Huwezi kuichafua oil chafu, itakuchafua. RIP Dkt. Magufuli

Huwezi kuichafua oil chafu, itakuchafua. RIP Dkt. Magufuli

Naona kuna oparation ya kumchafua Rais Magufuli nawaambie Magufuli kaacha vitu vinayoonekana.

Nashauri wanaomchafua wabomoe
Ikulu ya Dom
Stend za mabasi alizojenga..
Asee akili yako unajiendesha kwa hasara ya bilioni 60 kwa mwaka. Nashauri ukae ujifunze hata online unaweza kuoata faida
 
Ni hivi wanajamvi kwa heshima nawasalimu najua hamjambo jambo ninaloweza kuchangia ni kwamba hawa wanachofanya ni kitu simple sana magufuli alitengeneza legacy kubwa sana kwenye vichwa vya watu wengi jambo la kwanza ili utawala uliopo upate ushawishi ni pamoja na kuchafua taswira ya magufuli hata marekani baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe miaka ya 80 na kuanza kufufua uchumi jambo la kwanza ni kujenga mindset ya watu wake kwa kuwaaminisha vitu visivyoaminika hili hawataweza na kibaya walichokosea ni kwamba wameanza mapema mno....
kwahiyo hesabu zinakataa sasa yeye asemeje? mobna assad si alisema hivyo hivyo na akaachishwa kazi...CAG ni kama wakaguzi tuu kama mwalimu wa zamu anaykagua mazingira kama sehemu kuchafu anasema ni kama halafu kizuri ni hesabu ambzao hata wewe ukiwekewa mezani unapiga na unapata jibu na kujua kuna mahali hapako sawa.

Na wala sio kwamba aliyekula na jpm ni watumishi wa chini yake kinachoshangaza watu na kuwa umiza mambo mengine yaliyosemwa yapo kwa miaka na hakuchukua hatua na alikua anajificha kwa wanyoge ni kama alikuwa anadanganya..mbona yeye alikua anamsema kikwete? mbona hamkupiga kelele
 
Ngoja wewe , wenda mungu katika kuumba ,aliumba viumbe wote tukae KWA pamoja , lakin haikuwezeka,that's vingine sio rahisi kaa na binadam.

Hapa sio siri mwendazake kalichafua taifa Hili ,kaharibu taifa Hili, na huko Kama kweli mungu anaishi lazima kwanza kuwekwa kitimoto, huwezi fanyia binadam wenzako Mambo ya hovyo kiasi hiki kisa unayo mamlaka ya kidunia, leo watu wameiba pesa nyingi na wako huru yule aliesingiziwa kuchukua rushwa ya elfu kumi yupo jela, au na kesi mahakamani.

Watanzania KWA maelfu wakulima ,wafanyabiashara Hali mbaya huko watu wako wakomba mabilion ya pesa,itoshe kusema
Kuanzia mda huu hata wewe, kwa kua sio wa haki ,nakufuta kuanzia familia YAKO, tembea na kandambili, kataliwa kuanzia ukoo wako,nduguzo wa karibu mpaka utakapo tubu na kutoa zaka KWA wasio jiweza 947 na imekua, mnafiki sana.

Siyo siri tena, nimebaini mchezo mchafu unaendelea kwa lengo la kumchafua Hayati Dkt Maguli.

Taratibu wanafiki wanaanza kujionesha mmmoja mmoja, wanahaha kama mtu aliyekula nyama ya binadamu. Mpaka kufikia June wanafiki wote watajulikana...
 
Kuna jitihada za kuzima legacy ya mwendazake. Why? Kwa sababu mwendazake ameuawa! Inside job
Ndio maana tunasema wasukuma ni washamba sana ,yaan na mibunduki mizito ile anauawa kizembe na watoto wa mjini?

Ni mpumbavu tu anaweza kuamin Hilo maana jiwe ndie rais kuwahi tokea kuwa na ulinzi mzito namna ile ,alaf mafala Kama wewe et ameuwawa inside the job .

