Huwezi kuwa tajiri namba moja duniani bila kusoma shule

Huwezi kuwa tajiri namba moja duniani bila kusoma shule

IMG-20240607-WA0068.jpg
 
Baaaasi.. kuna wasomi wangapi ambao biashara zina feli hata kabla hazijaanza??
Aulize haonakina elon musk wamwambie kuwa sio usomi tu unaowaweka hapo maana before walishakula za uso na usomi wao biahara zika corrupt!. Biashara ni strategies and techniques
Kaamua tu kusema alichosema..bakheresa ana degree ya nini??
 
Shule zina waathiri sana nyie vijana wetu. Mnapenda sana mashindano ya hizo NAMBA MOJA. Why everything number 1, everything u guys do u compete for number 1. Why???
Mfumo wa elimu ya kushindana shindana kushika namba 1 ndio inawapa depression kubwa watoto wakija mtaanj baada ya kumaliza shule. No wonder kuna mtu humu juzi kaja na uzi analia lia kwann madaktari wafanyishwe interview wakat most of them were Number 1's huko walikotoka 😂😂😂.

Badilisheni hii mindset.
Huwezi kutenganisha utajiri wa mtu na Elimu. Maarifa ndiyo kila kitu. Elimu ndiyo mwanzo wa kila kitu.
 
Hakuna uhusiano Kati ya Quadratic equation na utajiri, kuna Natural mathematic na reasoning kila mtu anayo ndio inayowatoa watu wasio jua kusoma na kuandika! Hata Mtoto anajua pipi Moja ni chache Kwa mwenye pipi 2! Huku ni wasomi kujiliwaza ila anyone can be rich or poor Kwa Sababu hata elimu ni perception tu kila mmoja ameelimika kwenye sehem alikoamua yeye kujiona ameelimika
 
Nimekuelewa Madam, KEY POINT kwenye discussion hii ni "TAJIRI NAMBA MOJA" yani kwa mfano kama Elon Musk, Buffet, Bezos, Arnault n.k
 
Ni Tanzania pekee ndiyo ina discussion ya kusoma au kutosoma, dunia za wenzetu huko hamna huu ujinga... Na tutaendelea kuwa wajinga kwa hizi discussion milele, yaani dunia ya leo tunadiscuss eti kutosoma... Bastard!!
mambo ya ajabu sana.

na utakuta kuna kiongozi au mwakilishi wa wananchi ana ongea vitu kama hivyo.
 
Unachokisema ni kweli. Huwezi kuwa namba moja kama huna elimu. Ila sii elimu ya Tanzania.

Ila kila mtu anaweza kuwa tajiri awe amesoma au hajasoma. Hapo kwenye namba moja, umesema ukweli kabisa huwezi kuwa top bila elimu tena elimu ya sayansi na teknolojia
 
Huwezi kutenganisha utajiri wa mtu na Elimu. Maarifa ndiyo kila kitu. Elimu ndiyo mwanzo wa kila kitu.
Ni kwel na sijakataa hilo, ila si kila elimu itakupa maarifa na si kila mwenye elimu ama ana maarifa. Na maarifa si lazima yatokane na elimu hii ya kuwekana madarasani.
 
Ni kwel na sijakataa hilo, ila si kila elimu itakupa maarifa na si kila mwenye elimu ama ana maarifa. Na maarifa si lazima yatokane na elimu hii ya kuwekana madarasani.
Jambo kubwa katika mafanikio ni uwezo wa ndani wa mtu alionao na kuamuwa kufanya jambo lake. Ndiyo maana unaona waliofanikiwa bila kuwa na elimu hufanya juu chini watoto wao wasome ili waje kusimamia mitaji. Hivyo bila elimu huwezi kuwa na biashara endelevu. Nilijua nitafanikiwa tu maishani mwangu, ila ilibidi nisome sana ili niwe na maarifa katika biashara ninayofanya sasa. Hivyo taaluma ina nguvu kubwa sana katika biashara. Biashara inahitaji mikakati mingi. Ndiyo maana kila nafasi hapa duniani inasimamiwa na wasomi katika taaluma husika. Bila elimu hakuna maendeleo endelevu.
 
Huu ni ukweli tu ulio wazi.

Dunia itabaki kutawaliwa na wasomi mpaka Yesu anarudi.

Huwezi kuwa Tajiri namba moja duniani bila kusoma shule.

Katika dunia ya sasa usitegemee kuwa Tajiri namba moja duniani bila kujua hesabu.

Ukijua hesabu na kuzitumia kama zinavyotaka unaweza kuwa mbali na hapo sahau.

NIMEFUNGA UZI

Meneja Wa Makampuni
Hivi Ronaldo kasoma shule ya digrii ?
Kwa uwekezaji wake haiwezi tokea akaja ajawa tajiri kipitia mtaji aliojikusanyia kwa miguu, kifua na kichwa
Miguu inaweza kuleta utajiri.
Nadhani Jordan ni bilionea .
 
Jambo kubwa katika mafanikio ni uwezo wa ndani wa mtu alionao na kuamuwa kufanya jambo lake. Ndiyo maana unaona waliofanikiwa bila kuwa na elimu hufanya juu chini watoto wao wasome ili waje kusimamia mitaji. Hivyo bila elimu huwezi kuwa na biashara endelevu. Nilijua nitafanikiwa tu maishani mwangu, ila ilibidi nisome sana ili niwe na maarifa katika biashara ninayofanya sasa. Hivyo taaluma ina nguvu kubwa sana katika biashara. Biashara inahitaji mikakati mingi. Ndiyo maana kila nafasi hapa duniani inasimamiwa na wasomi katika taaluma husika. Bila elimu hakuna maendeleo endelevu.
Mkuu hujaroga hata kidogo.
 
Back
Top Bottom