Huwenda hii ikawa ndio sababu ya kubadilishwa kwa noti za Tanzania

Huwenda hii ikawa ndio sababu ya kubadilishwa kwa noti za Tanzania

Mwaka fulani nilipomaliza chuo kikuu nikiwa bado kupata ajira rasmi niliamua kutafuta kazi nje ya kile nilichosomea chuoni. Kwani nilipokuwa o-level shule ya ufundi nilisomea ufundi wa kupaka rangi, hivyo niliamua kutafuta kazi hiyo ili niweze kusurvive ndani ya jiji la DSM huku nikiendelea kutafuta kazi ya kile nilichosomea chuo kikuu.

Ndipo nilipopata kazi ya kupaka rangi kwenye ghorofa moja kule Kariakoo, niliifanya kazi ile vizuri na kumpendeza foreman aliyekuwa akisimamia kazi ile ndipo akanichukua mimi na mwenzangu na kunipeleka kwenye jumba moja la kifahari huko Mikocheni kwa ajili ya kufanya kazi ya sceaming na kupaka rangi.

Nilichokikuta huko ndicho kilichonifanya niandike uzi huu, kwani nyumba hiyo ilikuwa ikimilikiwa na wafanyabiashara wenye asili ya ki-asia. Hawa watu huwa targeted sana na wanasiasa hasa kwakuwa humiliki viwango vikubwa vya fedha walivyowekeza kwenye benki zetu za biashara. Kuna mbinu huitumia ili kukwepa vikwazo hivyo haswa inapokaribia kipindi cha uchaguzi mkuu.

Kipindi cha uchaguzi ni kipindi ambacho serikali moja huondoka na serikali nyingine kuingia madarakani, ni katika kipindi hicho kwamba fedha zao huwa mashakani. Fedha zao zilizopo kwenye mabenki huweza kutaifishwa ama kuzuiliwa kwa sababu kadhaa, hivyo huamua kufanya kile nilicho kishuhudia. Kuchimba mashimo mithili ya mahandaki ndani ya nyumba zao, kwenye sakafu au ukutani au hata darini hutengeneza masanduku ya siri ambayo ni vigumu sana kuyatambua.

Ndani ya mashimo hayo ndipo hutumia kuhifadhi fedha hizo, hutoa fedha zao nyingi kutoka kwenye mzunguko na kuzichimbia kwenye mahandaki ya siri yaliyoko kwenye majumba yao, lengo kuu likiwa kuhifadhi fedha hizo kwa usalama wa mitaji yao ya kibiashara, na huja kuzitoa na kuzirudisha tena kwenye mzunguko pale serikali mpya itakapo simikwa na wakijihakikishia kuwa maslahi yao yatalindwa.

Kwahivyo kitendo hicho ndicho kinachofanya uchumi wa nchi kudorora hasa inapokaribia kipindi cha uchaguzi kwani fedha nyingi zinakuwa zimeondolewa kwenye mzunguko na pia wafanyabiashara hujiepusha kufanya uwekezaji mkubwa ama kutumia pesa nyingi kwenye biashara zao kitendo kinachoweza kusababisha upungufu wa fedha kwenye mzunguko wa kiuchumi.

Kwa serikali kutangaza ulazima wa kubadilisha fedha kwa kipindi hiki tunachoelekea kwenye uchaguzi mkuu, kitawalazimisha wafanyabiashara wote haswa wale walioficha fedha kwenye mahandaki kuzitoa na kuzirudisha kwenye mzunguko kwani wasipo fanya hivyo wanaweza kupoteza fedha zao moja kwa moja, lakini kwa serikali itakuwa ni faida kwa kurudisha fedha zilizofichwa kwenye mzunguko wa kawaida hivyo kuhuisha uchumi wa nchi.

Swali la kujiuliza ni kwamba tutaendelea na utaratibu huu mpaka lini wa kubadilisha noti kila tunapo amua kufanya hivyo? Vipi kwa mataifa yaliyo endelea yamewezaje kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha na kuadimika kwa fedha zao bila ya kutumia mbinu hii ya kubadilisha fedha ili kuzitoa fedha zilizofichwa kurudi tena kwenye mzunguko? Tuige kwa mataifa hayo ili kuepuka kubadilisha noti zetu mara kwa mara, tutambue kwamba noti na sarafu ni utambulisho wa kitaifa na sidhani kama ni jambo jema kubadilisha utambulisho huo kila mara.

