Huwezi na Hutoweza Kuongea / Kuandika Kiswahili fasaha

Huwezi na Hutoweza Kuongea / Kuandika Kiswahili fasaha

Shuka uhusiano wa sarufi ya kiswahili na asilimia ya maneno kiarabu ya kiswahili yaliyokwisha fanyiwa tafiti sio kelele za misamiati 50...nmekuuliza tu mazingira ya mkazo na coda...jibu kwanza hili....tumia sarufi kunisahwishi na sio misamiati nichache..ata misamiati ya kilatini ipo kwenye kiingereza ila wanasarufi sjawai kuwaskia wakiongelea ufasaha unaouzungumzia... naomba kama huna Hoja za kisarufi rudi shule...

Nnakushangaa sana unapokazaniaa nijibu swali lako nililokwisha kulijibu. Nimekwambia Kiarabu haukijuwi. Na nikakupa na mifano kinavyotumika katika kukifanya Kiswahili kiwe na ufasaha na kuleta utamu wa lugha.

Au jibu hukulipenda na au hukulitarajia ndiyo unaona sijalijibu? Fikiri.

Sasa wewe jibu swali langu moja tu, lililopo kwenye post namba moja sentensi ya mwisho kabisa. Mbona unalikwepa? au limekuwa gumu kwako?
 
Duh.....hoja za nguvu tena! Hiyo post namba moja haina cha maana, sana sana inaonesha ulivyo 'mdini' tu!

Nilitegemea sana hilo kutoka kwenu mnaposhindwa kujibu hoja, nimelizowea sana hilo wala halinipi shida, katafute jingine. Hoja bado imesimama na haina upinzani.
 
Kabla ya kuendelea kujaza kurasa ningekuomba unijibu swali moja tu, Je Kiswahili kiko ktk familia gani ya lugha? Yaani Je Kiswahili ni Kibantu au afrosemitic language?
Naomba unijibu hilo swali tu kama ukipenda bila na wewe kuniuliza swali nipe jibu tu basi halafu sasa tuanzie hapo hatua kwa hatua Historia kwa Historia!

Kwanza jibu swali nililouliza post namba moja mstari wa mwisho kabisa, vipi wewe unataka ujibiwe swali lako wakati langu unalikwepa? Unanchekesha!
 
Pita ivi ndo wale wale...mbunge mbishi hajui kutofautisha syllabus na curriculum alafu anaelimishwai hataki...haya ubishi mwema...mazingira ya mkazo huyajui coda huijui..sarufi ya kiarabu huijui ya kiswahili hohehahe...unachojua kuunganisha maneno na kuzungumza tu...
 
Pita ivi ndo wale wale...mbunge mbishi hajui kutofautisha syllabus na curriculum alafu anaelimishwai hataki...haya ubishi mwema...mazingira ya mkazo huyajui coda huijui..sarufi ya kiarabu huijui ya kiswahili hohehahe...unachojua kuunganisha maneno na kuzungumza tu...

Yote yajuwe wewe lakini hoja yangu inasimama pale pale.

Hili swali umelikimbia na limekuwa gumu sana kwako na kwa wenzako:

Jee, unajuwa maana ya "ustaarabu"?

Hapo sasa!
 
Wewe yote yajuwe wewe lakini hoja yangu inasimama pale pale.

Hili swali umelikimbia na limekuwa gumu sana kwako:

Tulale bhana ndoa zinatusubiri....me kweli sjaona swali..unaelezea historia unasahau ufasaha unakamilishwa na sarufi....jipange na ushawishi mwingine may be naweza kukufikiria msalimie...hubby mwambie na yeye kesho achangie kidogo bhas..teh
 
Tulale bhana ndoa zinatusubiri....me kweli sjaona swali..unaelezea historia unasahau ufasaha unakamilishwa na sarufi....jipange na ushawishi mwingine may be naweza kukufikiria msalimie...hubby mwambie na yeye kesho achangie kidogo bhas..teh

Jee, unajuwa maana ya "ustaarabu"?

Hapo sasa!
 
Jee, unajuwa maana ya "ustaarabu"?

Hapo sasa!

Eeeh najua...ni kujiheshimu. kuheshimu watu wengine. pia na kuheshimu taratibu....lakini kiuhalisia maana ya neno inategemea muktadha wa utumikaji wa neno lenyewe...kuna maana ya kisemantiki na maana ya kipragmatiki baina ya maneno....
 
Eeeh najua...ni kujiheshimu. kuheshimu watu wengine. pia na kuheshimu taratibu....lakini kiuhalisia maana ya neno inategemea muktadha wa utumikaji wa neno lenyewe...kuna maana ya kisemantiki na maana ya kipragmatiki baina ya maneno....

