium. Ni uleule tu ukoloni ila kwa fashion mpya, na hio ni sababu hatujitambua, miafrika ya huko inapigana yenyewe kwa yenyewe kila kukicha
 
Hata hao waarabu ni familia chache ambao ni madon haswa, lakini masheji, wakwe wote hulamba asali, michongo hiyo hutawanyika kwa watu wa pembeni wote damu huwarukia 😃😃, masikini pia wapo, middle class... Waarabu ni watu wema sio WABINAFSI kama sisi tunaojiita familia ya yesu sijui mara daudi 😂😭😭😭, mnisamehe simzarau yoyote , simkashifu yoyote
 
Jana nimemaliza safari yangu ya kikazi ya siku 4. Nilianzia Dubai nikakaa siku 1 kisha nikaelekea Abu Dhabi nikakaa siku 2. Nikamalizia Qatar siku 1. Na kila mara nikiwa kwenye ndege narudi bongo kutokea UAE huwa najiuliza hilo swali, hivi sisi waafrika weusi tungepewa huo utajiri wa mafuta, je tungekua matajiri kama walivyo waarabu?

Tajiri pekee mweusi alieweza kutengeneza utajiri wa kutisha na kuwaogopesha wazungu na wa-asia kipindi kile alikua ni mwamba Mansa Musa. Huyu jamaa yeye aliweza kudeal na gold na ikamtoa. Tukipata Mansa Musa mwingine tukampa North mara au GGM basi tutegemee kuwa namba 1 kiuchumi.

Unajua kuna hela, mali na utajiri hivo ni vitu tofauti kabisa. Mfano wazungu wengi tunasema wana hela, lakini sio kwamba ni matajiri kama miamba ya UAE, hao kina elon, mara billgates, na wengineo stock exchange ikireverse kidogo tu utajiri wao unashuka.

Mfano kampuni ya apple ina thamani ya Trillion 3 kwa sasa, lkn ukiangalia assets wala hazifiki hata billion 300. So ni pesa za namba tu.

Sasa njoo UAE, wale ni visima vya mafuta ambapo value zao sio kama kwa makampuni ya USA. Na ndio maana ukifanya deal na mwarabu yoyote au kampuni yoyote ya UAE wale jamaa wanakulipa cash, na wala sio stock au stock options.

Kuna banks kubwa kadhaa zilitetereka mwaka 2023 lakini mwarabu akajaza cash wakarudi mzigoni.

Ukitaka kujua utajiri ni nini basi nenda UAE, hela sio utajiri. Haiwezekani mtu una 100m bank halafu unajibania bania kula misosi ya maana au kuendesha ndinga za maana. Wewe sio tajiri bali ni una hela tu bank. Kaangalie kufuru za UAE, unapishana na ferrari imepakwa gold mwanzo mwisho.

Kufuru za utajiri wa UAE hakuna pengine duniani utaziona, labda kidogo sana Monaco, Italy wanajitahidi ila wao wengi ni familia na kimafia na wauza sembe
Ndio tungeweza kwa sababu ukipewa kitu unapewa na akili ya kutumia
 
Waafrika alieturoga alikufa na antidote
Hata tukiamua sisi hizo resorces zote madini na gesi tunawaachia wazungu, tukaamua sisi tutapiga na kukomaa na KILIMO TU!!

Trekta na makorokoro yote ya kilimo yapewe msamaa wa kodi,mapori yakafyekwa,mashamba makubwa yakatengenezwa,TV naRADIO mda wote zinaongelea KILIMO BADALA YA KAMARI,VIJANA WAKAWEZESHWA NA KUPEWA MIKOPO NAFUU NA MISAMAA YA KODI,kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani bidhaa za kilimo kisha tuweke malengo ya kuilisha Africa kisha Dunia bado tunatoka ila kwakua hatujui tunataka nini tunakazi ya kwenda kupakwa mafuta ya bukubuku kule kawe😄😄😄,kwa hakika shetani atakuwa mtu mweusi na jahanamu ni hapa AFRICA.

#Africa a cursed Continent.
 
Unakubali kua hao waarabu wana utajiri wa mafuta,yani natural resources moja au mbili tu,
Unajua kua nchi kama Tanzania ina natural resources nyingi zaidi kuliko UAE? kwa lugha nyingine ni kwamba TZ ni tajiri kuliko hao UAE ambao wameinuka kwa kutumia Oil na Gas tu,kuna nchi hazina kabisa natural resources ila wapo vizuri sana kiuchumi,hapa issue sio tu kua na natural resources,

Hapa tatizo ni ubinafsi na usimamizi,comment 6# ya komasavaa imeelezea vizuri sana.
 
Jana nimemaliza safari yangu ya kikazi ya siku 4. Nilianzia Dubai nikakaa siku 1 kisha nikaelekea Abu Dhabi nikakaa siku 2. Nikamalizia Qatar siku 1. Na kila mara nikiwa kwenye ndege narudi bongo kutokea UAE huwa najiuliza hilo swali, hivi sisi waafrika weusi tungepewa huo utajiri wa mafuta, je tungekua matajiri kama walivyo waarabu?

Tajiri pekee mweusi alieweza kutengeneza utajiri wa kutisha na kuwaogopesha wazungu na wa-asia kipindi kile alikua ni mwamba Mansa Musa. Huyu jamaa yeye aliweza kudeal na gold na ikamtoa. Tukipata Mansa Musa mwingine tukampa North mara au GGM basi tutegemee kuwa namba 1 kiuchumi.

