Ila una uwezo mdogo mno wa kuhoji mambo lakini unajiona unajua, wewe ungebaki kwenye vijiwe vya watu wenye akili ndogo huko ujadiliane nao hata kilimo Cha matikiti ukijipa muda wa kujifunza jinsi ya kujadili mambo yanayohitaji elimu na ufahamu mkubwa, wewe ni majnun unayeomba ruhusa kujadili mada kwenye wasilisho la kitaaluma
Tutazidi kuwakumbusha kwamba kabla ya ujio wa uislam waarabu hawakuwa wanajua uislam na wala hawakuwa na time nao walikua na majambo yao na ndio maana walimpinga na kumpiga vita s a wMnatumia nguvu sana kupinga ukweli huu. Lakini uhalisia ni kuwa, uarabu umeuteka uislamu, hivi kwamba siku zote uislamu unatembea chini ya kivuli cha uarabu. Mnabishia tu uhalisia ulivyo. Uarabu ndiyo umechangia pakubwa ku shape uislamu. Ndiyo maana hata mruke rule salakasi kiasi gani, bado mtatumia kiarabu kama lugha kuu ya kuabudia. Kitu ambacho is very strange in the entire world.
Acha kupotosha watu kijanaMaamrisho ya allah na mtume ndio hizo tamaduni za kiarabu
Na wewe tunga qur an yako tuuone uwo urahisiKuamini kuwa Qur'an imeshuka ni maajabu ya aina yake, dini zote ni sanaa na vitabu vyenu vyote vya hadithi za kale(dini) vimetungwa na kuandikwa na watu wakiwa na agendas zao.
Na wewe tunga qur an yako tuuone uwo urahisiKuamini kuwa Qur'an imeshuka ni maajabu ya aina yake, dini zote ni sanaa na vitabu vyenu vyote vya hadithi za kale(dini) vimetungwa na kuandikwa na watu wakiwa na agendas zao.
Tutazidi kuwakumbusha kwamba kabla ya ujio wa uislam waarabu hawakuwa wanajua uislam na wala hawakuwa na time nao walikua na majambo yao na ndio maana walimpinga na kumpiga vita s a w
Hakuna sehemu uislam una eneza tamaduni za waarabu waarabu wapo wakristo sababu wanajua uislam sio sehemu ya tamaduni yao pia uislam ulikuja ukikuta waarabu wapo na tamaduni zao ndipo ukaeneza tamaduni yakeKwanza mimi siyo "mrokole" kama unavyosema.
Pili hakuna dini yoyote duniani ambayo imefungamanishwa au kugungwa au kutembea chini ya desturi (hususan lugha) ya jamii fulani. Uislam ndiyo dini pekee ambayo waarabu wana haki miliki yake. Na uislam utakuwa huru pale tu utakapojitenga na uarabu. Pale utakapojitambua kwamba ni chombo cha kiimani/kiroho na si mpango wa kueneza tamaduni, mila na desturi za kiarabu.
Kuhusu kunihusu, kama uislam uko chini ya utumwa wa waarabu. Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake kutoka kwenye fikra zake tunduizi. Huwezi kunipangia kitu gani niwaze. Hata Mwenyezi Mungu ametupa uhuru wa kuchagua yaani freewill.
Shida unashindwa kutofautisha majambo hizo architecture wala hazina nafasi yeyote kwenye uislamu uislam hata ukiamua kusali uwanjani unasali muhimu tu mahala unaposalia pawe Safi tohara hayo majengo ni kupendezesha tu wala hayana ulazimaKwa ufupi ninachokiona baada ya muda mrefu wa utafiti.
Katika dini ya uislam, kitu unachokiona kwanza ni uarabu. Halafu baadaye ndiyo unauona uislam. Hilo kwa urahisi tu utaliona katika majengo yao ya ibada. Mbali na architectural design, kwanza utaona maneno yaliyoandikwa ni kiarabu. Masjid El Ijumah. Sasa sijui wanamuandikia nani kwa lugha hiyo.