Nawasilisha.
Pesa zilizotajwa sijui kama wewe unazo au umewahi kuzitumia toka mwaka huu uanze!
Ningekuwa mimi Post hii ningeiondoa.
 
Mwaka fulani nilipomaliza chuo kikuu nikiwa bado kupata ajira rasmi niliamua kutafuta kazi nje ya kile nilichosomea chuoni. Kwani nilipokuwa o-level shule ya ufundi nilisomea ufundi wa kupaka rangi, hivyo niliamua kutafuta kazi hiyo ili niweze kusurvive ndani ya jiji la DSM huku nikiendelea kutafuta kazi ya kile nilichosomea chuo kikuu.

Ndipo nilipopata kazi ya kupaka rangi kwenye ghorofa moja kule Kariakoo, niliifanya kazi ile vizuri na kumpendeza foreman aliyekuwa akisimamia kazi ile ndipo akanichukua mimi na mwenzangu na kunipeleka kwenye jumba moja la kifahari huko Mikocheni kwa ajili ya kufanya kazi ya sceaming na kupaka rangi.

Nilichokikuta huko ndicho kilichonifanya niandike uzi huu, kwani nyumba hiyo ilikuwa ikimilikiwa na wafanyabiashara wenye asili ya ki-asia. Hawa watu huwa targeted sana na wanasiasa hasa kwakuwa humiliki viwango vikubwa vya fedha walivyowekeza kwenye benki zetu za biashara. Kuna mbinu huitumia ili kukwepa vikwazo hivyo haswa inapokaribia kipindi cha uchaguzi mkuu.

Kipindi cha uchaguzi ni kipindi ambacho serikali moja huondoka na serikali nyingine kuingia madarakani, ni katika kipindi hicho kwamba fedha zao huwa mashakani. Fedha zao zilizopo kwenye mabenki huweza kutaifishwa ama kuzuiliwa kwa sababu kadhaa, hivyo huamua kufanya kile nilicho kishuhudia. Kuchimba mashimo mithili ya mahandaki ndani ya nyumba zao, kwenye sakafu au ukutani au hata darini hutengeneza masanduku ya siri ambayo ni vigumu sana kuyatambua.

Ndani ya mashimo hayo ndipo hutumia kuhifadhi fedha hizo, hutoa fedha zao nyingi kutoka kwenye mzunguko na kuzichimbia kwenye mahandaki ya siri yaliyoko kwenye majumba yao, lengo kuu likiwa kuhifadhi fedha hizo kwa usalama wa mitaji yao ya kibiashara, na huja kuzitoa na kuzirudisha tena kwenye mzunguko pale serikali mpya itakapo simikwa na wakijihakikishia kuwa maslahi yao yatalindwa.

Kwahivyo kitendo hicho ndicho kinachofanya uchumi wa nchi kudorora hasa inapokaribia kipindi cha uchaguzi kwani fedha nyingi zinakuwa zimeondolewa kwenye mzunguko na pia wafanyabiashara hujiepusha kufanya uwekezaji mkubwa ama kutumia pesa nyingi kwenye biashara zao kitendo kinachoweza kusababisha upungufu wa fedha kwenye mzunguko wa kiuchumi.

Kwa serikali kutangaza ulazima wa kubadilisha fedha kwa kipindi hiki tunachoelekea kwenye uchaguzi mkuu, kitawalazimisha wafanyabiashara wote haswa wale walioficha fedha kwenye mahandaki kuzitoa na kuzirudisha kwenye mzunguko kwani wasipo fanya hivyo wanaweza kupoteza fedha zao moja kwa moja, lakini kwa serikali itakuwa ni faida kwa kurudisha fedha zilizofichwa kwenye mzunguko wa kawaida hivyo kuhuisha uchumi wa nchi.

Swali la kujiuliza ni kwamba tutaendelea na utaratibu huu mpaka lini wa kubadilisha noti kila tunapo amua kufanya hivyo? Vipi kwa mataifa yaliyo endelea yamewezaje kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha na kuadimika kwa fedha zao bila ya kutumia mbinu hii ya kubadilisha fedha ili kuzitoa fedha zilizofichwa kurudi tena kwenye mzunguko? Tuige kwa mataifa hayo ili kuepuka kubadilisha noti zetu mara kwa mara, tutambue kwamba noti na sarafu ni utambulisho wa kitaifa na sidhani kama ni jambo jema kubadilisha utambulisho huo kila mara.

