Huwenda hii ikawa ndio sababu ya kubadilishwa kwa noti za Tanzania

 
U
Kwa wandewa wenyewe hii game inachezwa kimya kimya. Na sidhani kwa hali ya sasa kuna mhindi mjinga anaweka hela ndani. Mhindi ananunua dollars kisha anafungua account ya dola nje ya nchi. Nyie hata mfanyeje, mnazipata wapi hela zake?
UKiona mkuu mpaka serikali inabadili hela ghafla tu ujue kuna watu wanatargetiwa na imetoa viashiria hivyo. We ungekua mtu wa system ungrkuwa ushajua nani anaenda kulia mana mpaka muda huu huyo mtu atakuwa na jicho nyanya
 
Hujalielewa tangazo la BOT
 
Yaani watu wanakurupuka sana.
 
Reactions: I M
Kwanza,Weka ushahidi wa unachokisema ukionesha kama bara la Afrika laongoza....
Weka takwimu na si porojo...
 
So unaenda kununua dhamana ya serikali na unadhani upo safe...?
Yani,unajiingiza kwenye register ya Benki kuu,ambapo mwanzo uliogopa kupereka pesa Benki ya Kawaida...

Yani,watu hizi mbinu zenu za kitoto,unafkiri ni ngumu kugundulika....🤣🤣🤣🤣
 
Kasongo yeyee..mombali nangaa,, kasongo mbona wewooh,,songali nangaa,,wo- yeyee,, kasongo mbona weweeeh,,mbona wewoooooh
 
Sio hela hizi zinazobadilishwa ni zile za zamanii mbona hamuelewi
Za zamani zilishatolewa tangazo kwamba hazitakuwa halali tena kwa kubadilishwa baada ya yarehe husika ya miaka hiyo. Hapa inaonekana kuna mtu alificha matrillion na zikabdioishwa huku yeye akishindwa kubadilisha hizo pesa haramu. Kwahiyo sasa wanazihalalisha ili kuziingiza kwenye mzunguko na kuketa inflation kwa kuwachapishia pesa mpya
 

Umewaza kama mimi. Hivi Kama Elfu kumi ya zamani au hata elfu tano au mbili au moja wapi imetumika au wapi watu walikuwa wanaitumia. Maana zilishaondoka mtaani kabisa.. Hata mtu ukimkuta nayo ameibakisha kama urembo . Alafu Eti Tangazo lina kuja kuzihalalisha tena hizo fedha.

Bora wangesema mia tano peks yake za noti ambazo zimetoka pamoja na hizi hizi ambazo tuko nazo katika matumizi hila zikatolewa kulipokuja sarafu..

Kuna Harufu ya utakatishaji fedha hapa
 
Kabisa. Nahisi kama wewe. Wanataka kufuta HISTORIA ya waasisi wa Taifa na kuweka sura zao. Ni mtazamo na malengo ya kisiasa zaidi kuliko malengo na faida za kiuchumi.
 
Hujaelewa nini? O-level alikuwa technical school akajifunza kupaka rangi! Kipi cha ajabu!? Unashangaa alivyoaminiwa kwa kufanya KAZI nzuri Kariakoo?!
 
Hujaelewa nini? O-level alikuwa technical school akajifunza kupaka rangi! Kipi cha ajabu!? Unashangaa alivyoaminiwa kwa kufanya KAZI nzuri Kariakoo?!
Tafuta uone mwenye uzi alivyojibu
 
Mbna pesa BOT wanazoziongelea tayari zilishapotea mtaAni, In today's world people keep their money in things like crypto and stable fiat currencies not Tanzania shillings.
#No malice to anybody
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…