Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Bakhresa hayupo kwenye management muda mrefu sana. Watoto wake wote wamesoma vyuo vya maana duniani ambavyo wewe kwenda kusoma hata kizazi chako cha 100 hakitaenda kusoma. Utaishia kupeleka watoto na vitukuu vyako Namtumbo Secondary SchoolKaamua tu kusema alichosema..bakheresa ana degree ya nini??