Nawasilisha.
View attachment 3136171

Ni kwamba watu hawasomi tangazo vizuri na kukurupuka au mimi ndio sijaelewa!!

Hapa wanaongelea noti za zamani kabisa na ile mia tano ya noti iliyobadilishwa kua ya sarafu.

Wewe unaongelea noti mpya kitu ambacho hakijaongelewa hapo 🤔🤔

Hata hivyo ukienda unabadilishiwa hapo hapo, unawapa za zamani unachukua zinazotumika sasa. Au unahisi wanakulazimisha kuweka bank ??
 
Tactical game hii mzee, huwezi kusubmit mapesa yote hayo benki kuyabadilisha bila kushtua watu.. hili gemu linafilisi sana matajri wanaoficha hela ndani
Sasa mtu afiche fedha ya Tz ndani ili iweje? Pesa ya Tz haina thamani inayokuwa, na haiwezi kutumika kimataifa kufanya manunuzi.
Kama mimi nimeficha ndani pesa chafu zaidi ya 100bilioni, nikiamua kuzitoa sihitaji kwenda kuzibadilisha benki, nitaziingiza kwenye mzungumko ili kuzitakatisha jambo ambalo ni suala la wiki moja tu.
 
we huumwi kweli watu wananunua dhahabu wanaficha mzigo wa fedha hawataki sahivi
Tajiri yeyote lazima awe na mzigo wa fedha wa kutosha wa dola na sarafu za nchi, kikinuka dhahabu haziwezi kukusaidia katika kipindi cha muda mfupi(in short run)
 
Out of context, kwani mimi nikienda kufukua masanduku yangu nikatoa bilioni moja huko chini yana manoti yale ya zamani ya blue ya elfu kumi kumi makubwa. Nikaenda kubadilisha bank, nikapewa hizi za sasa kisha nikarudi nyumbani na kuzifukia tena chini, kuna tofauti gani?
Upo ndani ya uzi.Inawezekana.
 
Tajiri yeyote lazima awe na mzigo wa fedha wa kutosha wa dola na sarafu za nchi, kikinuka dhahabu haziwezi kukusaidia katika kipindi cha muda mfupi(in short run)
pole ndugu,dhahabu inauzika popote maana kama ni cash ukiwa na million 50 ama 100 huwezi kushindwa kwenda popote! hivi ukae na billions za kitanzania unajua ni mzigo wa kiasi gani...?
 
Mwaka fulani nilipomaliza chuo kikuu nikiwa bado kupata ajira rasmi niliamua kutafuta kazi nje ya kile nilichosomea chuoni. Kwani nilipokuwa o-level shule ya ufundi nilisomea ufundi wa kupaka rangi, hivyo niliamua kutafuta kazi hiyo ili niweze kusurvive ndani ya jiji la DSM huku nikiendelea kutafuta kazi ya kile nilichosomea chuo kikuu.

Ndipo nilipopata kazi ya kupaka rangi kwenye ghorofa moja kule Kariakoo, niliifanya kazi ile vizuri na kumpendeza foreman aliyekuwa akisimamia kazi ile ndipo akanichukua mimi na mwenzangu na kunipeleka kwenye jumba moja la kifahari huko Mikocheni kwa ajili ya kufanya kazi ya sceaming na kupaka rangi.

Nilichokikuta huko ndicho kilichonifanya niandike uzi huu, kwani nyumba hiyo ilikuwa ikimilikiwa na wafanyabiashara wenye asili ya ki-asia. Hawa watu huwa targeted sana na wanasiasa hasa kwakuwa humiliki viwango vikubwa vya fedha walivyowekeza kwenye benki zetu za biashara. Kuna mbinu huitumia ili kukwepa vikwazo hivyo haswa inapokaribia kipindi cha uchaguzi mkuu.