Uislam ni underdog of uarabu.
Uko sahihi mkuu na wamefanikiwa sana.Wengi hawafahamu ya kuwa uislam ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Nachelea kusema hivyo kwa sababu wenyewe waislam wanasema uislam is a total way of life.
Kwa maana nyingine ni utamaduni jumla wa maisha ya watu. Mambo yafuatayo ndiyo yanayonifanya niamini kwamba uislam ni mpango wa waarabu ku assimilate watu wengine wafuate mila za kiarabu.
1. Lugha inayotumika kufanya ibada yao ni kiarabu.
2. Muanzilishi wa dini yao alikuwa muarabu
3. Kitabu chao kimeandikwa kwa lugha ya kiarabu
4. Majina ya waumini wao ni ya kiarabu
5. MAvazi ya waumini wao ni ya tamaduni za kiarabu
6. Majengo yao ya ibada yana mtindo au architectural design ya uarabuni
7. Ala za muziki zinazotumika katika nyimbo za ibada zao ni za asili ya kiarabu
8. Vyakula au mapishi (cuisine) ni ya kiarabu
9. Namna ya kucheza muziki wa sherehe zao ni za kiarabu.
10. Mirathi, ndoa na maziko ni desturi za kiarabu
Kuna mambo mengi ambayo ukiyachunguza yanaenda zaidi ya imani. Yana taka yawe katika ujumla wote wa maisha ya Mtanzania.
Changamoto ni kwamba, kwenye secular state ni ngumu sana kutekeleza desturi hizo, kwa maana serikali yetu haifungamani na dini yoyote.
Karibuni wadau katika kujadili hili mkiwa na akili huru.
CC: Bwana Utam kahtaan FaizaFoxy Kosugi
Uislam umewapa uhuru wafanye ibada kwa lugha zao huku wakiendelea kujifunza
Shida unashindwa kutofautisha majambo hizo architecture wala hazina nafasi yeyote kwenye uislamu uislam hata ukiamua kusali uwanjani unasali muhimu tu mahala unaposalia pawe Safi tohara hayo majengo ni kupendezesha tu wala hayana ulazima
Unaona unavyo changanya majambo kijana kwa kujua ama kwa kutokujua uislam haujawaletea waarabu lugha umewaletea waarabu dini pia unachishindwa kukielewa kwa kusudi pia au bahati mbaya ni kwamba uislam haujaanzia kwa Waarabu na hata hio qur an inajitanabahisha hivyo hivyo pia hao wanaosema waarabu ni wamebarikiwa wanaongelea matakwa yao na wala sio msimamo wa dini au Quran mteule ama mbora kwa Allah na uislam ni yule anaefata amri na makatazo ya Allah ukweli wa kuyafuata tofauti na Wayahudi sijui wazayuni wana maandiko kabisa yanayo wa tanabahisha hivyo wakati hakuna andiko utaniletea linasema waarabu bora kuliko watu wengine kama lipo lileteHiyo historia haibadilishi ukweli unaohojiwa hapa.
Isitoshe kama uislam ndiyo uliowaletea waarabu lugha, katika maana ya kwamba kabla ya uislam waarabu hawakuwa na lugha hii ya kuruwan. Naweza nikaelewa. Lakini kama kuruwan ili adapt lugha ya waarabu sasa ubishi unatokea wapi?
Nikwambie tu jamaa yangu Bwana Utam wana uelewa yofauti na ulio nao. Wengi wa waislam wanawaona waarabu kama taifa teule. Hata hapa JF utasikia mtu anasema waarabu wamebarikiwa na Mwenyezi Mungu kana kwamba wao ni watu wa kipekee. Wako sawa na wale ambao (kimakosa) huwasujudia mayahudi kama taifa teule.
