To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kwani tunakutana saa ngapi, tuanzie hapo kwanza?😋Sasa ukilivaa bila pichu si itakuwa hatari hiyo tentemente?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani tunakutana saa ngapi, tuanzie hapo kwanza?😋Sasa ukilivaa bila pichu si itakuwa hatari hiyo tentemente?
nime imagine pajama moja hivi jepesi la rangi ya udongo na limevaliwa bila chupi, aisee 😂😂😂🙌🤣🤣🤣🤸🤸🤸
Afu first date iwe jioni...kigiza kikiingia fulani...aiseee😶😊nime imagine pajama moja hivi jepesi la rangi ya udongo na limevaliwa bila chupi, aisee 😂😂😂🙌
Suggest the right time 😊Kwani tunakutana saa ngapi, tuanzie hapo kwanza?😋
sasa uende ukutane na mtu tofauti na uliyekua unamuwaza kichwani...😶Afu first date iwe jioni...kigiza kikiingia fulani...aiseee😶😊
Kuna mzungu kapita nalo hapa mda si mrefu 😂Afu first date iwe jioni...kigiza kikiingia fulani...aiseee😶😊
Haswaaah, [emoji120][emoji120]Usijareee best akeee wewe treinaaahhhh!
Nakuombea kila lenye kheri kipenziiii![emoji8]
Namwitia wahuni wampige....usumbufu sitaki🤒sasa uende ukutane na mtu tofauti na uliyekua unamuwaza kichwani...😶
Ndo penyeweeee, unyamaaa sanaa.Amekufurahishaajee hapo Mambo yako uyapendayoooo hayoooo!! [emoji3526]
🤣🤣🤣Tena hao ndo wanayapenda mnooKuna mzungu kapita nalo hapa mda si mrefu 😂
Wala hata hawazi na tundala twake. Kalipandisha kufikia usawa wa sijui mnaita kitopu😅 na pasi yake nyuma saaaafi kabisa🤣🤣🤣Tena hao ndo wanayapenda mnoo
Wengi wana stress, ndio maana wana hasira hasira za karibu🤣🤣🤣eti mtoa stress
😂😂😂😂😂Namwitia wahuni wampige....usumbufu sitaki🤒
😀😀😀 utamu unaweza ukaishia huko njiani; sidhani kama watakuacha salamaPajama bila chupi ndani.....haina kuremba ile 🤒
🤣🤣🤣🤣 Ukorofi huo😀😀😀 utamu unaweza ukaishia huko njiani; sidhani kama watakuacha salama
Acha maneno, nipige pigo gani matata ili akiniona tu, awe hoi, awe amenyeshewa na mvua?Joanah anakupeleka puta kwakweli....sijui ni huyu hapa sijui ni mamaaa wa mikeka
We utafanyaje, na tayari umepiga hayo mapigo?sasa uende ukutane na mtu tofauti na uliyekua unamuwaza kichwani...😶
ntatoka tu kama naenda chooni na kupotelea hukohuko😅We utafanyaje, na tayari umepiga hayo mapigo?
Usinifanyie hvyo 😅ntatoka tu kama naenda chooni na kupotelea hukohuko😅