Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #61
Usipojipanga, utatelekezwa kituo cha basiHapo ndipo wanapo kwamaga watu! Kuna hajagani ya ku complecate maisha!!?
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipojipanga, utatelekezwa kituo cha basiHapo ndipo wanapo kwamaga watu! Kuna hajagani ya ku complecate maisha!!?
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Si huwa mnapenda wacheshi, nikitokeza tu ajizuie kucheka ashindwe kuhimili adi apaliwe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 utoe sababu
Relax,humu mitandaoni Kuna Mambo mengi mywangu,,,,Eh Kuna mtu huku aliniquote comment zangu so anatoa kila post eti Kwa hizo comment mie mwanaume weh ! Si huyu mtoa mada Equation x akashadadia mie nimwanaume nilinyamaza nikaona amezidi nikamwambia ukweli tu Tuheshimiane . Maisha hayaendi hivyoo . Nilichoka tu
Hii ni new versionMbona hii mada ni marudio?
kwa kweliKama una umbo lile kubwa, litajichora na kupelekea kupokelewa vizuri
Safi sana, muhimu kujiaminiNAvaaga ovaroli yngu ya gereji na spana ili demu ajue kuwa nna kzi mjini sijakaa kizembe
Ila wakaka mnaovaaga hivyo hakika huwa mnapendeza especially jezi iwe original Tena ya Manchester...Kula zako short pensi , sendo kawaida na jezi yako ya Arsenal
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa si angekausha?Alisema alikutana na memba wa humu amevaa likaptula likubwaaa alafu limetepeta kama utumbo wa taulo...😜😜
Haina shida sema kingineFresh!usisahau wallet ya kulipia bill.
Aliletaga mrejesho huku, hadi akasimulia alivyo mkimbia huyo memba....😜😜 mbaya zaidi alimpiga na picha akaitupia humu....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa si angekausha?
Vipi, alimpokea au alimtelekeza?Alisema alikutana na memba wa humu amevaa likaptula likubwaaa alafu limetepeta kama utumbo wa taulo...😜😜
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hadi na picha hatari Sana!member atakuwa alijisikia vibaya sanaAliletaga mrejesho huku, hadi akasimulia alivyo mkimbia huyo memba....😜😜 mbaya zaidi alimpiga na picha akaitupia humu....🤣🤣
🙃 baibui !yeah hakika ntaondoka na kitu apa, nmeona kwanza baibui
Wanavizinga vya ajabu sana utaskia mjomba kijijini kameza shoka,bamkubwa katumbukia kwenye kisima inahitajika michangoany way ntaenda na elfu 50 ya akiba
maana hawa huwa na magonjwa nyemelezi mara kodi, nauli, mama anaumwa, baba kapaliwa na Wali yani mambo kibao..
Dahhhh....Vipi, alimpokea au alimtelekeza?
🤣🤣🤣Angalia usije ukatelekezwa stendi