Ishu sio jina ishu makonda status yake anaongea upuuziHili jina anatakiw apewe mwanamke anae inspire wengine kwa kiasi kikubwa kama klyn Mengi, faraja nyarandu, Doris mollel ila Hawa wazee was kudanga ndo wanaligombania
Kuna mambo mtu akifanya unabaki unastaajabu..... Smh [emoji51][emoji51][emoji17][emoji17]Nimeona aibu ujue daah!ila yote hii kwa kua ana chuki na mange na mange anaside na hamisa ndo maana yaani huyu baba aisehhh!!
Kwa kweli ni aibu aibu aibu uu!!!nimeamini rasmi huyu kaka vyeti sio vyake
Mnoooo....too muchBaba Keagan anafeli sasa
[emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] aibu naona Mimi kama wanaume wako hiviwenye kuelewa wameelewa!ukikua utaelewa!...endelea kujifunza
KabisaaaaaHehehe
Hili akili halina, haliwezi kuji-behave kama mwanaume tena kiongozi na majukwaa ya kike sijui linatafta nini, tuseme ndo linataka kwenda basi ongea kama kiongozi napo hawezi.
Tulikosea sana 2015 kuwachagua wasukuma maana wanaendelea kudhihilisha ulimbukeni wao.
[emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mobetto, wema na DAB wote wanagombea hilo jina au sijaelewa
Yaani nimeona aibu Mimi...Magufuli akubali akatae amefeli mnooo kwa makonda!!!sasa kuna kibushuti mmoja hapo juu kanitolea povu,...tatzo waweza bishana na vitoto havielewi ht "eskisi" za uongozi!naumia sana kulidhalilisha kabila langu😡😡😡😡😡!its true hayo majukwaa yana watu wao...kwakweli wana moyo!
Yaani nimeshangaaa mnooo!!!hivi daahh!nimejiskia vibaya sanaDuuuuuuhh kuna mambo ya kutuachia wadada sio kila jambo la kuvamia [emoji17][emoji17][emoji17]
Mnooo!!!yaani hata km umaarufuu!!!not to that extent!!!Kuna mambo mtu akifanya unabaki unastaajabu..... Smh [emoji51][emoji51][emoji17][emoji17]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sio kosa lake ni bashite.Yaani nimeshangaaa mnooo!!!hivi daahh!nimejiskia vibaya sana
Yaani huyu baba kweli hajasoma huyu na upeo wake ni finyuuu!!
Kabisaaaa!!!hivi mkuu wa mkoa unaongea upuuzi ule ingekua nchi za wanaojitambua kazi hana huyu mpk sasa hivi[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sio kosa lake ni bashite.
Alikua na mengi ya kuongelea badala ya kelele za insta [emoji35][emoji35][emoji35]Kabisaaaa!!!hivi mkuu wa mkoa unaongea upuuzi ule ingekua nchi za wanaojitambua kazi hana huyu mpk sasa hivi
Sana tena mnoooo!!ule ujinga aliongea pale kwa kweli[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]!!!Alikua na mengi ya kuongelea badala ya kelele za insta [emoji35][emoji35][emoji35]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We have a long way to go. Huyu ndo mkuu wa mkoa anaongea upuuzi tu. Mwenyezi Mungu tulikukosea nini sisi watanzania kama hawa ndo viongozi wetu!
makonda anatia aibuu..nimesikitika kweli.Huyu nae chaumbea kweli yanamuhusu nini,kwani amesikia kuwa hamissa anataka kuitwa hivyo au raia ndio wanataka kumuita ,,ndio tushasema Hamisa tz sweetheart
Tunguli zimenibamba eee, mobettoMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda ametoa kauli yake juu ya mvutano unaoendelea kati ya Wema Sepetu na team Hamisa Mobetto juu ya jina la TZ Sweetheart. Mkuu huyo alikuwa mmmoja kati ya wageni waliohudhuria Birthday Gala ya mwanadada huyo wa filamu mwenye mvuto nchini Tanzania
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sana tena mnoooo!!ule ujinga aliongea pale kwa kweli[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]!!!