Huwa siwaelewi kabisa Wanaume wanaofuatilia tamthilia za Kikorea

Huwa siwaelewi kabisa Wanaume wanaofuatilia tamthilia za Kikorea

State Propaganda

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2024
Posts
542
Reaction score
1,286
Hivi karibuni kumeongezeka wimbi la wanaume tena watu wazima kabisa tena wenye familia zao kufuatili tamthilia za kifilipino au kikorea, vitu ambavyo hata ni aibu kuviwaza kichwani.

Mfano, leo jioni nimetulia zangu wakati nabadilisha local channels nikakuta jamaa na midevu yake pamoja na kinadada wawili wapo studio wakichambua mchezo wa kuigiza. Kiukweli nilijisikia vibaya na kupatwa na hasira.

Kwangu haya mambo ni udhalilishaji mtupu. Inabidi yakemewe na kupigwa vita kuanzia ngazi ya familia na kila mtu mwenye mapenzi mema na taifa hili la sivyo...

IMG20240915183311.jpg
IMG20240915183309.jpg
 
Hivi karibuni kumeongezeka wimbi la wanaume tena watu wazima kabisa tena wenye familia zao kufuatili tamthilia za kifilipino au kikorea, vitu ambavyo hata ni aibu kuviwaza kichwani.

Mfano, leo jioni nimetulia zangu wakati nabadilisha local channels nikakuta jamaa na midevu yake pamoja na kinadada wawili wapo studio wakichambua mchezo wa kuigiza. Kiukweli nilijisikia vibaya na kupatwa na hasira.

Kwangu haya mambo ni udhalilishaji mtupu. Inabidi yakemewe na kupigwa vita kuanzia ngazi ya familia na kila mtu mwenye mapenzi mema na taifa hili la sivyo...

View attachment 3096603View attachment 3096604
Maisha tunayopitia sahivi hupaswi kupangia watu maisha, nini wafatilie, nini wapende. Acha kila mtu afatilie kile anachokipenda!!
 
Hivi karibuni kumeongezeka wimbi la wanaume tena watu wazima kabisa tena wenye familia zao kufuatili tamthilia za kifilipino au kikorea, vitu ambavyo hata ni aibu kuviwaza kichwani.

Mfano, leo jioni nimetulia zangu wakati nabadilisha local channels nikakuta jamaa na midevu yake pamoja na kinadada wawili wapo studio wakichambua mchezo wa kuigiza. Kiukweli nilijisikia vibaya na kupatwa na hasira.

Kwangu haya mambo ni udhalilishaji mtupu. Inabidi yakemewe na kupigwa vita kuanzia ngazi ya familia na kila mtu mwenye mapenzi mema na taifa hili la sivyo...

View attachment 3096603View attachment 3096604
Mkuu,

Kwani tatizo liko wapi? Tamthiliya za Kikorea zina tatizo gani?

Mwanamme ni nani na anatakiwa afuatilie nini?

Nani kapanga hivyo na mamlaka ya kupanga hivyo kayapataje?
 
Kwa hiyo unataka kuniambia mimi ambaye ni mpenzi mkubwa wa zie Historical drama za Kikorea pamoja na zile muvi zao chache mfano IRIS!

Vipi na wale ndugu zako wanaopenda Bongo muvi! Unawachukulia kama mashujaa?
 
Hivi karibuni kumeongezeka wimbi la wanaume tena watu wazima kabisa tena wenye familia zao kufuatili tamthilia za kifilipino au kikorea, vitu ambavyo hata ni aibu kuviwaza kichwani.

Mfano, leo jioni nimetulia zangu wakati nabadilisha local channels nikakuta jamaa na midevu yake pamoja na kinadada wawili wapo studio wakichambua mchezo wa kuigiza. Kiukweli nilijisikia vibaya na kupatwa na hasira.

Kwangu haya mambo ni udhalilishaji mtupu. Inabidi yakemewe na kupigwa vita kuanzia ngazi ya familia na kila mtu mwenye mapenzi mema na taifa hili la sivyo...

View attachment 3096603View attachment 3096604
Facts, unakuta mwanaume yupo kibanda Cha kubani anakwambia nimeishia kipande Cha 839 duuh, ....siingilii faragha ya mtu lakini hili ni tatizo, Bora usome vitabu ila sio series 🥺
 
Back
Top Bottom