Kipindi cha uchaguzi ni kipindi ambacho serikali moja huondoka na serikali nyingine kuingia madarakani, ni katika kipindi hicho kwamba fedha zao huwa mashakani. Fedha zao zilizopo kwenye mabenki huweza kutaifishwa ama kuzuiliwa kwa sababu kadhaa, hivyo huamua kufanya kile nilicho kishuhudia. Kuchimba mashimo mithili ya mahandaki ndani ya nyumba zao, kwenye sakafu au ukutani au hata darini hutengeneza masanduku ya siri ambayo ni vigumu sana kuyatambua.

Ndani ya mashimo hayo ndipo hutumia kuhifadhi fedha hizo, hutoa fedha zao nyingi kutoka kwenye mzunguko na kuzichimbia kwenye mahandaki ya siri yaliyoko kwenye majumba yao, lengo kuu likiwa kuhifadhi fedha hizo kwa usalama wa mitaji yao ya kibiashara, na huja kuzitoa na kuzirudisha tena kwenye mzunguko pale serikali mpya itakapo simikwa na wakijihakikishia kuwa maslahi yao yatalindwa.

Kwahivyo kitendo hicho ndicho kinachofanya uchumi wa nchi kudorora hasa inapokaribia kipindi cha uchaguzi kwani fedha nyingi zinakuwa zimeondolewa kwenye mzunguko na pia wafanyabiashara hujiepusha kufanya uwekezaji mkubwa ama kutumia pesa nyingi kwenye biashara zao kitendo kinachoweza kusababisha upungufu wa fedha kwenye mzunguko wa kiuchumi.

Kwa serikali kutangaza ulazima wa kubadilisha fedha kwa kipindi hiki tunachoelekea kwenye uchaguzi mkuu, kitawalazimisha wafanyabiashara wote haswa wale walioficha fedha kwenye mahandaki kuzitoa na kuzirudisha kwenye mzunguko kwani wasipo fanya hivyo wanaweza kupoteza fedha zao moja kwa moja, lakini kwa serikali itakuwa ni faida kwa kurudisha fedha zilizofichwa kwenye mzunguko wa kawaida hivyo kuhuisha uchumi wa nchi.

Swali la kujiuliza ni kwamba tutaendelea na utaratibu huu mpaka lini wa kubadilisha noti kila tunapo amua kufanya hivyo? Vipi kwa mataifa yaliyo endelea yamewezaje kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha na kuadimika kwa fedha zao bila ya kutumia mbinu hii ya kubadilisha fedha ili kuzitoa fedha zilizofichwa kurudi tena kwenye mzunguko? Tuige kwa mataifa hayo ili kuepuka kubadilisha noti zetu mara kwa mara, tutambue kwamba noti na sarafu ni utambulisho wa kitaifa na sidhani kama ni jambo jema kubadilisha utambulisho huo kila mara.

Nawasilisha.
View attachment 3136171
Option hapo ni kudevelop cashless economy , suala la ukwepaji kodi ,rushwa na uhuni wa kila aina itakuwa rahisi kuucontrol ,lakini sasa nikiangalia kwa aina ya majitu yanayoongoza hii nchi na mifumo ya kishenzi iliyotengenezwa na ccm , huu mfumo wa cashless itakuwa ni fimbo ya kukandamiza watu na badala ya kutumika kama solution ya hayo matatizo yanayotukabili kama taifa
 
Out of context, kwani mimi nikienda kufukua masanduku yangu nikatoa bilioni moja huko chini yana manoti yale ya zamani ya blue ya elfu kumi kumi makubwa. Nikaenda kubadilisha bank, nikapewa hizi za sasa kisha nikarudi nyumbani na kuzifukia tena chini, kuna tofauti gani?
Na uzuri wa jambo hili (kubadilisha) linafanyika kwenye bank zote na binafsi.
 
Hujui kitu. Kilichotokea ni kuwa hizo hela hazikuwahi kuondolewa kwenye mizunguko ila as of now hazitumiki kabisa. Niambie mara ya mwisho ulitumia wapi note ya shs 20??? Au ile ya shs 500??? So kinachofanyika hakihusiano kabisa na mleta maada
 
Mwaka fulani nilipomaliza chuo kikuu nikiwa bado kupata ajira rasmi niliamua kutafuta kazi nje ya kile nilichosomea chuoni. Kwani nilipokuwa o-level shule ya ufundi nilisomea ufundi wa kupaka rangi, hivyo niliamua kutafuta kazi hiyo ili niweze kusurvive ndani ya jiji la DSM huku nikiendelea kutafuta kazi ya kile nilichosomea chuo kikuu.

