ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kila mtu ana namna tofauti ya kusherehekea birthday yake
1. Unapiga magoti na kumshukru Mungu
2. Unaalika jamaa na marafiki katika hafla
3. Unaenda bar kupata kinywaji
4 keki laZima ihusike
5. Unawapigia wazazi na kuwatumia zawadi
6. laZima uchinje mnyama
7. Unafunga na kuomba Mungu
8.unatoa sadaka Kwa yatima na wahitaji
9. Unanua simu/gari au kitu kipya
10 hufanyi chochote, unakuja kukumbushwa na sms ya TIGO
Tueleze Huwa unasherehekea vip
1. Unapiga magoti na kumshukru Mungu
2. Unaalika jamaa na marafiki katika hafla
3. Unaenda bar kupata kinywaji
4 keki laZima ihusike
5. Unawapigia wazazi na kuwatumia zawadi
6. laZima uchinje mnyama
7. Unafunga na kuomba Mungu
8.unatoa sadaka Kwa yatima na wahitaji
9. Unanua simu/gari au kitu kipya
10 hufanyi chochote, unakuja kukumbushwa na sms ya TIGO
Tueleze Huwa unasherehekea vip