Ndiyo maana ulikuwa unakwepa swali, haujuwi maana ya ustaarabu. Wacha wenzako wajaribu, na mwenye akili nzuri na kujuwa kuitumia search engine ya JF ataipata maana yake, nilishawahi kuielezea juzi juzi.

Sasa unataka kubishana kuhusu lugha ya Kiswahili hata kuijuwa vizuri huijuwi? unanshangaza sana.
 
Wakati mwingine watu wanapenda ubishi kwa misingi ya maneno ya mitaani wanayopeana kwenye vijiwe. Siku hizi google ipo, online encylopedia zipo, vitabu tele...... Please someone read a book (for me)!
 
Sasa nisome tena post namba moja kwa utuvu. Ngoja nikusaidie:

Kiswahili ni lugha ambayo imetokana na Kiarabu na Kibantu na maneno mengine machache yaliongezeka kidogo kidogo kutoka lugha zingine za Afrika, Uropa na Asia.

Umeelewa nini hapo?

Mmm mama hilo somo lako ni jipya sana halafu linapwaya kiisimu. Hebu tuwekee ushahidi wa KIISIMU hapa ili utuhakikishie uarabu wa kiswahili? Maana Isimu inaonesha wazi misingi ya kiswahi kwa 60% ni lugha za kibantu, mfano, majina takribani yote ya vitu common yanatamkwa karibu Sawa katika kiswahili na lugha za kibantu, kwa mfano neno, "mtu" "jua" moto, maji n.k kusanya lugha zote za kibantu uone jinsi yanavyofanana kimatamshi. Kisha hebu yalinganishe maneno hayo kwa kiarabu uone yalivyo mbalimbali.
Tukienda kwenye vitenzi , takribani asilimia 98% ya vitenzi vya kiswahili vinarandana kabisa na vile vya kibantu kuanzia mizizi hadi viambishi vyake, mfano chukua neno "asifiwe" lipeke kwenye kibantu uone linavyojaa kote na sio kwenye kiarabu!
Je, unajua kuwa ni kiswahili na lugha za kibantu pekee ndio zina matamshi yenye "hving'ong'o"!? Mfano maneno kama ,ng'ombe, ng'ara, mbung'o , ing'a n.k kiarabu hakina vitamkwa vya hivi!
Je, unajua kwamba ni kiswahili na lugha za kibantu pekee ndio zinarandana miundo ya sentensi zake!? Kiswahili hutumia muundo wa N+V+T+E, kadhalika na lugha za kibantu na sio kiarabu.
By the way kiarabu huandikwa toka kulia kwenda kushoto tofauti kabisa na utaratibu wa kiswahili.
Hata hivyo ni kweli neno kiswahili lina asili ya kiarabu ingawa hii haifanyi lugha ya kiswahili kusema imetokana na kiarabu, kwani historia inaeleza kuwa Neno "Swahili" lina maana ya Pwani, na waarabu walilitumia neno lao walipofika pwani ya afrika mashariki,, kwa kuiita sehemu hiyo "sahil" wakimaanisha Pwani, Wenyeji wa pwani waliwaita "wasahil" wakimaanisha Wapwani, na lugha walioiongea wenyeji hao( yaani kibantu) wakaiita "kisahil" wakimaanisha Kipwami, yaani lugha ya wenyeji wa pwani na kamwe hakuiita lugha hiyo kiarabu, kwasababu waliikuta ipo ikitumika!!
 
FaizaFoxy teh...neno maana yake inategemea mazingira ndugu...sasa hilo neno lako sjui ulienda kukaa na wanaisimu gani mkakubaliana iyo maana unayoificha...halafu unasomaga vitabu gani wewe

= unasoma.

Hilo neno "isimu" linatokana na neno la Kiarabu, unajuwa maana yake?

Mimi mwenyewe ni vitabu tosha kabisa, vitabu nnavyosoma mimi hata nikikupa reference hotoambulia kitu, pata darsa kutoka kwangu ambae nnauona uwezo wako hapa, vitabu vyangu viko kina kirafu sana sana na walioandika walilenga watu wa kina kingine kabisa si hicho chako.

Lakini ili nisikunyime ilm, kuanzia tu ntakutajia vitabu viwili vitatu labda hivyo vitakufunguwa kidogo, ukivipata.


- Qur'an - The Ultimate Miracle.

- Empires of The Monsoon = Richard Hall

- Author Gibran Khalil Gibran (kazi zake zote nnazisoma) na siishiwi hamu ya kumsoma.



Anzia hivyo.
 
