Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Toa sababubaibui, navaa na zile gloves na soks miguuni, natupia juba kwa juu usoni navaa niqab alamsiq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa sababubaibui, navaa na zile gloves na soks miguuni, natupia juba kwa juu usoni navaa niqab alamsiq
Juu natupia na reflector 😂😂😂nimecheka kama mjinga, i can imagine overall na saspenda hahahaah
Ngoja waje washuhudieWadada huvaa chupi mpya.....
Natafuta mapigo ya kuonana nayeKwamba hamjaonana na J
😂😂😂😂😂😂😂😂 utoe sababuJuu natupia na reflector 😂😂😂
Angalia usije ukatelekezwa stendi
Tupe sababuKama wale smart boy wa kingoni
Endelea kusoma, upate pigo la kwenda kuonana na online fianceenipo kusoma comments
Uzuri yupo hapa atakujibuNatafuta mapigo ya kuonana naye
Na walitolee ufafanuziHili nalo makatibu wakalitazame
Mchuchu si anakuja gheto sasa twende wapi?Wakuu, nijibuni haya maswali:-
Huwa unavaa mavazi ya aina gani, pale unapoenda kukutana kwa mara ya kwanza, na mpenzi wako mpya, mliyefahamiana naye kupitia mtandaoni?
Na kwanini unavaa hayo mavazi?
Ki vipi tenaHaikuhusu mnafiki wewe jamaa utaona
Ki vipi tenaHaikuhusu mnafiki wewe jamaa utaona
Ulikuwa unashadadia ujinga eti mie mwanaume ngojaKi vipi tena
Kujiamini muhimuAnikubali jinsi nilivyo na kazi yangu.
Navaa na reflector kabisa
yeah hakika ntaondoka na kitu apa, nmeona kwanza baibuiEndelea kusoma, upate pigo la kwenda kuonana na online fiancee