Huwa unajibu vipi swali " nikwambie kitu"

Huwa unajibu vipi swali " nikwambie kitu"

Instantly namwambia Sina Pesa
Hili swali likija kutoka Kwa pisi ujue unaomba pesa au unapigiwa mzinga

Ukiwa una chart nae akakwambia ati akuulize kitu, huwa unajitoaje kwenye mdogo wa Simba

Ukikubali, na kusema nambie swali Huwa
1. Nimeishiwa luku nyumbani
2.mama ni mgonjwa
3. Nawaza ada ya mdogo wangu n.k
4.nina safari ya ghafla yani acha tu

Oya kwenye vikao vyenu huko kwenye matawi yetu mlikubaliana muwe mnajibu namna Gani?
 
Instantly namwambia Sina Pesa
Hili swali likija kutoka Kwa pisi ujue unaomba pesa au unapigiwa mzinga

Ukiwa una chart nae akakwambia ati akuulize kitu, huwa unajitoaje kwenye mdogo wa Simba

Ukikubali, na kusema nambie swali Huwa
1. Nimeishiwa luku nyumbani
2.mama ni mgonjwa
3. Nawaza ada ya mdogo wangu n.k
4.nina safari ya ghafla yani acha tu

Oya kwenye vikao vyenu huko kwenye matawi yetu mlikubaliana muwe mnajibu namna Gani?
 
Back
Top Bottom