Ndipo nilipopata kazi ya kupaka rangi kwenye ghorofa moja kule Kariakoo, niliifanya kazi ile vizuri na kumpendeza foreman aliyekuwa akisimamia kazi ile ndipo akanichukua mimi na mwenzangu na kunipeleka kwenye jumba moja la kifahari huko Mikocheni kwa ajili ya kufanya kazi ya sceaming na kupaka rangi.

Nilichokikuta huko ndicho kilichonifanya niandike uzi huu, kwani nyumba hiyo ilikuwa ikimilikiwa na wafanyabiashara wenye asili ya ki-asia. Hawa watu huwa targeted sana na wanasiasa hasa kwakuwa humiliki viwango vikubwa vya fedha walivyowekeza kwenye benki zetu za biashara. Kuna mbinu huitumia ili kukwepa vikwazo hivyo haswa inapokaribia kipindi cha uchaguzi mkuu.

Kipindi cha uchaguzi ni kipindi ambacho serikali moja huondoka na serikali nyingine kuingia madarakani, ni katika kipindi hicho kwamba fedha zao huwa mashakani. Fedha zao zilizopo kwenye mabenki huweza kutaifishwa ama kuzuiliwa kwa sababu kadhaa, hivyo huamua kufanya kile nilicho kishuhudia. Kuchimba mashimo mithili ya mahandaki ndani ya nyumba zao, kwenye sakafu au ukutani au hata darini hutengeneza masanduku ya siri ambayo ni vigumu sana kuyatambua.

Ndani ya mashimo hayo ndipo hutumia kuhifadhi fedha hizo, hutoa fedha zao nyingi kutoka kwenye mzunguko na kuzichimbia kwenye mahandaki ya siri yaliyoko kwenye majumba yao, lengo kuu likiwa kuhifadhi fedha hizo kwa usalama wa mitaji yao ya kibiashara, na huja kuzitoa na kuzirudisha tena kwenye mzunguko pale serikali mpya itakapo simikwa na wakijihakikishia kuwa maslahi yao yatalindwa.

Kwahivyo kitendo hicho ndicho kinachofanya uchumi wa nchi kudorora hasa inapokaribia kipindi cha uchaguzi kwani fedha nyingi zinakuwa zimeondolewa kwenye mzunguko na pia wafanyabiashara hujiepusha kufanya uwekezaji mkubwa ama kutumia pesa nyingi kwenye biashara zao kitendo kinachoweza kusababisha upungufu wa fedha kwenye mzunguko wa kiuchumi.

Kwa serikali kutangaza ulazima wa kubadilisha fedha kwa kipindi hiki tunachoelekea kwenye uchaguzi mkuu, kitawalazimisha wafanyabiashara wote haswa wale walioficha fedha kwenye mahandaki kuzitoa na kuzirudisha kwenye mzunguko kwani wasipo fanya hivyo wanaweza kupoteza fedha zao moja kwa moja, lakini kwa serikali itakuwa ni faida kwa kurudisha fedha zilizofichwa kwenye mzunguko wa kawaida hivyo kuhuisha uchumi wa nchi.

Swali la kujiuliza ni kwamba tutaendelea na utaratibu huu mpaka lini wa kubadilisha noti kila tunapo amua kufanya hivyo? Vipi kwa mataifa yaliyo endelea yamewezaje kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha na kuadimika kwa fedha zao bila ya kutumia mbinu hii ya kubadilisha fedha ili kuzitoa fedha zilizofichwa kurudi tena kwenye mzunguko? Tuige kwa mataifa hayo ili kuepuka kubadilisha noti zetu mara kwa mara, tutambue kwamba noti na sarafu ni utambulisho wa kitaifa na sidhani kama ni jambo jema kubadilisha utambulisho huo kila mara.