Uzuri ni kwamba uislam upo wazi hakujawahi kumlazimisha mtu na umejitanabahisha hivyo yooote yaliosemwa ndani ya qur an mwisho yakakupa uhuru ukitaka unayafuata ukitaka unaachana nayo wala hakuna sehemu umeambiwa lazima kuufuata uislamKwa nini walazimike kujifunza lugha ndiyo wawe waumini? Watu wa mashariki ya kati wana shida sana.
Hata ukristo wakati unaenea miaka ya awali, mayahudi walikuwa wakitaka watu walazimike kushika desturi zao. Mojawapo ilikuwa ni kutahiriwa. Walitaka kila mtu akitaka kuwa mkristo lazima atahiriwe. Sasa watu wa nje ya ulimwengu wa mayahudi wakaona huu ni mzigo. Mtu ana miaka 60 atahiriwe. Lakini akina Paulo wakabishia hilo. Matokeo mayahudi wengi wakaanza kujitoa kwenye ukristo. Hata waarabu ni hivyo hivyo wanataka watu walazimike kushika desturi zao. Dawa ni kuwabishia tu kama walivyofanya mash'ia. Wale wana akili, wakakataa kuwa watumwa wa waarabu ambao hawana akili.
Ikiwa yesu hakuingia kanisani basi ni wazi hakuwa mkiristo watueleze alieanzisha kanisa ni nani na wanaoingia kanisani ni nani ama ni wafuasi wananiNaomba ushahidi kuwa Yesu ni Myahudi.
Unanilisha maneno nimekwambia sio lazima ujenge msikiti kwa kufuata kama inavyojengwa na waarabu unaweza kujenga msikiti kwa kufuata tamaduni hata za wachina wachaga wakikuyu nk ili mradi inapatikana sehemu ya kusalia ukatolea mfano Jina la msikiti hili pia sio lazima msikiti hata uitwe mwakalenga maadam jina sio tusi na maana ni nzuri basi hakuna shidaKwa hiyo misikiti haina nafasi yoyote katika ibada yenu?
Labda pengine kama ulikuwa hujui ni kwamba Qurani ni tofauti na Kiarabu...Wengi hawafahamu ya kuwa uislam ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Nachelea kusema hivyo kwa sababu wenyewe waislam wanasema uislam is a total way of life.
Kwa maana nyingine ni utamaduni jumla wa maisha ya watu. Mambo yafuatayo ndiyo yanayonifanya niamini kwamba uislam ni mpango wa waarabu ku assimilate watu wengine wafuate mila za kiarabu.
1. Lugha inayotumika kufanya ibada yao ni kiarabu.
2. Muanzilishi wa dini yao alikuwa muarabu
3. Kitabu chao kimeandikwa kwa lugha ya kiarabu
4. Majina ya waumini wao ni ya kiarabu
5. MAvazi ya waumini wao ni ya tamaduni za kiarabu
6. Majengo yao ya ibada yana mtindo au architectural design ya uarabuni
7. Ala za muziki zinazotumika katika nyimbo za ibada zao ni za asili ya kiarabu
8. Vyakula au mapishi (cuisine) ni ya kiarabu
9. Namna ya kucheza muziki wa sherehe zao ni za kiarabu.
10. Mirathi, ndoa na maziko ni desturi za kiarabu
Kuna mambo mengi ambayo ukiyachunguza yanaenda zaidi ya imani. Yana taka yawe katika ujumla wote wa maisha ya Mtanzania.
Changamoto ni kwamba, kwenye secular state ni ngumu sana kutekeleza desturi hizo, kwa maana serikali yetu haifungamani na dini yoyote.
Karibuni wadau katika kujadili hili mkiwa na akili huru.
