Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
๐๐ ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐ ๐
uzi wa watu huu me sipo๐ถโโ๏ธ๐ถโโ๏ธ๐
Huwa una vaaje Kelsea?
Mwenye uzi hana shida uzi upo ili uchangiwe.uzi wa watu huu me sipo๐ถโโ๏ธ๐ถโโ๏ธ
ila we jamaa ๐ ๐
Nimefanyaje ๐ila we jamaa ๐ ๐
amna....Nimefanyaje ๐
Kelsea huyoo ๐ kapicha ka kusindikiza koment?
Basi sawa ๐amna....
Umenikumbusha mbali Sana,Kuna roommate wangu enzi nasoma alipata boyfriend,so kila akimpa date watoke out dada anakimbilia kkoo kununua nguo mpya๐คฃ๐คฃ๐kumbe alisahau kuwa mtu mpya na nguo zako zote kwake Ni mpyauzuri wa demu unaeenda kukutana nae kwa mara ya kwanza kila nguo yako anakua anaiona mpya
[emoji23][emoji23] niambiwe nafanya biashara...akaaaKelsea huyoo [emoji28]kapicha ka kusindikiza koment?
Nani akuambie?
[emoji4]
[emoji23] SawaNani akuambie?
PM si ipo [emoji16] si nimependekeza hilo peke angu au kuna mwingine anahitaji pia ?
Fanya pm basi ๐
Ondoka naye kabisa ๐๐๐
Ahsante kwa baraka sijui atakubali?Ondoka naye kabisa ๐๐๐
Mkuu nenda kwenye maduka ya nguo huko utakutana na wanamitindo swali lako litajibiwa huko sisi hatuwazii matambara bali eleri.Wakuu, nijibuni haya maswali:-
Huwa unavaa mavazi ya aina gani, pale unapoenda kukutana kwa mara ya kwanza, na mpenzi wako mpya, mliyefahamiana naye kupitia mtandaoni?
Na kwanini unavaa hayo mavazi?