Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongereni kwa kuokokaMe and My husband tumeokoka
Utaliendesha NdotoniDream Car
Mkuu tofautisha mchawi na mshirikina! Hapa anaye zungumziwa ni mshirikina.Kuna wachawi kibao hawana hata baiskeli, hiyo imekaaje?
Cc 3400+ sio gari zetu babyTutaelewaje wakati hatuna magari😂
Kama unazo mfukoni, nakubaliana na wewe mkuu.milioni 400 hela kiduchu sanaaa
Paragraph yako ya mwisho inafikirisha sana. Na ndo uhalisia kwa wengi wetu.LC 300 and alike is not for everyone.
Sugua sana goti msikituni na makanisani, omba sana Mungu utaishia kwenye prado mchaga.
Huku kwa ma LC 300 ni dunia nyingine, dunia ya maagano, lazima uwe na nguvu za giza sio kulinunua tu hata kuliendesha, hakuna mjinga atakubabidhi milioni 400 uzurure nayo mitaani kwenye kila aina ya risk.
Hakuna washirikina kama madereva wa serikali na mabasi ya mikoani plus malori, hizo kazi huzipata kwa kuroga na kuhonga sana, mjinga nani ajukabidhi na milioni upige nayo misele.
Tanzania ukichukua fomu tu ugombee ubunge watakuja wazee wakulazishe kukupa hirizi au wakufanyie kisomo.
Ikulu ya Magogoni kila siku ni ubani udi na madawa yanafukizwa tu.
Ukija kwa wamiliki the same, Mungu wetu kuna limit ya mafanikio ametuwekea sisi waafrica, kuna level tukifika huwa tunamkufuru, ndio maana misikitini na makanisani wale waumini wa kweli wanamaisha ya chini au ya kawaida sana, wale matajiri ukiwafuatilia ndio wamiliki wa majini, washirikina wakubwa.
Waafrica ni wanafiki sana, bado hatujaacha dini zetu za asili, kuanzia ijumaa mpaka jumapili tutaenda misikitini na nakanisani, tukitoka hapo tunapishana kwa waganga.
Asilimia kubwa tuko hivyo.
Tuendelee kuendesha crown tu ili tufike mbinguni.
Mimi binafsi sijawahi kwenda kwa mganga ila nimefanya kazi na watu ni washirikina hatari na nusu,Na yanapanda vyeo tu wanachodekiver hukioni.
Africa tukifika maendeleo kama ya ulaya makanisa ya kiroho ya akina mwamposa an a like yatafutika,tutabaki na yale madhehebu yetu makuu,Kuna watu wanajifanya kuombewa wakishafanikiwa huwaoni tena kanisani,
Pata picha unaamka asubuhi maji bombani hayakatiki,umeme haukatiki,ada ya watoto haisumbui,wakimaliza masomo wanaoata ajira,ukiumwa una uwezo wa kujitibia Agha khan,unadrive gari kalina una nyumba yako ya kuishi,??Mwanposa atabaki na wale wateule wachache wanaotaka kwenda mbinguni,na sio wapenda miujiza
Kama hauna hela ni wewe usinihusishe kwenye umaskini wakoWewe dogo ulivyofungua hilo bichwa lako, umepata utajiri wa kias gani kwa shilingi za kitanzania
Nikikutanaga na watu wenye fikra za kipuuzi hivi huwa nawachangamsha na makofi ndonga zao zikae sawa. Hiyo mil300 ni hela ndogo sana tuliza ndonga uone fursa sasa wewe ushajikatia tamaa kila tajiri unamuona mchawi. Anyways hiyo mil300 niliishika nikiwa kijana mdogo sana tena kwa kuuza miswaki tu sasahivi nimeupgrade ninalima karibu shamba upate marambili ya hiyo kwa mwakaWewe dogo ulivyofungua hilo bichwa lako, umepata utajiri wa kias gani kwa shilingi za kitanzania
Nadhani Kama kuamini kwenye dini ingekuwa kielelezo cha mafanikio, basi waafrica tungewapita mbali wazungu. Maana hakuna anayetuzidi kwenda kanisani.Listen mdogo Wang au mkubwa wangu
Uko sahihi lkn nataka uweke statement sawa iko Hivi
Kwenye. Maisha ya utafutaji Kuna level ili ufike lazma uwe mtu wa Dini Sana Yani San Yan unashiriki katika madhabau ipasavyo
Hapo utavuka viwango lakn Gari sio mafanikio hio L300 sizan ni gari la thaman Zaid ya Gwagon au Mercedes maybach new models People drive
Sasa Kama hutakuwa. Na mungu Basi Uwe kwa miungu Yani sio kwa waganga kwa mizimu yenu katoe kafara ipsavyo or Kama Umeamua pesa za waganga sawa
Me and My husband tumeokoka
Maisha Safi
Usinihusishe kwenye umaskini wako, maskini mnahasira sana sijui kwanini? Alafu mimi sio mtoto mwenzako.Wewe dogo acha kutupiga kamba wewe...[emoji23] Kadanganye vichaa sampuli yako. Fala wewe. Unaijua mil 300 au unaiskia. Unafkiri milioni 300 ni kinyesi chako? Hata mia mbovu huna wewe. [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Nenda kalale huko kima wewe.
mimi kuzungusha mil800 ni kawaida sana kijana kua uyaone, alafu upunguze ujinga kwenye ndonga lako tafuta jela acha visingizio. Angalia statement hapo chini mfa maji wewe.Wewe dogo acha kutupiga kamba wewe...[emoji23] Kadanganye vichaa sampuli yako. Fala wewe. Unaijua mil 300 au unaiskia. Unafkiri milioni 300 ni kinyesi chako? Hata mia mbovu huna wewe. [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Nenda kalale huko kima wewe.
Huyo jamaa anashida pahala sio mzimamimi kuzungusha mil800 ni kawaida sana kijana kua uyaone, alafu upunguze ujinga kwenye ndonga lako tafuta jela acha visingizio. Angalia statement hapo chini mfa maji wewe.
Watu wazima wanitoe kwenye Wildtruck wanirudishe kwenye passo kama yako...hapa nimebeba mgongoni Engine ya 1vd FT ya LC 200 imekufa huko home...Wewwe bado mtoto. Ukikua tafuta watu wazima ukae nao.
Huyo pimbi anaona magari ni kitu cha ajabu sana...Usinihusishe kwenye umaskini wako, maskini mnahasira sana sijui kwanini? Alafu mimi sio mtoto mwenzako.
Nadhani Kama kuamini kwenye dini ingekuwa kielelezo cha mafanikio, basi waafrica tungewapita mbali wazungu. Maana hakuna anayetuzidi kwenda kanisani.
Ongezea nyama nyama mkuuKwa Sisi ambao tumezunguuka Kwa waganga Acha tu