Na Kama mnaaamin ameuwawa basi mmepata somo kuwa mibunduki na minguvu si chochote Bali akili ndio kila kitu. Siku wasukuma mkijapata tena urais msijerudia kutawala kwa kutumia minguvu bal tumia akil ,maana Kama mtaendeleza ujinga wenu mtafinywa sana na watoto wa mjini kimya kimya.
 
Huyu boya katengenezwa kuharibu kwenye vichwa vya watu legacy ya magu kitu ambacho hataweza ametumwa hakuna kitu kipya je angekua magufuli yupo hai angeyasema haya?
Kwani magu alikua anapenda kusikia hayo?
 
Well mama kama anapita mitandaoni nadhani anapata picha halisi kwanini Magufuli hakuwa popular na kwanini alikuwa akisisitiza hiyo kazi ni ngumu.

Better still wanao criticise hii style aliyoanza nayo ndio wenye kutaka afanikiwe kwa kuwatumikia watanzania walio maskini.

Wanaomsifia ni wachache kwenye population ya watu 55 million na wanapigania maslahi yao kwa gharama za wengi sio watu wanaoshindia mlo mmoja kwa siku.

Watu kama kina raisi Kenyatta waliomshauri to stick to the plan aliyoacha Magufuli wana maana yao.

Mama Samia mungu anampenda sana kama anaona sign zake amemfungua mapema mno don’t go there. Akili kichwani kwake.
 
rais mstaafu nahisi yupo nyuma ya hii skendo ya kuchafua jina la makufuli ila makufuli hakufukua makaburi ya wenzake alificha
Acha upoyoyo kipind Cha jk cag alikuwa anatoa ripot kila mwaka na madudu yaliongelewa wazwaz je jiwe wenu kwa miaka yake mitano ni cag yupi aliweza kuanika madudu yake Zaid ya Assad nae baada ya kuongea ukwel akamfangia figisu akatolewa.

Ukwel ni kwamba jiwe alikuwa dikteta pia bonge la fisadi
 
Siyo siri tena, nimebaini mchezo mchafu unaendelea kwa lengo la kumchafua Hayati Dkt Maguli.

Taratibu wanafiki wanaanza kujionesha mmmoja mmoja, wanahaha kama mtu aliyekula nyama ya binadamu. Mpaka kufikia June wanafiki wote watajulikana...
Mtafanyaje?
 
Kumbe hata wewe umegundua.
Sasa wanadharau karibu kila kitu kilichofanywa na SHUJAA.
Kwa nini wasizungumzie mazuri mengi aliyoyafanya kwa miaka mitano tu ambayo Watangulizi wake wote hawakuweza kufanya hata moja kati ya hayo?
Yapo mengi, lakini makubwa ni:-
-Kujenga na kuhamia Ikulu ya Dodoma.
-Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere.
-Flyovers, ndege, SGR nk.
Kwa nini hawayaoni hayo?
Walikuwa wapi alipokuwa hai kuyasema hayo?
 
Naona kuna oparation ya kumchafua Rais Magufuli nawaambie Magufuli kaacha vitu vinayoonekana.

Nashauri wanaomchafua wabomoe
Ikulu ya Dom
Stend za mabasi alizojenga...
Zote hizo kapiga 10% umeona mitoto yake ya kiume ilivyonona
 
Upinzani wananote point za kampeni 2025
 
Huyu boya katengenezwa kuharibu kwenye vichwa vya watu legacy ya magu kitu ambacho hataweza ametumwa hakuna kitu kipya je angekua magufuli yupo hai angeyasema haya?
Humtakii mema. Ulitaka aseme? Uko serious? Hukumfahamu vizuri Mr. "Mtanikumbuka kwa mema siyo kwa mabaya"
 
Hata kuondolewa kwa Bashiru Ikulu hii ni mipango ilikuwa imeandaliwa,walianza kwa kumchafua sana lakin sasa hivi huwezi sikia wanamwongelea sababu lengo lao limeshatimia!
 
Back
Top Bottom