Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣🤣Ha haaa hapo uko tayari kwa lolote Hutaki ujinga wa kujibanabanaPajama bila chupi ndani.....haina kuremba ile 🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Ha haaa hapo uko tayari kwa lolote Hutaki ujinga wa kujibanabanaPajama bila chupi ndani.....haina kuremba ile 🤒
Ee,tena! Yaan ni chap Kwa haraka.....tukimaliza ndo twaanza kuulizana ...."baby mara ya mwisho kupima lini?🤒🤣🤣🤣🤣Ha haaa hapo uko tayari kwa lolote Hutaki ujinga wa kujibanabana
Acha maneno, nipige pigo gani matata ili akiniona tu, awe hoi, awe amenyeshewa na mvua?
Ha haaaa shangazi una experience Sana.. hapo akili ndio zinakuwa zimerudi Sasa 😂Ee,tena! Yaan ni chap Kwa haraka.....tukimaliza ndo twaanza kuulizana ...."baby mara ya mwisho kupima lini?🤒
🤣Yaani huyu nahisi na kichwani atakuwa na bonge flan la pank!jamani hapo inabidi ujikaushe tu na kujifanya sio weweView attachment 2586508
Mpigie gupensi namna hii
Navaga suti ( kaunda suiti na miwani myeusi ).. napewa siku hiyo hiyo mzigoWakuu, nijibuni haya maswali:-
Huwa unavaa mavazi ya aina gani, pale unapoenda kukutana kwa mara ya kwanza, na mpenzi wako mpya, mliyefahamiana naye kupitia mtandaoni?
Na kwanini unavaa hayo mavazi?
mi natupiaga kama alivovaa Juma nature juzi alipokutana na JK😂Wakuu, nijibuni haya maswali:-
Huwa unavaa mavazi ya aina gani, pale unapoenda kukutana kwa mara ya kwanza, na mpenzi wako mpya, mliyefahamiana naye kupitia mtandaoni?
Na kwanini unavaa hayo mavazi?
Kama mpambanaji hakikisha mda wote una tools kama hiziEe,tena! Yaan ni chap Kwa haraka.....tukimaliza ndo twaanza kuulizana ...."baby mara ya mwisho kupima lini?🤒
Mapigo ya kupokelea mshaharaNavaga suti ( kaunda suiti na miwani myeusi ).. napewa siku hiyo hiyo mzigo
hisia umesema🐕yani kwanza kabla hatujatoka iyo date ntakua nishakupigia video calls mara saba mshtukizo ili invute picha na hisia kabisa naenda kukutana na nani😊
Mapigooo ya tithiii🤣🤣 uli fail cubs nini, alafu siongeagi sana nakuwa kama na machale machale, namuambi mtoto hapa usalama mdogo nimepewa signal.. tukakae ndani 🤣🤣🤣 hapo inakuwa imeishaMapigo ya kupokelea mshahara
umenikumbusha demu wangu wa zamani aliwahi kuniambia ninunue bukta kubwa akija hapendi kunikuta na jeans anapata tabu kuanza kunivua suruali,Matrouser mepesi makubwa makubwa Fulani ivi...ukilishusha linateleza tu
vinapatikana wapi hiviKama mpambanaji hakikisha mda wote una tools kama hiziView attachment 2586554
Hivi kuna mwana doctor huwa ananiletea , nahisi anachukua ofisini kwakevinapatikana wapi hivi
Navaga suti ( kaunda suiti na miwani myeusi ).. napewa siku hiyo hiyo mzigo
yeahhisia umesema🐕
😅😅 alafu siongei sana yani, nacheki cheki alafu nipo makini kumtazana kama vile anahojiwa na afande.. mtoto anakuwa muogaTisi wa Kimasihara sio Chamwino
Jamaa wanasingiziwa jamanMapigooo ya tithiii🤣🤣 uli fail cubs nini, alafu siongeagi sana nakuwa kama na machale machale, namuambi mtoto hapa usalama mdogo nimepewa signal.. tukakae ndani 🤣🤣🤣 hapo inakuwa imeisha