Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani unitoe date halafu usiongee?unaanza kunitishatisha😂😂😂😂what the hell?😅😅 alafu siongei sana yani, nacheki cheki alafu nipo makini kumtazana kama vile anahojiwa na afande.. mtoto anakuwa muoga
🤣🤣🤣🤣Jamani kha😅😅 simu anakuwa anasikia zile code.. simu mbili tatu unamjaza shauku ya kutaka kujua nini, hata usiku wa manane utakaa nae, na utampusua for free kabisa siku hiyo hiyo kama unatak
Kwa hiyo bunduki la mchongo😂?Na Bunduki lako la mpira Kama alilotwangiwa Sheikh Ponda kwenye kiti
We jamaa muhuni sanaKuna lile jicho la kuzungusha kama ishara ukivua miwani unalipiga 🤣🤣🤣 unaona mtoto kapagawaa
Yaani hata amini nitavyojifanya sio Mimi🤣sipendagi aibu ndogondogo mimiJo jiandae na kukutana na jamaa kapiga gupensi gwa hivo
Siku moja tutoke hata maosi wa mchana uone kama hutonywea 🤣🤣🤣 nakuja na majamaa manne yamekula kaunda na miwani mywusi majitu meusi yameenda hewani yamejaa hayacheki na Alphard Nyeusi 😅😅😅 kama yana nilinda vileYaani unitoe date halafu usiongee?unaanza kunitishatisha😂😂😂😂what the hell?
SIo sana ndio tujifunza kwa wahuni wa jf humu 😅😅We jamaa muhuni sana
Swali halina swaliWakuu, nijibuni haya maswali:-
Huwa unavaa mavazi ya aina gani, pale unapoenda kukutana kwa mara ya kwanza, na mpenzi wako mpya, mliyefahamiana naye kupitia mtandaoni?
Na kwanini unavaa hayo mavazi?
Wewe Ni nguliSIo sana ndio tujifunza kwa wahuni wa jf humu 😅😅
Mie nakula notes zenu wahenga 🙂🙂Wewe Ni nguli
🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo najua nimeibua mheshimiwa?jamaniiiiiiSiku moja tutoke hata maosi wa mchana uone kama hutonywea 🤣🤣🤣 nakuja na majamaa manne yamekula kaunda na miwani mywusi majitu meusi yameenda hewani yamejaa hayacheki na Alphard Nyeusi 😅😅😅 kama yana nilinda vile
😅😅😅 kumbe bwana flani hivi tu🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo najua nimeibua mheshimiwa?jamaniiiiii
Upewe tuzo ya udaktari!😅😅😅 kumbe bwana flani hivi tu
Acha kabisa... Hapo anahaha Umuone Tisi.Acha hiyo bunduki la mchongo😂?
Hao Tisi wa Nzega.Siku moja tutoke hata maosi wa mchana uone kama hutonywea 🤣🤣🤣 nakuja na majamaa manne yamekula kaunda na miwani mywusi majitu meusi yameenda hewani yamejaa hayacheki na Alphard Nyeusi 😅😅😅 kama yana nilinda vile
Ila mmenichekesha Sana nyie watu wawili🤣🤣ma tiss wa mchongoAcha kabisa... Hapo anahaha Umuone Tisi.
Mwalimu ni N'Anthem.Ila mmenichekesha Sana nyie watu wawili🤣🤣ma tiss wa mchongo
Huyo anatakiwa atunikiwe udaktari wa heshima,na wewe mfuasi wake upewe u professor 🤣Mwalimu ni N'Anthem.
Kuwa makini Sana hp mjini.
Jamaa Tisi kweli bhana.Huyo anatakiwa atunikiwe udaktari wa heshima,na wewe mfuasi wake upewe u professor 🤣