Mrusi keshampiga Ukraine nini kimetokea?? ushabiki maandaziBila kushirikiana hakuna mafanikio .na kama kweli mrusi mbabe awapige ukraine .mjomba acha ushabiki wa simba na yanga . Liogope sana taifa la marekani kwenye kila Nyanja unayoijua wewe bila marekani hakuna Amani duniani ukubali ukatae ukweli ndio huo
koment ya hovyo kabisaBila kushirikiana hakuna mafanikio .na kama kweli mrusi mbabe awapige ukraine .mjomba acha ushabiki wa simba na yanga . Liogope sana taifa la marekani kwenye kila Nyanja unayoijua wewe bila marekani hakuna Amani duniani ukubali ukatae ukweli ndio huo
kama anaweza aingilie ukiona unaleta sababu zakutokuweza kwake ujue ndio hawezi hakuna zaidiKuna kitu hujakielewa mkuu. sio kwamba marekani hawezi kuingilia hii vita kijeshi big no.J biden na hata putin mwenyewe wameshaweka wazi kuwa marekani akisema aingilie kati kijeshi huu mzozo hiyo ni vita ya tatu ya dunia. na hakuna taifa lililo tayari kwa vita ya tatu ya dunia, siyo Russia wala USA na heshima yote hii unayoiona inatokana na uwepo wa silaha za nyuklia. ipo wazi Incase kutatokea kwa WIII basi silaha za nyuklia ni lazima zitumike na hakuna aliye tayari kwa hili. kwa namna yoyote ile marekani hawezi kuingilia kati hii vita zaidi ya kuweka vikwazo tu na hii haimaanishi kuwa hana uwezo la hasha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonyesha una dhiki kupitiliza sio kwa stress hizi.Wewe kafue chupi huko hayo mkaongee huko USA lakini kwa wanaume wa urusi utaishia kupakuliwa
Mchina kwanza hata vita haviwezi wala propaganda.Siku ya tisa hatuoni chochote zaidi ya vikwazo.
Nimesoma mtandao mmoja kuwa warudi wamejuandaa kwa vikwazo.
Hakafu warusi wanatumua sana physocal money kuliko digital money.
Kingine wana mfumo wao q pisa waliouungsnisha na SISP wa wachina hivyo kuna biashara zitafanyika hata bika SWIFT.
Ngoja tuone kama Russia itafilisika au la.
Russia ikifilisika wazungu watatupelekesha watakavyo atbaki mchina peke ake ambae hatawaweza wazungu.
Vipi sasa kapigwa shoga yako unatamani ufute jumbe hiiBila kushirikiana hakuna mafanikio .na kama kweli mrusi mbabe awapige ukraine .mjomba acha ushabiki wa simba na yanga . Liogope sana taifa la marekani kwenye kila Nyanja unayoijua wewe bila marekani hakuna Amani duniani ukubali ukatae ukweli ndio huo
tunarudi pale pale hana uwezo peke yake. lazima apunguze gharama kupitia wengineVita ni gharama, kama unaweza kupata wapambe wa kukuunga mkono kupunguza gharama basi unafanya hvyo.
Sema Marekani siku hizi anabweka sana bika kung'ata
Alikywa anaropoka.Wengi wetu humu ni maamuma hatujui chochote kuhusu hayo manchi, ni ushabiki tu.Vipi sasa kapigwa shoga yako unatamani ufute jumbe hii
Remember it’s only democrat is party rely on NATO .Republicans no wayTunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.
Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.
Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.
Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.
Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.
Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?
Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?
Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?
Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.
Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.
Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.
Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.
sidhani kama umri wako na ulichoandika vitakuwa vinafananakama anaweza aingilie ukiona unaleta sababu zakutokuweza kwake ujue ndio hawezi hakuna zaidi
WestKanye
Marekani anaiogopa russia sio kwasababu hana nguvu, bali ni kwasababu anajua maana na madhara ya nukes. alisha experience icho na ni ghost inayomhunt hadi leo anajilaumu kwanini alibonyeza ile batton (hiroshima and nagasaki). nuklia sio mchezo. hao wazungu wengine ni mbwa tu wanabwekabweka hawajui kitu.Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.
Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.
Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.
Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.
Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.
Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?
Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?
Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?
Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.
Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.
Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.
Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji119][emoji119][emoji119]we jamaa fala sana hahahaSawa kwani tatizo liko wapi?
Watu mna chekesha someni historia. Walitoa hayo mabomu na bado marekani aliweka yake turkey na rusia hakusema loloteTatizo watu wa JF mnasikiliza Sana vyombo vya habari vya kimagharibi ......huwa havitoi Sana uwezo mkubwa wa kijeshi wa RUSSIA
ila Russia ni nchi inayomiliki silaha Kali zaidi kuliko nchi yoyote duniani that's y NATO wanajitahidi kukaa pamoja kumdhibiti coz Russia anamiliki hadi Robot za kivita ......ukiachana na ICBM ambazo zinaweza kukufikia popote pale duniani
Kama unabisha kuhusu USA kumuogopa RUSSIA rejea CUBAN NUCLEAR MISSILES. ......coz pale USA ilikaa na rais JF Kennedy wa USA aliomba yaishe wakae chin kusuruhisha hii Mambo
Na Russia kuzuia Ukraine kujiunga na NATO yuko sahihi coz ....baada ya kukaa chin walifanya agreement ya majeshi ya hiz nchi yasije kukaribiana .....kamwe ....
So USA kujiingiza Ukraine anataka kumu overtake mrussia
Marekani ana uza silaa za billions of dilar wewe una uza earphones wapi na wapihilo jina baya mnalonyie tu ila karibu dunia nzima inaelewa kama nipropaganda zenu dhidi ya UCHINA kama unaamini anajina baya mbona bado anafanya vyema kweye uga wabiashara ulimwenguni ndani ya UCHINA na nje ya UCHINA
Vita ya Urusi na Nato/Marekani itaipeleka dunia wapi? Nchi hizi zina mabomu ya nuclear mengi, na hakuna atayekubali kushindwa- labda mmoja amuwahi mwenzake na kuteketeza mitambo yote ya nuclear ya mwenzake- kitu ambacho si rahisi sana kutekeleza. Kuna mabomu kwenye manowari na madege yanayozunguka kila wakati angani. Viongozi wenye busara wanajaribu kuzuia dunia isiende huko, dunia itabadilika kabisa itakuwa haikaliki- mionzi ya nuclear itasumbua sana wakazi wa dunia. Dunia nzima itadhurika kwa joto na mionzi mikali itakayotokana na vita hiyo.Bado Marekani huyohuyo amekusanya mataifa mengi wameungana kwaajili ya kuikabili Urusi lakini bado wameishia kwenye taarabu
NATO wameshatoa msimamo,Russia akiingia.......,NATO wameshaamza kujiandaa kwa battle.Unaongea wewe ila Russia this time anajua kifuatacho ndio maana amekana kutaka kuvamia Ukraine na NATO wameshatoa msimamo kuwa Russia akiingiza mavuzi Ukraine atajutia kwa madhara atakayo yapata kutokana na uvamizi huo.... NATO wameshaanza kujiandaa na battle urusi karudisha Battery anadai hana mpango wala fikra za kuvamia Ukraine
Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.
Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.
Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.
Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.
Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.
Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?
Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?
Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?
Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.
Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.
Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.
Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.