Nawasilisha.
View attachment 3136171
Serikali pumbavu ya ccm ifute sifuri moja kwenye pesa
 
Out of context, kwani mimi nikienda kufukua masanduku yangu nikatoa bilioni moja huko chini yana manoti yale ya zamani ya blue ya elfu kumi kumi makubwa. Nikaenda kubadilisha bank, nikapewa hizi za sasa kisha nikarudi nyumbani na kuzifukia tena chini, kuna tofauti gani?
Huwezi kwenda kubadilisha bil moja ukarudi nayo nyumbani mkuu unaijua bank vizuri
 
Mleta uzi. Kwamba una ujuzi wa kupaka rangi uliusomea form four ni uongo, kwamba siku ya kwanza tu kwenda Kkoo ukagewa kazi na ukaaminiwa kwenda Masaki ni uongo.

Sasa tujadili hiki kingine.

Mtu aliyeficha noti zake ndani na anayeweka benki hawa wote hawana msaada katika kusaidia mzunguko wa pesa na ukuaji wa uchumi.

Katika dunia ya leo ambayo unaweza fungua akaunti ya benk online kwa nchi zingine si unafungua tu akaunt huko kwingine na kuhifadhi pesa badala ya kuchimba kama enzi za simulizi za Ben R. Mtobwa na Pesa Zako Zinanuka?

Watu wanaficha/ wanahifadhi dhahabu au dola ni ngumu kuficha/ kuhifadhi Tsh kwakua Tsh haipo steady and stable kama hivyo viwili.

Uchumi unakua stimulated na miradi mfano ya ujenzi ambayo pesa yake ikilipwa inaweza kumgusa kuanzia aliyesomea uhandisi hadi ambaye hajasoma ni anauza tu juisi za 500 kwa saidia fundi.

You can see kwamba ukiweka benki ni umeweka tu na hakuna kiasi kinakua injected kwenye mzunguko.
Haikuwa siku ya kwanza nilifanya kwa muda fulani ila hapo nimeamua kukatisha tu maelezo yasiwe marefu, of course mwanzo iliniwia vigumu kuadopt ila nilijitahidi mpaka nikaweza, niliaminiwa kwakuwa nilikuwa na fundi mwenzangu ambaye ni competent alikuwa akinibackup na kufuta makosa yangu ya kiufundi. Kwenye kutafuta ugali lazima ujitume.
 
Huwezi kwenda kubadilisha bil moja ukarudi nayo nyumbani mkuu unaijua bank vizuri
I'm x banker najua bank banking kuliko wewe. Unaifukua unapeleka bank unaweka amana. Then unatoa kidogo kidogo tofauti yake na nilichosema ni nini?
 
Tactical game hii mzee, huwezi kusubmit mapesa yote hayo benki kuyabadilisha bila kushtua watu.. hili gemu linafilisi sana matajri wanaoficha hela ndani
Kwa wandewa wenyewe hii game inachezwa kimya kimya. Na sidhani kwa hali ya sasa kuna mhindi mjinga anaweka hela ndani. Mhindi ananunua dollars kisha anafungua account ya dola nje ya nchi. Nyie hata mfanyeje, mnazipata wapi hela zake?
 
Kuna limit huonfoki nazo zitaingia bank mazeee oooh umafikiria wajinga....nadhani kuna kiwango kulaa nacho home ingawa bado sheria kupitishwa ila kipo....nadhani 20. To 100m
Unatoa kidogo kidogo
 
Mwaka fulani nilipomaliza chuo kikuu nikiwa bado kupata ajira rasmi niliamua kutafuta kazi nje ya kile nilichosomea chuoni. Kwani nilipokuwa o-level shule ya ufundi nilisomea ufundi wa kupaka rangi, hivyo niliamua kutafuta kazi hiyo ili niweze kusurvive ndani ya jiji la DSM huku nikiendelea kutafuta kazi ya kile nilichosomea chuo kikuu.

Ndipo nilipopata kazi ya kupaka rangi kwenye ghorofa moja kule Kariakoo, niliifanya kazi ile vizuri na kumpendeza foreman aliyekuwa akisimamia kazi ile ndipo akanichukua mimi na mwenzangu na kunipeleka kwenye jumba moja la kifahari huko Mikocheni kwa ajili ya kufanya kazi ya sceaming na kupaka rangi.

Nilichokikuta huko ndicho kilichonifanya niandike uzi huu, kwani nyumba hiyo ilikuwa ikimilikiwa na wafanyabiashara wenye asili ya ki-asia. Hawa watu huwa targeted sana na wanasiasa hasa kwakuwa humiliki viwango vikubwa vya fedha walivyowekeza kwenye benki zetu za biashara. Kuna mbinu huitumia ili kukwepa vikwazo hivyo haswa inapokaribia kipindi cha uchaguzi mkuu.

