National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Ndio maana yake, ukikawia sana anaweza kukuletea mmbuUnapasua Mawimbi kama kishandu hakuna kugeuka nyuma.
Shati tu inaPepea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana yake, ukikawia sana anaweza kukuletea mmbuUnapasua Mawimbi kama kishandu hakuna kugeuka nyuma.
Shati tu inaPepea.
Hy ngoma transition ya Tisi hadi mbio za ranga ranga.Ndio maana yake, ukikawia sana anaweza kukuletea mmbu
Na unakuwa na namba ya nje 🤣🤣🤣 ili asije leta njaa zake ana mdogo wake umfanyie mpango wa kaziHy ngoma transition ya Tisi hadi mbio za ranga ranga.
Barrier muhimu sanaNa unakuwa na namba ya nje 🤣🤣🤣 ili asije leta njaa zake ana mdogo wake umfanyie mpango wa kazi
Napenda hivoKagauni fulani hivi kafupi hadi magotini au kama ni refu hadi miguuni basi liwe lina bana kabisa.
Unakuwa na namba zile za skype, ili niokoaga hiyo.. nilikuwa natoka na wife wa mtu.. siku ya siku demu akaotewa na mwana aongea na simu, demu kapokwa simu. Jamaa anapiga biti 😅😅😅 nikachekaa kwa dhareuuuu .. maana demu mwenye hakuwai jua naishi wapi, wala kujua nafanya kazi wapi . Sijui msala wao uliishia wapi tu.. kila tukio na nunua namba skype 😅😅😅Barrier muhimu sana
Nawaza sana nikioa na hivi nimejisajiri pabovu... Wahuni watakanyaga huo uchi sio kidogo.Unakuwa na namba zile za skype, ili niokoaga hiyo.. nilikuwa natoka na wife wa mtu.. siku ya siku demu akaotewa na mwana aongea na simu, demu kapokwa simu. Jamaa anapiga biti 😅😅😅 nikachekaa kwa dhareuuuu .. maana demu mwenye hakuwai jua naishi wapi, wala kujua nafanya kazi wapi . Sijui msala wao uliishia wapi tu.. kila tukio na nunua namba skype 😅😅😅
Wahuni lazima tumkamie 🤣🤣Nawaza sana nikioa na hivi nimejisajiri pabovu... Wahuni watakanyaga huo uchi sio kidogo.
Utakuja ombwa million kadhaaHuwa nakuja nakasuti kakushonesha .View attachment 2586623
😅wabheja sanaEwaaahhh nale mhola gete, naliza.
Yeah,sureKama mpambanaji hakikisha mda wote una tools kama hiziView attachment 2586554
BalaaaHa haaaa shangazi una experience Sana.. hapo akili ndio zinakuwa zimerudi Sasa 😂
Sababu kuu ni niniKagauni fulani hivi kafupi hadi magotini au kama ni refu hadi miguuni basi liwe lina bana kabisa.
Sababu kuu ni nini
SawaNothing. Nikivaa hivo nahisi kuwa comfortable zaidi. Nakuwa sipo official sana wala kilocal local. Sitaki aone kama nimekamia sana ama nimevunja kabati ndio maana napenda niwe simple lakini naonekana vizuri.