Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni sawa na simba anaefugwa nyumbani, akitia jino sehemu kumtoa ni kazi nzito kweli kweli mkuu.Mbna inatisha sanaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na meno yake ni sumuHuyu ni sawa na simba anaefugwa nyumbani, akitia jino sehemu kumtoa ni kazi nzito kweli kweli mkuu.
Jamaa alinambia huwa wanawapiga sindano ili kuuwa sumu uliyopo mdomoni kwake.Na meno yake ni sumu
Hana shida huyo ana kitanda chake sio banda cocastic kufuga hawa jamaa raha sana njoo nikupate mbegu uanze nae akiwa mdogo, Utampenda baadae
View attachment 2460903
Mwanangu sana huyu anaitwa JUMBO hang’ati akiwa around na mwenyeji wake ila ukimpa respond ya kuattack ni hatari atakuweka chini ya ulinzi hadi afike mwenyeji wake..
Huyu wangu anaoga mara mbili kwa siku na nimekakuza tangu kadogo hadi hapo alivyo sasa mwakani anatimiza mwaka wa tatuUuuh unakaaje na mbwa ndani?
Mie Hapana kwa kweli
Duuuuh. Ndo anaogopeshaaa mnoooo.Huyu ni sawa na simba anaefugwa nyumbani, akitia jino sehemu kumtoa ni kazi nzito kweli kweli mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akuuuuuuh hapanaaa mie siweziiii.Hana shida huyo ana kitanda chake sio banda cocastic kufuga hawa jamaa raha sana njoo nikupate mbegu uanze nae akiwa mdogo, Utampenda baadae
Akhuu siruhusu kutembea na mbwa,wetu alinifuataga hadi mjini sina habari,wakati navuka barabara watu wakaniambia we dada mbwa huyo mweee,nilimtizama alijua nimekasirika,nilivyorudi nilimsema sana akanuna, hadi leo hanifuatiView attachment 2460903
Mwanangu sana huyu anaitwa JUMBO hang’ati akiwa around na mwenyeji wake ila ukimpa respond ya kuattack ni hatari atakuweka chini ya ulinzi hadi afike mwenyeji wake..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna nyumba moja niliwashangaa sana, niliingia nimefika uwani mbwa akakurupuka huko akanifata huku anabweka, nikaamua kutumia ujanja wangu, nikainama chini kama naokota jiwe mbwa anashituka kidogo ila tena asogea, wao wananiangalia tu, mbwa nae alikuwa jasiri sana nikimtishia kama namponda anatulia kidogo afu anasogea, eti baadae ndio wanakuja kumshika wakati huo nimeshachoka balaa nawaza sijui akinifikia kabisa itakuwaje
Dah! Asa wewe nae ulipewa escorting yenye ulinzi maradufu ukamaindi ndio maana hata yeye nae alinuna kakuona hufai kuwa kiongozi kama mama sir100 hahahaa 😂🤣🤣Akhuu siruhusu kutembea na mbwa,wetu alinifuataga hadi mjini sina habari,wakati navuka barabara watu wakaniambia we dada mbwa huyo mweee,nilimtizama alijua nimekasirika,nilivyorudi nilimsema sana akanuna, hadi leo hanifuati
VIpo vile kama vimdoli nywele hadi kwenye macho huwa havikuagi ni vidogovidogo vizuri hivyo...🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akuuuuuuh hapanaaa mie siweziiii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Murite hapa ameyakanyaga
UsimwaminiJamaa alinambia huwa wanawapiga sindano ili kuuwa sumu uliyopo mdomoni kwake.
So ata akikuuma atakujeruhi lakini hautadhurika kwa namna yoyote ile.
Hivyo ni vikali balaa paka na nyoka vinauaVIpo vile kama vimdoli nywele hadi kwenye macho huwa havikuagi ni vidogovidogo vizuri hivyo...🤣🤣🤣
Noma sana
Yaani alinikera ujue,ingekuwaje kama angegongwa na gari,Dah! Asa wewe nae ulipewa escorting yenye ulinzi maradufu ukamaindi ndio maana hata yeye nae alinuna kakuona hufai kuwa kiongozi kama mama sir100 hahahaa [emoji23][emoji1787][emoji1787]