Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

Sijatoa definition ya 'mtu jasiri'. Nimeeleza kuhusu 'nchi jasiri' kuendana na muktadha wa mjadala.
Ujasiri wa nchi upo kwa amri mkuu wa majeshi ya nchi.Hoja yako ipo sahihi but bias.Mfano miaka ile Adolf Hitler alisababisha WWII hivyo tuseme Germany ilikua jasiri but now?Haina guarantee ya kuanzisha WWIII(huo ndio ukweli).Upande wa North Korea ni kwamba Rais wao wa sasa ni jasiri hivyo taifa ni jasiri (tunaona karibia kila siku akifanya military rehearsal,relate na Hitler ambaye alienda kinyume na maagizo ya League of nations by the Versailles treaty conference) mifano ni mingi tatizo muda.Kusema North Korea sio jasiri hizo ni siasa sasa ilhali hili sio jukwaa la siasa.
 
Ujasiri wa nchi upo kwa amri mkuu wa majeshi ya nchi.Hoja yako ipo sahihi but bias.Mfano miaka ile Adolf Hitler alisababisha WWII hivyo tuseme Germany ilikua jasiri but now?Haina guarantee ya kuanzisha WWIII(huo ndio ukweli).Upande wa North Korea ni kwamba Rais wao wa sasa ni jasiri hivyo taifa ni jasiri (tunaona karibia kila siku akifanya military rehearsal,relate na Hitler ambaye alienda kinyume na maagizo ya League of nations by the Versailles treaty conference) mifano ni mingi tatizo muda.Kusema North Korea sio jasiri hizo ni siasa sasa ilhali hili sio jukwaa la siasa.
Huwezi kuzungumzia ujasiri wa nchi bila kugusa historia ya nchi husika. Hata huyo Hitler unayemsema ni kwa sababu tayari amekwisha weka historia wakati wa vita.

Ujasiri wa mazoezini na ule wa kutoa matamko na vitisho kwa maadui na kwenye media miaka hii ni tofauti na ujasiri wa kuweza ku-act ama kuonesha uwezo ama utayari katika vita halisi na ya hali yoyote ile.

Wakuu wa majeshi na maamiri jeshi wakuu wa nchi nyingi katika historia wamewahi kuwa na tabia hiyo ama ujasiri huo unaousema wewe lakini wamesahaulika kihistoria sababu ujasiri huo haukuwahi kuonekana wakati nchi zao zilipokumbwa na hatari kuu. Hata sasa wapo!

Point yangu ya msingi ni kuwa, ujasiri wa nchi hauzuki ghafla bali unajengwa muda mrefu kutokana na historia za nchi husika na jinsi ambavyo; kwanza, ziliweza kuonesha utayari wa kukabiliana, kisha zikaweza kukabiliana na masuala mbalimbali ya hatari kama vile, vita.
 
Huwezi kuzungumzia ujasiri wa nchi bila kugusa historia ya nchi husika. Hata huyo Hitler unayemsema ni kwa sababu tayari amekwisha weka historia wakati wa vita.

Ujasiri wa mazoezini na ule wa kutoa matamko na vitisho kwa maadui na kwenye media miaka hii ni tofauti na ujasiri wa kuweza ku-act ama kuonesha uwezo ama utayari katika vita halisi na ya hali yoyote ile.

Wakuu wa majeshi na maamiri jeshi wakuu wa nchi nyingi katika historia wamewahi kuwa na tabia hiyo ama ujasiri huo unaousema wewe lakini wamesahaulika kihistoria sababu ujasiri huo haukuwahi kuonekana wakati nchi zao zilipokumbwa na hatari kuu. Hata sasa wapo!

Point yangu ya msingi ni kuwa, ujasiri wa nchi hauzuki ghafla bali unajengwa muda mrefu kutokana na historia za nchi husika na jinsi ambavyo; kwanza, ziliweza kuonesha utayari wa kukabiliana, kisha zikaweza kukabiliana na masuala mbalimbali ya hatari kama vile, vita.
Ngoja nimtumie hii post Kim jong un ili akate mzizi wa fitina kwa kuanzisha WWIII yeye na washirika wake(Urusi,Iran,China etc.)alafu tuone Kama huu muda wa kua JF tutaupata.
 
