Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Sasa hizo comments tuu..Dah.. Usinikumbushe kabisa mzee, misala mingi halafu class nasongesha vizuri, mwalimu wananikubali inabidi wa nitetee tu, form 1 nikatimuliwa baada ya kukata makofi mwalimu, A level nikamtongoza ticha wangu wa physics 😂
Primary usipime, watoto, sijui watu gani nimo, matokeo mazuri nimo, Wali u wakaniachia tu 🤣, sura ya pole ila mtukio sasa 🤣😂
Legeza kodi, ujue saa hizi kichwa yangu mambo mengi, mchele tumepanda bei, wiki ya 3 hii nyumbani wanakula nguna, wifi yako kagoma kunipa raha dunia I, mwenye nyumba nae anataka kupandisha kodi, mtoto madaftari yameisha yote kwa mkupuo, kuna mchango mtoto wa mjomba anaona basi balaa tu 😂Kwan mpyaa? Huyu si alikua na yule baba wa mjengoni ana cheo kikubwa tyuuh sahiv hapo ndani, ana asili ya nje.
Kamlaaaa sanaaaaaaa na kamdamp.
Ni ajabu sana kwani hayo mambo kwa wasokile ni ya kichawi; wakigundua kuwa Wewe ni shoga wanaweza kukupoteza!!Wanyakyusaa mashoga kibao wapoooo. Wala sio ajabuu.
Basi huyu asiitwe tena simba ni panya buku tu, CHAMAKI NCHANGA, kitoweo, kitafunwa cha wazibua mitaro.Usafini toka boss hadi wafanyakazi ni toleo jipyaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na anaenda gymKuna huyu wakujiita @Chokuu hapa sijui imekaaje hii kitaalamu
View attachment 2619649
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] code nyepesi kabisaaa.Legeza kodi, ujue saa hizi kichwa yangu mambo mengi, mchele tumepanda bei, wiki ya 3 hii nyumbani wanakula nguna, wifi yako kagoma kunipa raha dunia I, mwenye nyumba nae anataka kupandisha kodi, mtoto madaftari yameisha yote kwa mkupuo, kuna mchango mtoto wa mjomba anaona basi balaa tu [emoji23]
Labda anatafuta nyonyo nachuro 😂😂😂Na anaenda gym
A level nilipiga PCM..Sasa hizo comments tuu..
An daah nabaki nacheka 🤓🤓🤓
Tuu kumbe na PHY ulipiga..
Ndo mana kichwa kimekua confused sana🤓🤓🤓🤓
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] awaharibie nan? Si anapenda zamu zamu huyu.Basi huyu asiitwe tena simba ni panya buku tu, CHAMAKI NCHANGA, kitoweo, kitafunwa cha wazibua mitaro.
Nani tena anatuharibia kijana.
Thubutuuuuu wapoo kibao sahiv.Ni ajabu sana kwani hayo mambo kwa wasokile ni ya kichawi; wakigundua kuwa Wewe ni shoga wanaweza kukupoteza!!
Maisha ya niumize kichwa hata huyu Rehema nae niumize kichwa.. Simplify, gawanya kwa 2 kila upande.. X=?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] code nyepesi kabisaaa.
Aaah wee.
Jina lenyewe choko..Kuna huyu wakujiita @Chokuu hapa sijui imekaaje hii kitaalamu
View attachment 2619649
Ndio maana Mbunge wa zamani wa KYELA amelivalia njuga suala la ushoga , kumbe ndugu zake wanaliwa sana huko! mchele wao umewaponza kwani WAPEMBA wamejaa huko!Hili nalo likaangaliwe
Mnyarwanda mkuuWa nchi gani huyu??
Wapo kibao sehemu gani ? Usokileni?Thubutuuuuu wapoo kibao sahiv.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anapika na kupakuliwa..
Mwisho we kataona uvivu kupika ataona raha kupakuliwa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaaaMaisha ya niumize kichwa hata huyu Rehema nae niumize kichwa.. Simplify, gawanya kwa 2 kila upande.. X=?
[emoji23][emoji1787]