Mgodo Mgodoki
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,399
- 1,366
Putin na Urusi yake ya mdomoni kwenye grounds ni mbingu na ardhi kuanzia ukakamavu,mbinu na silaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simply U.S hawaogopi Russia ila anaepuka vita kwa sababu ana vingi vya kupoteza kama super power kuliko uyo RussiaHuyo mumeo US yuko wapi mkuu, ulisema awapige Ukraine tuone. na kawapiga, haya unasemaje na huyo mumeo US
umeona kumbe unajua anaepusha gharama , hapo ndo ujue Ussr ilianguka kwa kutokuwa na mipangotunarudi pale pale hana uwezo peke yake. lazima apunguze gharama kupitia wengine
hahaaaa , ttzo akil za Putin km za waafrika , wazungu wameshapiga hatua hawako huko kwenye kuunda mpk tv kuonesha ubora wenu tu kijeshiMarekani anaiogopa russia sio kwasababu hana nguvu, bali ni kwasababu anajua maana na madhara ya nukes. alisha experience icho na ni ghost inayomhunt hadi leo anajilaumu kwanini alibonyeza ile batton (hiroshima and nagasaki). nuklia sio mchezo. hao wazungu wengine ni mbwa tu wanabwekabweka hawajui kitu.
Nchi za warabu? ni nchi gani amewahi kwenda bila kuomba msaada kwa mfano mmoja tu Iraq mmarekani ni fisi mwenye sauti na majigambo hana lolote aendelee kuhimiza ndoa za jinsia mojaUS mchumba tu,anawazinguaga vijikundi vya kigaidi vya waarabu ila sio kwa wanaume wenye ndevu kana Rusia na Iran.
US mashoga ni wachumba tu.kama kweli mbabe wa Dunia akatie mguu kule Ukreine kunakowaka moto sasa hivi.Nchi za warabu? ni nchi gani amewahi kwenda bila kuomba msaada kwa mfano mmoja tu Iraq mmarekani ni fisi mwenye sauti na majigambo hana lolote aendelee kuhimiza ndoa za jinsia moja
Zele pekee atosha kumshughulikia shoga PutinUS mashoga ni wachumba tu.kama kweli mbabe wa Dunia akatie mguu kule Ukreine kunakowaka moto sasa hivi.
hivi unajua kama mrusi amempa lift mmarekani juzi wakati huu huu wa vita kwenye chombo chao cha kwenda angali? yaani mmarekani amedandia kwenye chombo cha mrusi badala ya kwenda na cha kwake. ni sawa na wewe huna gari alafu unadandia kwa jirani tena mliyewahi kutukanana. ndivyo ilivyotokea. ukitaka kutudharaulisha waafrica mbele ya mzungu upo sawa, ila ukitaka kumdharaulisha mrusi mbele ya mmarekani, unapotoka sana. ni dunia ya kwanza ile tangu miaka mingi sana.hahaaaa , ttzo akil za Putin km za waafrika , wazungu wameshapiga hatua hawako huko kwenye kuunda mpk tv kuonesha ubora wenu tu kijeshi
Wewe utakuwa kuwadi wa marekani,Kwa taarifa yako NATO, bila USA, ni jibwa koko tu, ila USA, bila NATO, bado ni mbabe tu, unakumbuka kipindi cha trump alipotaka kuiondoa nchi yake kwenye NATO?Kwa kulalamika kuwa mzigo mkubwa wa kufedha anaubeba yeye, nini kilitokea kwa viongozi wengine wa NATO?!Siasa za URUSI ni za kishamba sana, na kwa sasa hawezi kuachwa na kufanya anavyotaka kwa kutaka kulazimisha tena Umoja wa soviety!!ni mikwala tu, kwani juzi ameambiwa na USA ana option mbili tu kuivamia Ukraine, nakuwa tayari kulipa ghalama za uamuzi huo, au kuacha!!
Kumbe bado wajinga mko wengi? Endelea kuota jua baada ya kula hicho kipolo chako cha wali,Wewe kweli zuzu, niambie ndege ya abiria ambayo ina-operate duniani aliyoundwa China? Yaan America miaka ya 50 washaunda ndege za abiria China 2022 bado, niambie China Technology company ambayo inaweza kuzizidi Apple, Amazon na Google, bajeti ya USA ya jeshi ni Mara 10 ya China, US Noma sana
NATO not to deploy troops in Ukraine in order to avoid war with Russia — Secretary GeneralPutin na Urusi yake ya mdomoni kwenye grounds ni mbingu na ardhi kuanzia ukakamavu,mbinu na silaha.
NATO not to deploy troops in Ukraine in order to avoid war with Russia — Secretary GeneralNATO ni Marekani, hiki ndo kitu warusi wa Buza hawakielewi lakin Putin anaelewa.
Russia gan hii inayoitishia Ukrain Nuklia au?Huyo mumeo US yuko wapi mkuu, ulisema awapige Ukraine tuone. na kawapiga, haya unasemaje na huyo mumeo US
Bila kushirikiana hakuna mafanikio .na kama kweli mrusi mbabe awapige ukraine .mjomba acha ushabiki wa simba na yanga . Liogope sana taifa la marekani kwenye kila Nyanja unayoijua wewe bila marekani hakuna Amani duniani ukubali ukatae ukweli ndio huo
Jamaa kapata aibu ya mwaka ujue 🤣🤣🤣Oyaaaa..mpaka muda huu vipi?? Ukraine hajapigwa? Marekani kafanya nini?.
😂😂😂😂Jamaa kapata aibu ya mwaka ujue 🤣🤣🤣
Jamaa kapata aibu ya mwaka ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787]