National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Usinletee msala 🤣🤣🤣 mtoto wa mkulima mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinletee msala 🤣🤣🤣 mtoto wa mkulima mie
😂😂😂Ni Tiss bandia
Mie mshamba tuu niliepo hapa jfHuyo anatakiwa atunikiwe udaktari wa heshima,na wewe mfuasi wake upewe u professor 🤣
Kwa mbinu hizo halafu uniambie we Ni mshamba,we lazima ni downtown kitambo....Maana Kuna wakaka wanaipenda kujifanyaga Ni Tiss Ila sikujua huwa Wana apply hiyo Hadi kwa kujilia totozMie mshamba tuu niliepo hapa jf
😅😅😅 aaah mie maneno mengi tu, dar yenyewe sijawai kanyaga nipo zangu kwetu huku machakani, huo udowntown niutolee wapi.. nasomaga fb naiga naleta huku.. mie mshamba tuKwa mbinu hizo halafu uniambie we Ni mshamba,we lazima ni downtown kitambo....Maana Kuna wakaka wanaipenda kujifanyaga Ni Tiss Ila sikujua huwa Wana apply hiyo Hadi kwa kujilia totoz
Bora ubaki huko huko maana ikiingia jiji la vichaa ndio utaleta balaa kabisaaa...maana we Ni mshamba uliechangamka😅😅😅 aaah mie maneno mengi tu, dar yenyewe sijawai kanyaga nipo zangu kwetu huku machakani, huo udowntown niutolee wapi.. nasomaga fb naiga naleta huku.. mie mshamba tu
MJini kwenu bakini napo tu 🙂🙂 mnaisha complex sana.. kila kitu hela alafu janja mingiBora ubaki huko huko maana ikiingia jiji la vichaa ndio utaleta balaa kabisaaa...maana we Ni mshamba uliechangamka
Karibu mjini,hata kuuliza Ni pesa!MJini kwenu bakini napo tu 🙂🙂 mnaisha complex sana.. kila kitu hela alafu janja mingi
Bakini napo tuu, kwanza kuna maasi sana hukoKaribu mjini,hata kuuliza Ni pesa!
🤣🤣🤣maasi Tena?waasi wenyewe si ndio Kama nyieBakini napo tuu, kwanza kuna maasi sana huko
Mie malaika kabisaa 🤣🤣🤣🤣🤣maasi Tena?waasi wenyewe si ndio Kama nyie
Labda mnalima taarifa na mafaili ya Raia tutajuaje ?Usinletee msala 🤣🤣🤣 mtoto wa mkulima mie
Labda tumuulize figo76 🤣🤣🤣Labda mnalima taarifa na mafaili ya Raia tutajuaje ?
Ebu kapichaMimi navaa zangu suali ya kubana theni na chomekea na mknda wangu juu na travota chini kiufupi na vaa kia arusha zaid 😂😂😂
che mieEbu kapicha
HahahaPajama bila chupi ndani.....haina kuremba ile [emoji855]
Wewe ni Mimi....Mi huwa navaa kawaida tu chochote ntakachojiskia kuvaa siku hiyo ila napendelea suruali na blauz, sitosahau siku nimeona nimevaa zangu vizuri tu, nikasemwa ile siku ulivaa kama unaenda kanisani nikajiskia vibaya yaani mtoko wa babe kama naenda kanisani kweli[emoji3]