Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Ukisema ukweli huu wanakuvaa kwa hasiraKuna ujinga Sana katika hii nchi,
Kuna wale wanaosikiliza kipindi cha kipuuzi cha jioni ya, Leo, cha EFM, zaokuna story zao, zimekaa ki ponographic
Hata idadi ya gays ni kubwa maeneo hayoNi moja ya vitu vilivyonishinda kabisa kufuatilia
Nikisikia movies za korea, Philippines na india naona kama watu flani walaini ,wa kulia lia sana kiufupi siwaelewi kabisa
Read between lines katika nilichokiandika utaelewa mkuu.Bado hujaeleza kwa nini hili jambo si sawa, unapinga nini hasa?
Maisha sio magumu kihivyo mambo mengine usiyachukulie serious.Hivi karibuni kumeongezeka wimbi la wanaume tena watu wazima kabisa tena wenye familia zao kufuatili tamthilia za kifilipino au kikorea, vitu ambavyo hata ni aibu kuviwaza kichwani.
Mfano, leo jioni nimetulia zangu wakati nabadilisha local channels nikakuta jamaa na midevu yake pamoja na kinadada wawili wapo studio wakichambua mchezo wa kuigiza. Kiukweli nilijisikia vibaya na kupatwa na hasira.
Kwangu haya mambo ni udhalilishaji mtupu. Inabidi yakemewe na kupigwa vita kuanzia ngazi ya familia na kila mtu mwenye mapenzi mema na taifa hili la sivyo...
View attachment 3096603View attachment 3096604
Nimejibu swali nililoulizwa na mdau. Hakuna pahala nimesema ME anapaswa kupenda navyovipenda.Kwa hiyo wewe unachotaka ni kuona tu wanaume wote nchini kuangalia taarifa ya habari, makala na michezo kama wewe! Ila siyo Tamthiliya za Kikorea!
Good for you.Maisha sio magumu kihivyo mambo mengine usiyachukulie serious.
By the way hao wako kazini wanawapa raia kile wanachopenda.
My favorite korean series. Jumong na Chuno.
Since then sijatazama filamu za kikorea baada ya kuangukiwa kwa the game of thrones
Huyo yupo kazini mtake laziHivi karibuni kumeongezeka wimbi la wanaume tena watu wazima kabisa tena wenye familia zao kufuatili tamthilia za kifilipino au kikorea, vitu ambavyo hata ni aibu kuviwaza kichwani.
Mfano, leo jioni nimetulia zangu wakati nabadilisha local channels nikakuta jamaa na midevu yake pamoja na kinadada wawili wapo studio wakichambua mchezo wa kuigiza. Kiukweli nilijisikia vibaya na kupatwa na hasira.
Kwangu haya mambo ni udhalilishaji mtupu. Inabidi yakemewe na kupigwa vita kuanzia ngazi ya familia na kila mtu mwenye mapenzi mema na taifa hili la sivyo...
View attachment 3096603View attachment 3096604
Ila wewe unayemfuatilia mwijaku uko sawa!??......Hivi karibuni kumeongezeka wimbi la wanaume tena watu wazima kabisa tena wenye familia zao kufuatili tamthilia za kifilipino au kikorea, vitu ambavyo hata ni aibu kuviwaza kichwani.
Mfano, leo jioni nimetulia zangu wakati nabadilisha local channels nikakuta jamaa na midevu yake pamoja na kinadada wawili wapo studio wakichambua mchezo wa kuigiza. Kiukweli nilijisikia vibaya na kupatwa na hasira.
Kwangu haya mambo ni udhalilishaji mtupu. Inabidi yakemewe na kupigwa vita kuanzia ngazi ya familia na kila mtu mwenye mapenzi mema na taifa hili la sivyo...
View attachment 3096603View attachment 3096604
Ila akiangalia Hollywood kwako ni fresh!?? ...Mimi nachopinga ni mwanaume kuangalia michezo ya kuigiza ya kikorea au asia
Kwa nini ni read between the lines kitu ambacho unaweza kuandika wazi?Read between lines katika nilichokiandika utaelewa mkuu.
Broo, hao siyo wanaume, ni WAVULANA hata kama wana miaka 100Huwa siwaelewi kabisa Wanaume wanaofuatilia tamthilia za Kikorea