Kipindi cha uchaguzi ni kipindi ambacho serikali moja huondoka na serikali nyingine kuingia madarakani, ni katika kipindi hicho kwamba fedha zao huwa mashakani. Fedha zao zilizopo kwenye mabenki huweza kutaifishwa ama kuzuiliwa kwa sababu kadhaa, hivyo huamua kufanya kile nilicho kishuhudia. Kuchimba mashimo mithili ya mahandaki ndani ya nyumba zao, kwenye sakafu au ukutani au hata darini hutengeneza masanduku ya siri ambayo ni vigumu sana kuyatambua.

Ndani ya mashimo hayo ndipo hutumia kuhifadhi fedha hizo, hutoa fedha zao nyingi kutoka kwenye mzunguko na kuzichimbia kwenye mahandaki ya siri yaliyoko kwenye majumba yao, lengo kuu likiwa kuhifadhi fedha hizo kwa usalama wa mitaji yao ya kibiashara, na huja kuzitoa na kuzirudisha tena kwenye mzunguko pale serikali mpya itakapo simikwa na wakijihakikishia kuwa maslahi yao yatalindwa.

Kwahivyo kitendo hicho ndicho kinachofanya uchumi wa nchi kudorora hasa inapokaribia kipindi cha uchaguzi kwani fedha nyingi zinakuwa zimeondolewa kwenye mzunguko na pia wafanyabiashara hujiepusha kufanya uwekezaji mkubwa ama kutumia pesa nyingi kwenye biashara zao kitendo kinachoweza kusababisha upungufu wa fedha kwenye mzunguko wa kiuchumi.

Kwa serikali kutangaza ulazima wa kubadilisha fedha kwa kipindi hiki tunachoelekea kwenye uchaguzi mkuu, kitawalazimisha wafanyabiashara wote haswa wale walioficha fedha kwenye mahandaki kuzitoa na kuzirudisha kwenye mzunguko kwani wasipo fanya hivyo wanaweza kupoteza fedha zao moja kwa moja, lakini kwa serikali itakuwa ni faida kwa kurudisha fedha zilizofichwa kwenye mzunguko wa kawaida hivyo kuhuisha uchumi wa nchi.

Swali la kujiuliza ni kwamba tutaendelea na utaratibu huu mpaka lini wa kubadilisha noti kila tunapo amua kufanya hivyo? Vipi kwa mataifa yaliyo endelea yamewezaje kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha na kuadimika kwa fedha zao bila ya kutumia mbinu hii ya kubadilisha fedha ili kuzitoa fedha zilizofichwa kurudi tena kwenye mzunguko? Tuige kwa mataifa hayo ili kuepuka kubadilisha noti zetu mara kwa mara, tutambue kwamba noti na sarafu ni utambulisho wa kitaifa na sidhani kama ni jambo jema kubadilisha utambulisho huo kila mara.

Nawasilisha.
View attachment 3136171
Mwaka fulani nilipomaliza chuo kikuu nikiwa bado kupata ajira rasmi niliamua kutafuta kazi nje ya kile nilichosomea chuoni. Kwani nilipokuwa o-level shule ya ufundi nilisomea ufundi wa kupaka rangi, hivyo niliamua kutafuta kazi hiyo ili niweze kusurvive ndani ya jiji la DSM huku nikiendelea kutafuta kazi ya kile nilichosomea chuo kikuu.

Ndipo nilipopata kazi ya kupaka rangi kwenye ghorofa moja kule Kariakoo, niliifanya kazi ile vizuri na kumpendeza foreman aliyekuwa akisimamia kazi ile ndipo akanichukua mimi na mwenzangu na kunipeleka kwenye jumba moja la kifahari huko Mikocheni kwa ajili ya kufanya kazi ya sceaming na kupaka rangi.

Nilichokikuta huko ndicho kilichonifanya niandike uzi huu, kwani nyumba hiyo ilikuwa ikimilikiwa na wafanyabiashara wenye asili ya ki-asia. Hawa watu huwa targeted sana na wanasiasa hasa kwakuwa humiliki viwango vikubwa vya fedha walivyowekeza kwenye benki zetu za biashara. Kuna mbinu huitumia ili kukwepa vikwazo hivyo haswa inapokaribia kipindi cha uchaguzi mkuu.