Mmm mama hilo somo lako ni jipya sana halafu linapwaya kiisimu. Hebu tuwekee ushahidi wa KIISIMU hapa ili utuhakikishie uarabu wa kiswahili? Maana Isimu inaonesha wazi misingi ya kiswahi kwa 60% ni lugha za kibantu, mfano, majina takribani yote ya vitu common yanatamkwa karibu Sawa katika kiswahili na lugha za kibantu, kwa mfano neno, "mtu" "jua" moto, maji n.k kusanya lugha zote za kibantu uone jinsi yanavyofanana kimatamshi. Kisha hebu yalinganishe maneno hayo kwa kiarabu uone yalivyo mbalimbali.
Tukienda kwenye vitenzi , takribani asilimia 98% ya vitenzi vya kiswahili vinarandana kabisa na vile vya kibantu kuanzia mizizi hadi viambishi vyake, mfano chukua neno "asifiwe" lipeke kwenye kibantu uone linavyojaa kote na sio kwenye kiarabu!
Je, unajua kuwa ni kiswahili na lugha za kibantu pekee ndio zina matamshi yenye "hving'ong'o"!? Mfano maneno kama ,ng'ombe, ng'ara, mbung'o , ing'a n.k kiarabu hakina vitamkwa vya hivi!
Je, unajua kwamba ni kiswahili na lugha za kibantu pekee ndio zinarandana miundo ya sentensi zake!? Kiswahili hutumia muundo wa N+V+T+E, kadhalika na lugha za kibantu na sio kiarabu.
By the way kiarabu huandikwa toka kulia kwenda kushoto tofauti kabisa na utaratibu wa kiswahili.
Hata hivyo ni kweli neno kiswahili lina asili ya kiarabu ingawa hii haifanyi lugha ya kiswahili kusema imetokana na kiarabu, kwani historia inaeleza kuwa Neno "Swahili" lina maana ya Pwani, na waarabu walilitumia neno lao walipofika pwani ya afrika mashariki,, kwa kuiita sehemu hiyo "sahil" wakimaanisha Pwani, Wenyeji wa pwani waliwaita "wasahil" wakimaanisha Wapwani, na lugha walioiongea wenyeji hao( yaani kibantu) wakaiita "kisahil" wakimaanisha Kipwami, yaani lugha ya wenyeji wa pwani na kamwe hakuiita lugha hiyo kiarabu, kwasababu waliikuta ipo ikitumika!!

Neno Kiswahili limetoka wapi? neno 'isimu" limetoka wapi? sijuwi hata kama maana ya "isimu" unaielewa.

Halafu nisome vizuri, sikuutaja kabisa "Uarabu" sijuwi wewe umetowa wapi hilo? hivi mkisoma hamuelewi au ndiyo shule zenyewe?

Mnashangaza na kusikitisha sana pale mnapopindisha maneno ili kupindisha maana, sasa kuja na neno "Uarabu" ambalo sikulitumia kabisa katika kujenga hoja yangu, sijuwi kwanini ulitumie hilo neno ambalo sijaliandika mimi na kulijengea hoja na kutaka mimi nijibu? huoni kuwa ni upunguani huo?

Jenga hoja yako kutumia muktadha na isimu niliyoikita kwenye hoja yangu, usinilishe maneno yako. Tafadhali.

Halafu chini hapo umeshajisahau unatupa maana ya neno "swahili" kuwa limetokana na Kiarabu sasa sijuwi unachopipinga ni nini?

Nisome tena post namba moja halafu unieleze unachokipinga ni nini?

Halafu hilo la kuja Waarabu na kukuta Wabantu pwani, sijuwi unaongelea pwani ya wapi? Afrika Mashariki au Afrika Magharibi?
 
Wakati mwingine watu wanapenda ubishi kwa misingi ya maneno ya mitaani wanayopeana kwenye vijiwe. Siku hizi google ipo, online encylopedia zipo, vitabu tele...... Please someone read a book (for me)!

Mkuu ebu tusaidiane kwa uelewako ma wewe....
 
Kwanza jibu swali nililouliza post namba moja mstari wa mwisho kabisa, vipi wewe unataka ujibiwe swali lako wakati langu unalikwepa? Unanchekesha!

Haya najaribu kukujibu kwa jinsi tulitumiavyo sisi,neno Ustaraabu ni hali ya juu kabisa ya kimaendeleo ambayo jamii husika inaweza kufikia, na Maendeleo namaanisha siyo tu mali bali mpangilio wa kimaisha kwa ujumla, jinsi jamii husika inavyowajali watu wake wenye udhaifu kama walemavu, watoto, wazee n.k kwa kifupi ni jinsi jamii husika inavyoweza kuishi kwa kushirikiana na kusaidiana kukabili matatizo ya kibinadamu huo ndio Ustaarabu kwa Kiswahili!