CC: Bwana Utam kahtaan FaizaFoxy Kosugi
Ukiambiwa mkristo wa Tanzania ni janga la taifa uamini mbona tanzania mufti kama anavyodai ni msambaa uislamu haun kiongoz kama papa anaegovern the world sio siasa hii kabla ya kuja hap unapaswa uulize au ujisomee maana u aonekana hata form 2 haujafika ukapitia simple reserch na kuvisi second hand information sites ujue ndan ya forum hii ukidverge from reality watu wanajua ww n mweupeUnachanganya madesa, Mufti ni kiongozi wa waíslamu kwenye nchi, unategemea Uturuki Mufti awe nani?
Kwanza mimi siyo "mrokole" kama unavyosema.
Pili hakuna dini yoyote duniani ambayo imefungamanishwa au kugungwa au kutembea chini ya desturi (hususan lugha) ya jamii fulani. Uislam ndiyo dini pekee ambayo waarabu wana haki miliki yake. Na uislam utakuwa huru pale tu utakapojitenga na uarabu. Pale utakapojitambua kwamba ni chombo cha kiimani/kiroho na si mpango wa kueneza tamaduni, mila na desturi za kiarabu.
Kuhusu kunihusu, kama uislam uko chini ya utumwa wa waarabu. Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake kutoka kwenye fikra zake tunduizi. Huwezi kunipangia kitu gani niwaze. Hata Mwenyezi Mungu ametupa uhuru wa kuchagua yaani freewill.
ujafanya uchunguzi na wala uujui uislam bali ulicho kifanya wewe ni kuchukia kitu usicho kijua.Nenda kasometena na kafanye uchunguzi warabu walikuaje kabla hawaja pelekewa mtume na baada ya kupelekewa mtumeKwa ufupi ninachokiona baada ya muda mrefu wa utafiti.
Katika dini ya uislam, kitu unachokiona kwanza ni uarabu. Halafu baadaye ndiyo unauona uislam. Hilo kwa urahisi tu utaliona katika majengo yao ya ibada. Mbali na architectural design, kwanza utaona maneno yaliyoandikwa ni kiarabu. Masjid El Ijumah. Sasa sijui wanamuandikia nani kwa lugha hiyo.
Uislam ni underdog of uarabu.
Mkuu inapendeza sana unapotaka kuandika chochote hasa kile ambacho huna ufahamu nacho UKAFANYA ITAFITI JAPO MDOGO.Wengi hawafahamu ya kuwa uislam ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Nachelea kusema hivyo kwa sababu wenyewe waislam wanasema uislam is a total way of life.
Kwa maana nyingine ni utamaduni jumla wa maisha ya watu. Mambo yafuatayo ndiyo yanayonifanya niamini kwamba uislam ni mpango wa waarabu ku assimilate watu wengine wafuate mila za kiarabu.
1. Lugha inayotumika kufanya ibada yao ni kiarabu.
2. Muanzilishi wa dini yao alikuwa muarabu
3. Kitabu chao kimeandikwa kwa lugha ya kiarabu
4. Majina ya waumini wao ni ya kiarabu
5. MAvazi ya waumini wao ni ya tamaduni za kiarabu
6. Majengo yao ya ibada yana mtindo au architectural design ya uarabuni
7. Ala za muziki zinazotumika katika nyimbo za ibada zao ni za asili ya kiarabu
8. Vyakula au mapishi (cuisine) ni ya kiarabu
9. Namna ya kucheza muziki wa sherehe zao ni za kiarabu.
10. Mirathi, ndoa na maziko ni desturi za kiarabu
Kuna mambo mengi ambayo ukiyachunguza yanaenda zaidi ya imani. Yana taka yawe katika ujumla wote wa maisha ya Mtanzania.
Changamoto ni kwamba, kwenye secular state ni ngumu sana kutekeleza desturi hizo, kwa maana serikali yetu haifungamani na dini yoyote.
Karibuni wadau katika kujadili hili mkiwa na akili huru.
CC: Bwana Utam kahtaan FaizaFoxy Kosugi