Kipindi cha uchaguzi ni kipindi ambacho serikali moja huondoka na serikali nyingine kuingia madarakani, ni katika kipindi hicho kwamba fedha zao huwa mashakani. Fedha zao zilizopo kwenye mabenki huweza kutaifishwa ama kuzuiliwa kwa sababu kadhaa, hivyo huamua kufanya kile nilicho kishuhudia. Kuchimba mashimo mithili ya mahandaki ndani ya nyumba zao, kwenye sakafu au ukutani au hata darini hutengeneza masanduku ya siri ambayo ni vigumu sana kuyatambua.

Ndani ya mashimo hayo ndipo hutumia kuhifadhi fedha hizo, hutoa fedha zao nyingi kutoka kwenye mzunguko na kuzichimbia kwenye mahandaki ya siri yaliyoko kwenye majumba yao, lengo kuu likiwa kuhifadhi fedha hizo kwa usalama wa mitaji yao ya kibiashara, na huja kuzitoa na kuzirudisha tena kwenye mzunguko pale serikali mpya itakapo simikwa na wakijihakikishia kuwa maslahi yao yatalindwa.

Kwahivyo kitendo hicho ndicho kinachofanya uchumi wa nchi kudorora hasa inapokaribia kipindi cha uchaguzi kwani fedha nyingi zinakuwa zimeondolewa kwenye mzunguko na pia wafanyabiashara hujiepusha kufanya uwekezaji mkubwa ama kutumia pesa nyingi kwenye biashara zao kitendo kinachoweza kusababisha upungufu wa fedha kwenye mzunguko wa kiuchumi.

Kwa serikali kutangaza ulazima wa kubadilisha fedha kwa kipindi hiki tunachoelekea kwenye uchaguzi mkuu, kitawalazimisha wafanyabiashara wote haswa wale walioficha fedha kwenye mahandaki kuzitoa na kuzirudisha kwenye mzunguko kwani wasipo fanya hivyo wanaweza kupoteza fedha zao moja kwa moja, lakini kwa serikali itakuwa ni faida kwa kurudisha fedha zilizofichwa kwenye mzunguko wa kawaida hivyo kuhuisha uchumi wa nchi.

Swali la kujiuliza ni kwamba tutaendelea na utaratibu huu mpaka lini wa kubadilisha noti kila tunapo amua kufanya hivyo? Vipi kwa mataifa yaliyo endelea yamewezaje kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha na kuadimika kwa fedha zao bila ya kutumia mbinu hii ya kubadilisha fedha ili kuzitoa fedha zilizofichwa kurudi tena kwenye mzunguko? Tuige kwa mataifa hayo ili kuepuka kubadilisha noti zetu mara kwa mara, tutambue kwamba noti na sarafu ni utambulisho wa kitaifa na sidhani kama ni jambo jema kubadilisha utambulisho huo kila mara.

Nawasilisha.
View attachment 3136171
Hiyo inaonekana kama vile kuna dili fulani hivi. Madili ya namna hiyo yalishawahi kutokea nchini Nigeria na nchini Liberia.

Mathalani, nchini Liberia ilitokea kwamba baadhi ya Wanasiasa Watawala wa nchi hiyo ambao ni Wahalifu (Mafisadi) walishirikiana na Watendaji wa Benki Kuu ya nchi hiyo walitoa zabuni ya kuchapisha Noti Mpya za fedha za nchi hiyo kwa Kampuni Moja huko Ulaya. Baada ya noti hizo kuchapishwa kutoka kiwandani kwa Mzabuni, zilisafirishwa kwenye ma-container kupitia baharini hadi bandari ya Mji Mkuu wa nchi hiyo Monrovia. Hao Watawala wapiga madili walifanikiwa kuiba Jumla ya Makontena manne (4) yaliyobeba Noti Mpya, makontena hayo yenye fedha (Noti mpya) yaliibiwa hapo hapo bandarini na kisha kupotelea Mahali kusikojulikana na Kamwe hayakuwahi kupatikana tena hadi leo.
Watawala wa nchi za Afrika na madili ya kifisadi ni 'damu damu' kama samaki na maji.
 
Back
Top Bottom