Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

LC 300 and alike is not for everyone.

Sugua sana goti msikituni na makanisani, omba sana Mungu utaishia kwenye prado mchaga.

Huku kwa ma LC 300 ni dunia nyingine, dunia ya maagano, lazima uwe na nguvu za giza sio kulinunua tu hata kuliendesha, hakuna mjinga atakubabidhi milioni 400 uzurure nayo mitaani kwenye kila aina ya risk.

Hakuna washirikina kama madereva wa serikali na mabasi ya mikoani plus malori, hizo kazi huzipata kwa kuroga na kuhonga sana, mjinga nani ajukabidhi na milioni upige nayo misele.

Tanzania ukichukua fomu tu ugombee ubunge watakuja wazee wakulazishe kukupa hirizi au wakufanyie kisomo.

Ikulu ya Magogoni kila siku ni ubani udi na madawa yanafukizwa tu.

Ukija kwa wamiliki the same, Mungu wetu kuna limit ya mafanikio ametuwekea sisi waafrica, kuna level tukifika huwa tunamkufuru, ndio maana misikitini na makanisani wale waumini wa kweli wanamaisha ya chini au ya kawaida sana, wale matajiri ukiwafuatilia ndio wamiliki wa majini, washirikina wakubwa.

Waafrica ni wanafiki sana, bado hatujaacha dini zetu za asili, kuanzia ijumaa mpaka jumapili tutaenda misikitini na nakanisani, tukitoka hapo tunapishana kwa waganga.

Asilimia kubwa tuko hivyo.

Tuendelee kuendesha crown tu ili tufike mbinguni.

Mimi binafsi sijawahi kwenda kwa mganga ila nimefanya kazi na watu ni washirikina hatari na nusu,Na yanapanda vyeo tu wanachodekiver hukioni.

Africa tukifika maendeleo kama ya ulaya makanisa ya kiroho ya akina mwamposa an a like yatafutika,tutabaki na yale madhehebu yetu makuu,Kuna watu wanajifanya kuombewa wakishafanikiwa huwaoni tena kanisani,
Pata picha unaamka asubuhi maji bombani hayakatiki,umeme haukatiki,ada ya watoto haisumbui,wakimaliza masomo wanaoata ajira,ukiumwa una uwezo wa kujitibia Agha khan,unadrive gari kalina una nyumba yako ya kuishi,??Mwanposa atabaki na wale wateule wachache wanaotaka kwenda mbinguni,na sio wapenda miujiza
Paragraph yako ya mwisho inafikirisha sana. Na ndo uhalisia kwa wengi wetu.
 
Wewe dogo ulivyofungua hilo bichwa lako, umepata utajiri wa kias gani kwa shilingi za kitanzania
Nikikutanaga na watu wenye fikra za kipuuzi hivi huwa nawachangamsha na makofi ndonga zao zikae sawa. Hiyo mil300 ni hela ndogo sana tuliza ndonga uone fursa sasa wewe ushajikatia tamaa kila tajiri unamuona mchawi. Anyways hiyo mil300 niliishika nikiwa kijana mdogo sana tena kwa kuuza miswaki tu sasahivi nimeupgrade ninalima karibu shamba upate marambili ya hiyo kwa mwaka
 
Listen mdogo Wang au mkubwa wangu

Uko sahihi lkn nataka uweke statement sawa iko Hivi

Kwenye. Maisha ya utafutaji Kuna level ili ufike lazma uwe mtu wa Dini Sana Yani San Yan unashiriki katika madhabau ipasavyo
Hapo utavuka viwango lakn Gari sio mafanikio hio L300 sizan ni gari la thaman Zaid ya Gwagon au Mercedes maybach new models People drive


Sasa Kama hutakuwa. Na mungu Basi Uwe kwa miungu Yani sio kwa waganga kwa mizimu yenu katoe kafara ipsavyo or Kama Umeamua pesa za waganga sawa


Me and My husband tumeokoka

Maisha Safi
Nadhani Kama kuamini kwenye dini ingekuwa kielelezo cha mafanikio, basi waafrica tungewapita mbali wazungu. Maana hakuna anayetuzidi kwenda kanisani.
 
Hakuna huo ujinga,
ni akili tu, kama huna akili kubali yaishe
wewe kama mjanja, ni kula hela ya wajinga

1721517032825.png

1721517207831.png

1721517330547.png
 
Wewe dogo acha kutupiga kamba wewe...[emoji23] Kadanganye vichaa sampuli yako. Fala wewe. Unaijua mil 300 au unaiskia. Unafkiri milioni 300 ni kinyesi chako? Hata mia mbovu huna wewe. [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Nenda kalale huko kima wewe.
Usinihusishe kwenye umaskini wako, maskini mnahasira sana sijui kwanini? Alafu mimi sio mtoto mwenzako.
 
Wewe dogo acha kutupiga kamba wewe...[emoji23] Kadanganye vichaa sampuli yako. Fala wewe. Unaijua mil 300 au unaiskia. Unafkiri milioni 300 ni kinyesi chako? Hata mia mbovu huna wewe. [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Nenda kalale huko kima wewe.
mimi kuzungusha mil800 ni kawaida sana kijana kua uyaone, alafu upunguze ujinga kwenye ndonga lako tafuta jela acha visingizio. Angalia statement hapo chini mfa maji wewe.
 

Attachments

  • Screenshot_20240721-023816_Word.jpg
    Screenshot_20240721-023816_Word.jpg
    221.4 KB · Views: 8
Back
Top Bottom