Kwamba Urusi haiogopi Marekani,anaichukukia kama Tanzania tu au sio...JF bana 😀 😀
 
Kwa taarifa yako NATO, bila USA, ni jibwa koko tu, ila USA, bila NATO, bado ni mbabe tu, unakumbuka kipindi cha trump alipotaka kuiondoa nchi yake kwenye NATO?Kwa kulalamika kuwa mzigo mkubwa wa kufedha anaubeba yeye, nini kilitokea kwa viongozi wengine wa NATO?!Siasa za URUSI ni za kishamba sana, na kwa sasa hawezi kuachwa na kufanya anavyotaka kwa kutaka kulazimisha tena Umoja wa soviety!!ni mikwala tu, kwani juzi ameambiwa na USA ana option mbili tu kuivamia Ukraine, nakuwa tayari kulipa ghalama za uamuzi huo, au kuacha!!
Kwa kuongeza tu,Marekani na NATO wanamsubiri Putin aingie mtego wa kuivamia Ukraine,Then wanaitisha emergency meeting UNSC wakiomba ruhusa waisaidie Ukraine silaha za ukijilinda against uvamizi wa Urusi,hapo nchi nyingi zita suppoert sababu Russia wataonekana wavamizi kwenye nchi9 huru,kama ilivyokuwa kwa Kuwait walipovamiwa na Sadm Hussein 1991.Sasa hapo Marekani na NATO watamwaga silaha Ukraine kwa Ruhusa ya UNSC ndio moto utawaka sana tu,na Dunia yote watamuona Russia mvamizi kama walivyoiona marekani mvamizi wa Iraq 2003,unfortunately Russia hawawezi kuingia kwenye huu mtego hata siku moja.
 
Ana jina baya wapi? Umesahau kuwa electronics za majumbani za US zilikuwa manifactured China, China ana labor power ambayo ni skilled ndo maana hata makampuni mengi ya marekani ya prefer production ifanyike china.
Leo, imetoka report ya kitengo cha upelelezi cha germany ikisema kuwa hakuna ushahidi wowote kuwa simu za xiomi zinadukua mawasiliano ya watu.
Marekani ana propaganda tu kaona mchina anataka mpiku kaanza propaganda za kumchafua, kwani yeye hadukui watu?
Wameanza na hizo[emoji3]
 
Kwa kuongeza tu,Marekani na NATO wanamsubiri Putin aingie mtego wa kuivamia Ukraine,Then wanaitisha emergency meeting UNSC wakiomba ruhusa waisaidie Ukraine silaha za ukijilinda against uvamizi wa Urusi,hapo nchi nyingi zita suppoert sababu Russia wataonekana wavamizi kwenye nchi9 huru,kama ilivyokuwa kwa Kuwait walipovamiwa na Sadm Hussein 1991.Sasa hapo Marekani na NATO watamwaga silaha Ukraine kwa Ruhusa ya UNSC ndio moto utawaka sana tu,na Dunia yote watamuona Russia mvamizi kama walivyoiona marekani mvamizi wa Iraq 2003,unfortunately Russia hawawezi kuingia kwenye huu mtego hata siku moja.
Jomba UK na US tayari wametoa msaada wa silaha kwa Ukraine na huko UNSC kuna China na Russia hiyo resolution itapitaje?

Pia Putin aingie Ukraine kutafuta nini wakati bado hana sababu ya kufanya hivyo?
 
sio mtu yeyote sema mtu mdhaifu
IRAN
RUSSIA
CUBA
VENEZUELA
KOREA NORTH
CHINA
hawa wote nilokutajia wanavikwazo kadha wakadha wameekewa na US nambie wamesarenda kwenye nn je IRAN na KOREA wameachana na program zao zakurutubisha Nyuklia?
ManenoRUSSIA huyu walituaminisha kua wamemuekea vikwazo kadhaa ila wakamuekea vikali baada ya kuikwapua CRIMEA je CRIMEA imerejea UKRAINE
VENEZUELA hapa bwana maduro aliekewa vikwazo vyote kuna muda mpaka mafuta yakawa yanatoka IRAN wameeka vikwazo kwamba jamaa sio rais halali wao wanamtambua guaido je MADURO hayupo madarakani?
CHINA huyu ana vikwazo kila angle bado yuoo kama awali
CUBA nae halkadhalika
vikwazo vimefaulu zimbabwe sababu kalikua kafailled states flan hv
nb:-kwamataifa yanayojitambua kama hayo nilokutajia hapo juu usitegemee kama yatasarenda sababu yavikwazo vyakiini macho vya US na vibaraka wake
Sahihi kabisa maneno yako
 
Russia arejeshe Alaska kibabe, make Marekani ni waoga mno hawatafanya kitu.
Hii sio sehemu ya mada yangu.
Hata hivyo Alaska ni sehemu halali kabisa ya Marekani.
Urusi akifanya hivyo unavyowaza anastahili kulaaniwa na dunia nzima hata Mimi ntamlaani,maana huo utakua ni uvamizi wa wazi kabisa.
 
Hii sio sehemu ya mada yangu.
Hata hivyo Alaska ni sehemu halali kabisa ya Marekani.
Urusi akifanya hivyo unavyowaza anastahili kulaaniwa na dunia nzima hata Mimi ntamlaani,maana huo utakua ni uvamizi wa wazi kabisa.

