kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
TISS wapo kwa ajiri ya ccm tuUkiacha ushabiki utaelewa
System iko kwa maslahi ya taifa ukiona chadema hawapewi nchi ujue kuna shida mahali
Ccm ipo sababu hakuna mbadalaTISS wapo kwa ajiri ya ccm tu
Unawaza undugu sababu ndio kilichounda chama chenuVYOMBO VYOTE TUMEJAZA NDUGU ZETU KUTOKA KANDA YA ZIWA HAO CHADEMA WATAPITIA WAPI???!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongea utafikiri mkipata huo ukombozi mtawafukuza kazi Tiss na polisi woteEndelea kujidanganya tu,hakuna siku system itakuja kuwakubali upinzani,hao police,tiss lazima wasemwe kama wanakwamisha harakati za kujikomboa,kwa mfano ulitaka kusema chadema wasiseme kwamba mdude alitekwa nao police/tiss? ulitaka kusema kwamba wanaharakati/upinzani wasiseme kwamba aliyemteka ulimboka ni mtu wa tiss?
Kama Police /Tiss wakifanya kazi kwa weledi hawatosemwa ila wakiendelea kufanya utopolo watasemwa na wataendelea kupigwa spana mpaka 2050 na wataachia tu nchi siku moja,kaachia mugabe ndio itakuwa kwetu? Ipo siku uoga watu utawaisha tu amini hivyo kwa kadri tiss/police wanavyotekeleza amri za SISIEMU ndio wanazidi kurahisisha hiyo siku.
Umeandika taka taka.... Unachukua story za vijiweni unaleta hapa..... Ni vile tu mifumo ya hapa ipo corrupt na wapo kimaslahi kulinda vyeoChadema mnapofanya siasa zenu tambueni kuwa ni ngumu kuchukua nchi bila kufanya urafiki na vyombo vya ulinzi na usalama. Either mtatumia umwagaji damu, Vyombo vya ulinzi ndio watanzania wenyewe ukiona umekubalika 50% kwa watanzania na ndani ya ulinzi ndio hivyo hivyo, maafisa wa vyombo wanataka kujilidhisha na sera zenu juu yao.
Hivyo wapinzani mnapotaka kufanya siasa msijitenge na vyombo kama Police, TISS na JWTZ ni ushauri wangu tu wa leo kuvishutumu vyombo vya ulinzi mala kwa mala mtajenga kutoaminika kupewa nchi ndio maana wanawasumbua sana maana wanajuwa mkiingia mtawageuka na kuwachukulia hatua. Siasa imebadilika vyombo vya usalama ni muhimu ili kwenda hasa ikulu.
Ili jambo litaponza upinzani miaka mingi sana na tutachelewa kuondoa mfumo mbovu wa taifa endapo upinzani hautabadilika na kuwa upinzani wa sera za mageuzi na sio lawama kwa vyombo vya usalama siasa zetu tuzifanye na kumshutumu Magufuli lakini sio taasisi za ulinzi wa nchi.
Unamchukua mtu anakuja kusema nikishinda nitafuta posho zao?Naamini japo sina uhakika sababu mojawapo ya cdm kumteua lowasa kuwa mgombea wao wa urais ni kuwin trust kutoka hivi vyombo vya usalama, maana huyu mtu wanamfahamu amekulia huko, sasa kama lowasa walimkataa, hii sababu inaonyesha zahiri haina nguvu tena, vyombo vyetu cha usalama vya nchi vinatakiwa viwe neutral kwa vyama vyote, maana hivi vyama vipo kwa mujibu wa sheria na katiba kwa msingi huo vina haki sawa kama vyama vinginevyo siasa pamoja na ccm, sasa unapoona hivi vyombo vinalalia upande mmoja, basi jua watu waliopo kwenye vyombo hivyo wametawaliwa na ubinafsi, hafanyi kwa maslahi ya nchi au wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app