cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji8][emoji8][emoji8]baibui, navaa na zile gloves na soks miguuni, natupia juba kwa juu usoni navaa niqab alamsiq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji8][emoji8][emoji8]baibui, navaa na zile gloves na soks miguuni, natupia juba kwa juu usoni navaa niqab alamsiq
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangoni wamekukosea nn wee??Kama wale smart boy wa kingoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]any way ntaenda na elfu 50 ya akiba
maana hawa huwa na magonjwa nyemelezi mara kodi, nauli, mama anaumwa, baba kapaliwa na Wali yani mambo kibao..
Imepitaa bila kupingwaaaa.Kula zako short pensi , sendo kawaida na jezi yako ya Arsenal
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangoni tuko juu mawinguniii.Wanaume wa kingoni Ni ma legendary wa longolongo,utawakuta smart maneno mengiii kumbe hawana Jambo,ukikaa vibaya unajaa kwenye 18[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alisema alikutana na memba wa humu amevaa likaptula likubwaaa alafu limetepeta kama utumbo wa taulo...[emoji12][emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii mie sitakiii.Navaa Dela na pens ndani Ili likitokea mvurugano wa kuagiza na kupokea bidhaa tofaut nianze mbio hapo hapo tutapokutana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂 akiliUmenikumbusha mbali Sana,Kuna roommate wangu enzi nasoma alipata boyfriend,so kila akimpa date watoke out dada anakimbilia kkoo kununua nguo mpya🤣🤣😂kumbe alisahau kuwa mtu mpya na nguo zako zote kwake Ni mpya
Asante sana utanikuta pm nakupa location ya kuipata package yakoNi Jambo la heshima Sana bro wa keko!tafadhali iwe original
4m 6 gani? Akati hata mitihani haijaanza,Form six kadhaa itakuwa wememaliza mtihani
Hebu semaa unavaaje wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaa...!Nimechekaajeeew
Wewe huwa unavaaje unapoenda kukutana na mtoa stress?Hahaaa...!Nimechekaajeeew
Wazazi wamebugia ada kwenye pasakaShule zifunguliwe aisee
unapenda sana kucheka eti?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️!! Nina nguo za maana Shougaaangu!!Hebu semaa unavaaje wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee officials code unazo kibaoo.[emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090]!! Nina nguo za maana Shougaaangu!!
Hata thijuiiii[emoji23]