Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

Putin na Urusi yake ya mdomoni kwenye grounds ni mbingu na ardhi kuanzia ukakamavu,mbinu na silaha.
 
Huyo mumeo US yuko wapi mkuu, ulisema awapige Ukraine tuone. na kawapiga, haya unasemaje na huyo mumeo US
Simply U.S hawaogopi Russia ila anaepuka vita kwa sababu ana vingi vya kupoteza kama super power kuliko uyo Russia
 
hahaaaa , ttzo akil za Putin km za waafrika , wazungu wameshapiga hatua hawako huko kwenye kuunda mpk tv kuonesha ubora wenu tu kijeshi
 
Nchi za warabu? ni nchi gani amewahi kwenda bila kuomba msaada kwa mfano mmoja tu Iraq mmarekani ni fisi mwenye sauti na majigambo hana lolote aendelee kuhimiza ndoa za jinsia moja
US mashoga ni wachumba tu.kama kweli mbabe wa Dunia akatie mguu kule Ukreine kunakowaka moto sasa hivi.
 
NATO ni Marekani, hiki ndo kitu warusi wa Buza hawakielewi lakin Putin anaelewa.
 
hahaaaa , ttzo akil za Putin km za waafrika , wazungu wameshapiga hatua hawako huko kwenye kuunda mpk tv kuonesha ubora wenu tu kijeshi
hivi unajua kama mrusi amempa lift mmarekani juzi wakati huu huu wa vita kwenye chombo chao cha kwenda angali? yaani mmarekani amedandia kwenye chombo cha mrusi badala ya kwenda na cha kwake. ni sawa na wewe huna gari alafu unadandia kwa jirani tena mliyewahi kutukanana. ndivyo ilivyotokea. ukitaka kutudharaulisha waafrica mbele ya mzungu upo sawa, ila ukitaka kumdharaulisha mrusi mbele ya mmarekani, unapotoka sana. ni dunia ya kwanza ile tangu miaka mingi sana.
 
Wewe utakuwa kuwadi wa marekani,
 
Kumbe bado wajinga mko wengi? Endelea kuota jua baada ya kula hicho kipolo chako cha wali,
 

Oyaaaa..mpaka muda huu vipi?? Ukraine hajapigwa? Marekani kafanya nini?.
 
Oyaaaaa leo nina furaha kuliko siku zote [emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]

[emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji3538][emoji3538][emoji3538]2 former U.S. service members captured by Russian forces near Kharkiv[emoji3538][emoji3538][emoji3538]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…