Haya na wewe sasa naomba unijibu swali langu nalirudia tena kuliandika, Je, Kiswahili ni lugha iliyo kwenye familia ya kundi gani kati ya haya mawili, Kibantu au Afro semitic?
Na kiarabu ni kundi gani?
 
Nilitegemea sana hilo kutoka kwenu mnaposhindwa kujibu hoja, nimelizowea sana hilo wala halinipi shida, katafute jingine. Hoja bado imesimama na haina upinzani.
Hiyo post ya kwanza ni kiroja tu. Zaidi ya udini wako inaonesha hujui Kiswahili wala Kiarabu, ndio sababu unafikiri kuzungumza Kiswahili fasaha ni lazima ujue Kiarabu (what a shame!).

Hivi ni waislamu wangapi wa Tanzania wanaweza kuongea kiarabu (acha hicho mnachofunza huko madrasa)? Wangapi wanaweza kwenda Riyadh, Madina au Mecca na kuwasiliana na Waarabu bila kuhitaji mkalimani? Kiswahili ni lugha kamili inayojitegemea kama ilivyo kwa Kiarabu. Zote mbili zinakua na kubadilika kwa kadri ya wakati na hazitegemeani. Ufasaha wa lugha moja hauwezi kuletwa na lugha nyingine. Lugha ni sauti za nasibu na ni jamii husika ndio inaamua kipi ni fasaha na kipi si fasaha kulingana na wakati.

Kwa hivyo hoja kuwa mtu hawezi na hatoweza kuzungumza au kuandika kiswahili fasaha kama hajui lugha ya kiarabu, ni hoja unayoweza kuitoa kwenye vijiwe vyenu vya kahawa nje ya misikiti kule kariakoo tu.
 
Haya najaribu kukujibu kwa jinsi tulitumiavyo sisi,neno Ustaraabu ni hali ya juu kabisa ya kimaendeleo ambayo jamii husika inaweza kufikia, na Maendeleo namaanisha siyo tu mali bali mpangilio wa kimaisha kwa ujumla, jinsi jamii husika inavyowajali watu wake wenye udhaifu kama walemavu, watoto, wazee n.k kwa kifupi ni jinsi jamii husika inavyoweza kuishi kwa kushirikiana na kusaidiana kukabili matatizo ya kibinadamu huo ndio Ustaarabu kwa Kiswahili!

Haya na wewe sasa naomba unijibu swali langu nalirudia tena kuliandika, Je, Kiswahili ni lugha iliyo kwenye familia ya kundi gani kati ya haya mawili, Kibantu au Afro semitic?
Na kiarabu ni kundi gani?

Umekosa, si maana yake hiyo.

Kumbuka kuna maana ya neno/maneno na kuna matumizi ya neno/maneno. Mimi sijauliza matumizi yake, nimeuliza maana yake.

Si ndiyo maana hata mada imewashinda kuelewa.
 
Kiswahili ni lugha ambayo imetokana na Kiarabu na Kibantu na maneno mengine machache yaliongezeka kidogo kidogo kutoka lugha zingine za Afrika, Uropa na Asia.

Kabla ya kuja wakoloni wa ki Uropa maandishi yote ya Kiswahili yalikuwa kwa herufi za Kiarabu na matamshi yalikuwa kwa lafdhi ya Kiarabu.

Nnadiriki kusema leo hii, ili uongee na kuandika Kiswahili fasaha inabidi ujuwe Kiarabu. Bila hivyo utaboronga tu.

Na kama huna ustaarabu basi Kiswahili chako hakitakuwa fasaha.

Jee, unajuwa maana ya "ustaarabu"?

Haina kwere kwanza mani gani kama haya, hainaga majotroo kuyanyaka. Life kibishi na mabaharia bado tunatusua. We bunda na viswangla vyako, kitaa watu jiii mdola mdola bingo inazama kwa pocket. Ustaharabu anaujua Mwarabu aliye dubai, si bongo huku kupumuliana tu.
 
Kwanza hapa sina nnacho "kihubiri", hapa nnaandika kuwapa watu faida ya kuwa na mawazo mapana zaidi. Si wale ambao wamefikia upeo wao usiozidi urefu wa pua zao, wasioelewa wanachokipinga ni nini, wewe ni mmojawao.

Kama hukielewi umejuwaje kama ni "urongo"?

Na huo "urongo" uko wapi?

Tehehe unataka kutuaminisha yakuwa inatupasa kujua kiarabu ili tu "fit" kwenye kicha cha Uzi wako.
 
Back
Top Bottom