Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Si kweli. Mimi huwa nauliza hivo na hamna hata mara moja nimeitumia kwa ajili ya kuulizia hela.Mtego huo 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli. Mimi huwa nauliza hivo na hamna hata mara moja nimeitumia kwa ajili ya kuulizia hela.Mtego huo 😅
Hata mimi nilijua hivyo. Siku moja nikamwambia "niambie dear". Akasema naomba unipe mimba. DaahSio kila anayesema nikuambie kitu atakachokisema ni kuhusu hela.
Sisi wengine tukisema hivo, kinachofuata ni kusema , “nimekumiss😍”
Vipi mwenyeji wako alipatikana?Huwa nasema "kidumu chama Cha ma jobless pro max"
"Nilishaambiwa"Hili swali likija kutoka Kwa pisi ujue unaomba pesa au unapigiwa mzinga
Ukiwa una chart nae akakwambia ati akuulize kitu, huwa unajitoaje kwenye mdogo wa Simba
Ukikubali, na kusema nambie swali Huwa
1. Nimeishiwa luku nyumbani
2.mama ni mgonjwa
3. Nawaza ada ya mdogo wangu n.k
4.nina safari ya ghafla yani acha tu
Oya kwenye vikao vyenu huko kwenye matawi yetu mlikubaliana muwe mnajibu namna Gani?
Si unaona sasa.Hata mimi nilijua hivyo. Siku moja nikamwambia "niambie dear". Akasema naomba unipe mimba. Daah
Mm jana nimemmisi pisi fulani nikaisalimia tu kwa njia ya sms...ile kunipa jibu la kwanza kuitika salamu yng si akaunganisha na "yan nipo mweupe hapa hata hela ya kula sina nisaidie nadugu yng" 😅 nilijuta kwakweliHili swali likija kutoka Kwa pisi ujue unaomba pesa au unapigiwa mzinga
Ukiwa una chart nae akakwambia ati akuulize kitu, huwa unajitoaje kwenye mdogo wa Simba
Ukikubali, na kusema nambie swali Huwa
1. Nimeishiwa luku nyumbani
2.mama ni mgonjwa
3. Nawaza ada ya mdogo wangu n.k
4.nina safari ya ghafla yani acha tu
Oya kwenye vikao vyenu huko kwenye matawi yetu mlikubaliana muwe mnajibu namna Gani?
Hapana rasii Half american haku tokea, nili amua kurudi nanjilinji 😁Vipi mwenyeji wako alipatikana?
🤣🤣🤣 🖐🤚 🖐🤚 🖐🤚Nimebanana ntakuchek af mazima
SIO KWELISio kila anayesema nikuambie kitu atakachokisema ni kuhusu hela.
Sisi wengine tukisema hivo, kinachofuata ni kusema , “nimekumiss😍”
naijua hiyo!Hili swali likija kutoka Kwa pisi ujue unaomba pesa au unapigiwa mzinga
Ukiwa una chart nae akakwambia ati akuulize kitu, huwa unajitoaje kwenye mdogo wa Simba
Ukikubali, na kusema nambie swali Huwa
1. Nimeishiwa luku nyumbani
2.mama ni mgonjwa
3. Nawaza ada ya mdogo wangu n.k
4.nina safari ya ghafla yani acha tu
Oya kwenye vikao vyenu huko kwenye matawi yetu mlikubaliana muwe mnajibu namna Gani?
tunaijua hiyoSio kila anayesema nikuambie kitu atakachokisema ni kuhusu hela.
Sisi wengine tukisema hivo, kinachofuata ni kusema , “nimekumiss😍”
MpeMm jana nimemmisi pisi fulani nikaisalimia tu kwa njia ya sms...ile kunipa jibu la kwanza kuitika salamu yng si akaunganisha na "yan nipo mweupe hapa hata hela ya kula sina nisaidie nadugu yng" 😅 nilijuta kwakweli
Kwako wewe hujanizoea. Nambie tu usiwe na shaka 😀Nikuambie kitu?
Ninakutakia usiku mwema , mkuu.Kwako wewe hujanizoea. Nambie tu usiwe na shaka 😀
Shukrani mkuu. Vipi shemeji hajamboNinakutakia usiku mwema , mkuu.