Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ni nchi ya ajabu sana na wewe kila nikisoma thread zako, inaonyesha umeathirika sana na ''utanzania''.Ni ndoto za mchana kutegemea kua millionior kwa kutegemea mshahara wa kila mwezi, mshahara ni kwa ajiri ya basics (substance) zako za kuishi, au steping stone kujiajiri haraka kabla ya kufika 40yrs.
Njia za kutajilika muhimu ziko nne:
1. Uzalishaji wa bidhaa commodity production yenye uhitaji.
2. Huduma au service production tafuta skills za kukuwezesha utowe huduma muhimu katika jamii.
3. Personal saving au kutunza akiba kwa kujinyima mambo mengine.
4. Wizi au ufisadi kwa mali za ummah au za watu matajiri wenye uwezo, japo hi mbinu ni hatari kwenye nchi zinazo fuata sheria.
Kwani nimeathirika kivip mkuu?Tanzania ni nchi ya ajabu sana na wewe kila nikisoma thread zako, inaonyesha umeathirika sana na ''utanzania''.
Managing director unafikiri niwenzako, wale wana hisa kwenye makampuni nikama wamejiajiri na wana jilipa mishaara mkuu amka, wewe hujui kwamba Kimei ana hisa CRDB manaake ni sehemu ya umiliki wa hiyo benkiManaging Directors TIGO, VODA, AIRTEL, DSTV,STARTIMES,AZAM MEDIA, GGM, EXIM BANK, CRDB, NMB, NBC,
Niendelee?
Yaani una mawazo ya kibongo-bongo 100%. Mawazo na dhana ambazo hazipatikani nchi nyingine.Kwani nimeathirika kivip mkuu?
Atua ya kwanza ni savings investment ni matokeo ya savings mkuu,. Huwezi kuekeza bila kufanya savings.Huwezi tajirika kwa kuweka tu pesa (savings) bali kuiwekeza Pesa ikufanyie kazi ..
Mwaga majiManaging Directors TIGO, VODA, AIRTEL, DSTV,STARTIMES,AZAM MEDIA, GGM, EXIM BANK, CRDB, NMB, NBC,
Niendelee?
Mkuu mawazo ya kibongo bongo yako je mkuu, ya kutaka kujiajiri ndo hayapatikani nchi zingine.Yaani una mawazo ya kibongo-bongo 100%. Mawazo na dhana ambazo hazipatikani nchi nyingine.
Umepiga hesabu kwa mshahara wako wa laki 9 ndio maana umeona mshahara hauwezi kufanya mtu awe tajiri ila kaa ukijua wapo watu wanalipwa 9M nakuendelea kwa mweziNi ndoto za mchana kutegemea kua millionior kwa kutegemea mshahara wa kila mwezi, mshahara ni kwa ajiri ya basics (substance) zako za kuishi, au steping stone kujiajiri haraka kabla ya kufika 40yrs.
Njia za kutajilika muhimu ziko nne:
1. Uzalishaji wa bidhaa commodity production yenye uhitaji.
2. Huduma au service production tafuta skills za kukuwezesha utowe huduma muhimu katika jamii.
3. Personal saving au kutunza akiba kwa kujinyima mambo mengine.
4. Wizi au ufisadi kwa mali za ummah au za watu matajiri wenye uwezo, japo hi mbinu ni hatari kwenye nchi zinazo fuata sheria.
Atua ya kwanza ni savings investment ni matokeo ya savings mkuu,. Huwezi kuekeza bila kufanya savings.
Mkuu hao wanao pokea 9m ni kada zipi madakitari waalimu au Askari?Umepiga hesabu kwa mshahara wako wa laki 9 ndio maana umeona mshahara hauwezi kufanya mtu awe tajiri ila kaa ukijua wapo watu wanalipwa 9M nakuendelea kwa mwezi
Tajiri ni yupi ?Huwezi ukasave tu pesa mpaka ukawa tajiri ..
Point yako ulivyoiweka ni kama vile umeajiriwa Then usave unachopata mpaka uwe tajiri..
Umeweka savings kama njia moja wapo ya kutajirika, Savings peke ake bila investment is Nothing..
Saving ndio kitu Cha Kwanza uwezo ukapata pesa ukawa unazitawanya tu kwenye biashara bila kutuliza kichwa na kuzisave ziwe za kutosha Sasa wewe ukipata pesa kidogo kwenye biashara hivi utafanikiwa kweliPoint yako ulivyoiweka ni kama vile umeajiriwa Then usave unachopata mpaka uwe tajiri..
Umeweka savings kama njia moja wapo ya kutajirika, Savings peke ake bila investment is Nothing..
Hekima hiz tunazo wachache sana. Hongera mkuuHatuwezi wote tukawa matajiri mkuu, wengine watakuwa matajiri, wengine vipato vya kati na wengine vipato vya chini, na wengine wakawa hawana vipato, kufanya biashara ni kipawa sio wote wanavyo, nimegundua pia hata shughuli za kilimo ni kipawa sio kila mtu anaweza kuwa mkulima
Kama Unaishi Chini Ya Hivi Viwango Vya Kimataifa Wewe ni Masikini…Tajiri ni yupi ?
Awe na kias gani cha fedha katika akaunti ?
Laana za kuiba materials nazo zinawaandama[emoji2]Mbona mafundi ujenzi hawatajiriki na wana skills za kujenga?
Kwenye mashirika flan ya Umma hapa hapa Tanzania tupo naoMkuu hao wanao pokea 9m ni kada zipi madakitari waalimu au Askari?
Nimekuelewa mkuu , uko sahihi ..Saving ndio kitu Cha Kwanza uwezo ukapata pesa ukawa unazitawanya tu kwenye biashara bila kutuliza kichwa na kuzisave ziwe za kutosha Sasa wewe ukipata pesa kidogo kwenye biashara hivi utafanikiwa kweli