Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Ww mara ya mwisho kupima lini, 😄Vizuri lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww mara ya mwisho kupima lini, 😄Vizuri lakini
Sasa nikumbuke kwaajiri ya nini maana hakuna nachokiongeza zaidi apo kusherekea zaidi ni kushukuru tuNimegundua kweli wanaume wanasahau birthday zao Lakin wanawake huwa hatusahau
Hua naliaaaaaaa...nanyamaza kisha nalia tena!Kila mtu ana namna tofauti ya kusherehekea birthday yake
1. Unapiga magoti na kumshukru Mungu
2. Unaalika jamaa na marafiki katika hafla
3. Unaenda bar kupata kinywaji
4 keki laZima ihusike
5. Unawapigia wazazi na kuwatumia zawadi
6. laZima uchinje mnyama
7. Unafunga na kuomba Mungu
8.unatoa sadaka Kwa yatima na wahitaji
9. Unanua simu/gari au kitu kipya
10 hufanyi chochote, unakuja kukumbushwa na sms ya TIGO
Tueleze Huwa unasherehekea vip
Hbd kwako bossKila mtu ana namna tofauti ya kusherehekea birthday yake
1. Unapiga magoti na kumshukru Mungu
2. Unaalika jamaa na marafiki katika hafla
3. Unaenda bar kupata kinywaji
4 keki laZima ihusike
5. Unawapigia wazazi na kuwatumia zawadi
6. laZima uchinje mnyama
7. Unafunga na kuomba Mungu
8.unatoa sadaka Kwa yatima na wahitaji
9. Unanua simu/gari au kitu kipya
10 hufanyi chochote, unakuja kukumbushwa na sms ya TIGO
Tueleze Huwa unasherehekea vip
Mmeo ndo anafaidi birthday yakoMchana Natoka na mishangazi kama mm ni kunywa na kulewa chakali, mida ya saa 1 Mr ananifata muda huo wa kufunga ofisi anaacha vijana sababu ofisi inakesha nikifika home nampa game matra ta huku tuna pope champagne.... W'end yake watoto wanakua nyumbani nafanya kisherehe cha kinyumbani nyumbani tunafurahi na familia.
[emoji91][emoji91][emoji91]Hakika mshikaji anafaidi birthday yako
Naunga mkono hoja.Mwanaume hupaswi kujua hata ulizaliwa lini. Ni ujinga wa hali ya juu kabisa mtu kukumbuka sijui siku ya kuzaliwa. So what?