Huwa unafanya nini siku ya birthday yako?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Kila mtu ana namna tofauti ya kusherehekea birthday yake

1. Unapiga magoti na kumshukru Mungu
2. Unaalika jamaa na marafiki katika hafla
3. Unaenda bar kupata kinywaji
4 keki laZima ihusike
5. Unawapigia wazazi na kuwatumia zawadi
6. laZima uchinje mnyama

7. Unafunga na kuomba Mungu
8.unatoa sadaka Kwa yatima na wahitaji
9. Unanua simu/gari au kitu kipya

10 hufanyi chochote, unakuja kukumbushwa na sms ya TIGO

Tueleze Huwa unasherehekea vip
 
Huwa nanunua soda natikisa kama champagne vileee

Wagumu tunadumu
 
Uwa nakumbuka wakati tarehe zimepita
 
Huwa Nina Mshukuru Mungu zaidi kwa kuendelea kunipa Afya zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…