Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hee we mwanaume kivipi shosti yangu?Ulikuwa unashadadia ujinga eti mie mwanaume ngoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee we mwanaume kivipi shosti yangu?Ulikuwa unashadadia ujinga eti mie mwanaume ngoja
😀😀😀.......ngoja nipate mchuchu kwanza afu nione ntavaaje then ntakoment, nadhani ntajiandaa vizuri kama vile nilivyokua naandaa nguo za kwendea dar wakati huo........
Eh Kuna mtu huku aliniquote comment zangu so anatoa kila post eti Kwa hizo comment mie mwanaume weh ! Si huyu mtoa mada Equation x akashadadia mie nimwanaume nilinyamaza nikaona amezidi nikamwambia ukweli tu Tuheshimiane . Maisha hayaendi hivyoo . Nilichoka tuHee we mwanaume kivipi shosti yangu?
😀 😀 😀any way ntaenda na elfu 50 ya akiba
maana hawa huwa na magonjwa nyemelezi mara kodi, nauli, mama anaumwa, baba kapaliwa na Wali yani mambo kibao..
Anawaza atavaa nini😂😂😂Mwambie atumpie casual tu mi fresh asisahau kupaka ka deodorant ka Nivea for menKwamba hamjaonana na J
Nasubiri apendekeze pigo la kuonana naye, lasivyo nitatelekezwa stendiUzuri yupo hapa atakujibu
Kwa nini uvae hizo nguoMchuchu si anakuja gheto sasa twende wapi?
Track yangu nyeusi na T shirt ya kushindia form six safi safi. Labda uniulize namuandalia nini akifika gheto kwa maana ya mapochopocho na masapta sapta
Wanaume wa kingoni Ni ma legendary wa longolongo,utawakuta smart maneno mengiii kumbe hawana Jambo,ukikaa vibaya unajaa kwenye 18😂Kama wale smart boy wa kingoni
Pole sana, you are a real woman, get a black tea at your own costUlikuwa unashadadia ujinga eti mie mwanaume ngoja
Ashindwe mwenyeweAnawaza atavaa nini😂😂😂Mwambie atumpie casual tu mi fresh asisahau kupaka ka deodorant ka Nivea for men
😂😂😂 You learn me something newHiv shule bado zimefungwa..??
Nitakuja hivi,usinikimbieUnatakiwa kuwa wewe usifoji....vaa mavazi yako yanayokufanya unakuwa comfortable itakupa confidence,ukifoji tu umeshaharibu
Mbona alamsiq tena😂😂 aloobaibui, navaa na zile gloves na soks miguuni, natupia juba kwa juu usoni navaa niqab alamsiq
Kweli mkuu hilo ni la muhimu hasa ukishakua mwanaumeKujiamini muhimu
Toa sababuKula zako short pensi , sendo kawaida na jezi yako ya Arsenal
Kama una umbo lile kubwa, litajichora na kupelekea kupokelewa vizuriyeah hakika ntaondoka na kitu apa, nmeona kwanza baibui
Fresh!usisahau wallet ya kulipia bill.Nitakuja hivi,usinikimbie
View attachment 2585732