Unajua kuna hela, mali na utajiri hivo ni vitu tofauti kabisa. Mfano wazungu wengi tunasema wana hela, lakini sio kwamba ni matajiri kama miamba ya UAE, hao kina elon, mara billgates, na wengineo stock exchange ikireverse kidogo tu utajiri wao unashuka.

Mfano kampuni ya apple ina thamani ya Trillion 3 kwa sasa, lkn ukiangalia assets wala hazifiki hata billion 300. So ni pesa za namba tu.

Sasa njoo UAE, wale ni visima vya mafuta ambapo value zao sio kama kwa makampuni ya USA. Na ndio maana ukifanya deal na mwarabu yoyote au kampuni yoyote ya UAE wale jamaa wanakulipa cash, na wala sio stock au stock options.

Kuna banks kubwa kadhaa zilitetereka mwaka 2023 lakini mwarabu akajaza cash wakarudi mzigoni.

Ukitaka kujua utajiri ni nini basi nenda UAE, hela sio utajiri. Haiwezekani mtu una 100m bank halafu unajibania bania kula misosi ya maana au kuendesha ndinga za maana. Wewe sio tajiri bali ni una hela tu bank. Kaangalie kufuru za UAE, unapishana na ferrari imepakwa gold mwanzo mwisho.

Kufuru za utajiri wa UAE hakuna pengine duniani utaziona, labda kidogo sana Monaco, Italy wanajitahidi ila wao wengi ni familia na kimafia na wauza sembe
Mwafrica ni kiumbe mpuuzi kuwahi tokea dunia hii.
Kwanza yupo hai kwa huruma ya mzungu tuu ata peppni hafai kwenda yeye apelekwe motoni akagegedane na shetani huko
 
Unakubali kua hao waarabu wana utajiri wa mafuta,yani natural resources moja au mbili tu,
Unajua kua nchi kama Tanzania ina natural resources nyingi zaidi kuliko UAE? kwa lugha nyingine ni kwamba TZ ni tajiri kuliko hao UAE ambao wameinuka kwa kutumia Oil na Gas tu,kuna nchi hazina kabisa natural resources ila wapo vizuri sana kiuchumi,hapa issue sio tu kua na natural resources,

Hapa tatizo ni ubinafsi na usimamizi,comment 6# ya komasavaa imeelezea vizuri sana.
Matajiri wachache wajinga na uchwara wa kiafrika huona kuwa kwao wachache ni loophole yawao kuwa matajiri zaidi kumbe ni ujinga , waarabu Kuna madon bwashee wazungu wanaenda kupiga na watoto wao, tukiwemo na waafrika
 
Hata tukiamua sisi hizo resorces zote madini na gesi tunawaachia wazungu, tukaamua sisi tutapiga na kukomaa na KILIMO TU!!

Trekta na makorokoro yote ya kilimo yapewe msamaa wa kodi,mapori yakafyekwa,mashamba makubwa yakatengenezwa,TV naRADIO mda wote zinaongelea KILIMO BADALA YA KAMARI,VIJANA WAKAWEZESHWA NA KUPEWA MIKOPO NAFUU NA MISAMAA YA KODI,kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani bidhaa za kilimo kisha tuweke malengo ya kuilisha Africa kisha Dunia bado tunatoka ila kwakua hatujui tunataka nini tunakazi ya kwenda kupakwa mafuta ya bukubuku kule kawe😄😄😄,kwa hakika shetani atakuwa mtu mweusi na jahanamu ni hapa AFRICA.

#Africa cursed Continent.
Ukraine wako vitani ila wana lengo la kuilisha Afrika sisi tumelala vijana wameridhika na visungura, energy drinks na usiku wanapiga nyeto kama kawa
 
Unakubali kua hao waarabu wana utajiri wa mafuta,yani natural resources moja au mbili tu,
Unajua kua nchi kama Tanzania ina natural resources nyingi zaidi kuliko UAE? kwa lugha nyingine ni kwamba TZ ni tajiri kuliko hao UAE ambao wameinuka kwa kutumia Oil na Gas tu,kuna nchi hazina kabisa natural resources ila wapo vizuri sana kiuchumi,hapa issue sio tu kua na natural resources,

Hapa tatizo ni ubinafsi na usimamizi,comment 6# ya komasavaa imeelezea vizuri sana.
Unakubali kua hao waarabu wana utajiri wa mafuta,yani natural resources moja au mbili tu,
Unajua kua nchi kama Tanzania ina natural resources nyingi zaidi kuliko UAE? kwa lugha nyingine ni kwamba TZ ni tajiri kuliko hao UAE ambao wameinuka kwa kutumia Oil na Gas tu,kuna nchi hazina kabisa natural resources ila wapo vizuri sana kiuchumi,hapa issue sio tu kua na natural resources,

Hapa tatizo ni ubinafsi na usimamizi,comment 6# ya komasavaa imeelezea vizuri sana.
Mimi huwa naombea kila siku nature itusaidia kufanya ETHINIC CLEANSEN.

Tukipata natural calamity hata moja tu ifanye usafi kama ule wa KIPINDI CHA NUHU walau watakaobahatika kuwa hai baada ya kufanyiwa usafi waanze upya ingependeza🙏🙏🙏

Africa kama bara tunahitaji NATURE IFANYE REDEMPTION basi🙌🙌🙌bila hivyo hatuwezi kuchomoka LAANA YA UBINAFSI imetung'ang'ania😭😭😭.

#Africa a cursed continent.
 
Back
Top Bottom