Huwa unavaa mavazi ya aina gani pale unapoenda kukutana na mpenzi wako mpya?

Huwa unavaa mavazi ya aina gani pale unapoenda kukutana na mpenzi wako mpya?

Barrier muhimu sana
Unakuwa na namba zile za skype, ili niokoaga hiyo.. nilikuwa natoka na wife wa mtu.. siku ya siku demu akaotewa na mwana aongea na simu, demu kapokwa simu. Jamaa anapiga biti 😅😅😅 nikachekaa kwa dhareuuuu .. maana demu mwenye hakuwai jua naishi wapi, wala kujua nafanya kazi wapi . Sijui msala wao uliishia wapi tu.. kila tukio na nunua namba skype 😅😅😅
 
Unakuwa na namba zile za skype, ili niokoaga hiyo.. nilikuwa natoka na wife wa mtu.. siku ya siku demu akaotewa na mwana aongea na simu, demu kapokwa simu. Jamaa anapiga biti 😅😅😅 nikachekaa kwa dhareuuuu .. maana demu mwenye hakuwai jua naishi wapi, wala kujua nafanya kazi wapi . Sijui msala wao uliishia wapi tu.. kila tukio na nunua namba skype 😅😅😅
Nawaza sana nikioa na hivi nimejisajiri pabovu... Wahuni watakanyaga huo uchi sio kidogo.
 
Nothing. Nikivaa hivo nahisi kuwa comfortable zaidi. Nakuwa sipo official sana wala kilocal local. Sitaki aone kama nimekamia sana ama nimevunja kabati ndio maana napenda niwe simple lakini naonekana vizuri.
Sawa
 
Back
Top Bottom