Kwani Cremia haikuwa sehemu halali ya Ukraine?! Kumbuka Alaska ilikuwa sehemu halali ya Urusi viongoza wa zamani wa urusi wakauza, Sasa yeye si unamsifia hapa ni mababe afu mmarekani ni muoga, Basi areje ardhi yake kibabe make hakuna atakachofanywa.

Unasema "Urusi akifanya hivyo" unataka kusema urusi anao uwezo uwezo wa kufanya hivyo?!
 
Ngoja nimtumie hii post Kim jong un ili akate mzizi wa fitina kwa kuanzisha WWIII yeye na washirika wake(Urusi,Iran,China etc.)alafu tuone Kama huu muda wa kua JF tutaupata.
Mshirika pekee wa maana wa Korea Kaskazini ni China, ingawa nao ni ushirika wa mashaka sababu kuna wakati huwa wanazinguana.

Siku Korea Kaskazini ikijaribu kuanzisha vita ya namna hiyo hakuna atakayeiunga mkono. Hao wanaosemwa kuwa ni washirika wake ndio ambao watakuwa mstari wa mbele kumdhibiti.
 
Mshirika pekee wa maana wa Korea Kaskazini ni China, ingawa nao ni ushirika wa mashaka sababu kuna wakati huwa wanazinguana.

Siku Korea Kaskazini ikijaribu kuanzisha vita ya namna hiyo hakuna atakayeiunga mkono. Hao wanaosemwa kuwa ni washirika wake ndio ambao watakuwa mstari wa mbele kumdhibiti.
Till will tell
 
Kwa kuongeza tu,Marekani na NATO wanamsubiri Putin aingie mtego wa kuivamia Ukraine,Then wanaitisha emergency meeting UNSC wakiomba ruhusa waisaidie Ukraine silaha za ukijilinda against uvamizi wa Urusi,hapo nchi nyingi zita suppoert sababu Russia wataonekana wavamizi kwenye nchi9 huru,kama ilivyokuwa kwa Kuwait walipovamiwa na Sadm Hussein 1991.Sasa hapo Marekani na NATO watamwaga silaha Ukraine kwa Ruhusa ya UNSC ndio moto utawaka sana tu,na Dunia yote watamuona Russia mvamizi kama walivyoiona marekani mvamizi wa Iraq 2003,unfortunately Russia hawawezi kuingia kwenye huu mtego hata siku moja.
Ujinga wa hilo baraza mwenye veto mmoja tu akipinga kikao kinakua hakina maana
 
Ujinga wa hilo baraza mwenye veto mmoja tu akipinga kikao kinakua hakina maana
Ukraine ni nchi huru brother,Mfano China aki vote against that means amehalalisha nchi yoyote yenye nguvu kuvamia nchi yoyote huru bila kuulizwa wala kuchukuliwa hatua.Hapo kuna some sort of calculations mkuu sio tu ku vote and go.
 
Jomba UK na US tayari wametoa msaada wa silaha kwa Ukraine na huko UNSC kuna China na Russia hiyo resolution itapitaje?

Pia Putin aingie Ukraine kutafuta nini wakati bado hana sababu ya kufanya hivyo?
Sababu anayo tena kubwa tu,Ukraine wanataka ku side na EU na ku joing NATO hii ni sababu tosha kwa Putin kuingia Ukraine mara ya pili.
Ukiskiliza demand za Russia kwenye majadiliano yanayoendelea,hitaji kubwa la Russia wanataka wahakikishiwe kwamba Ukraine itaachana na wazo lake la kujiunga na NATO,na pia NATO ipunguze millitary presence in west Europe.
Halafu pia suala la resolution UNSC,endapo China ata vote against,that means amehalalisha uvamizi wa nchi yenye nguvu kuzivamia nchi thaifu bila kuulizwa wala kukemewa na nchi yoyote,yaani watakuwa wame set precedence hapo,Mfano leo UK ataweza ivamia Tanzania sababu tu lilikuwa koloni lake bila kuulizwa wala kuhojiwa na UN wala taifa lolote,Kuna some calculations hapo mkuu sio tu just ku vote kisa ni ally.
 
Kwani Cremia haikuwa sehemu halali ya Ukraine?! Kumbuka Alaska ilikuwa sehemu halali ya Urusi viongoza wa zamani wa urusi wakauza, Sasa yeye si unamsifia hapa ni mababe afu mmarekani ni muoga, Basi areje ardhi yake kibabe make hakuna atakachofanywa.

Unasema "Urusi akifanya hivyo" unataka kusema urusi anao uwezo uwezo wa kufanya hivyo?!
marekani ni waoga huo ndio ukweli walichapwa na iran. Trump akajibu kwa mipasho huko twita
 
marekani ni waoga huo ndio ukweli walichapwa na iran. Trump akajibu kwa mipasho huko twita
Aliivamia Marekani akaichapa[emoji23][emoji23], ulizia Genaral Soleimani aliko, yuko ahera madukani[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom