Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,782
- 3,199
Wewe umeyajuaje haya bila kufungua aka ka uzi braza si upite [emoji118]Binafsi huwa nawachukulia kama wenye upungufu ninyi ambao mna muda mpaka wa kufatilia mambo binafsi ya watu ambayo hayana impact yoyote kwenye maisha yenu
Kwani nyie raia hamna majina mengine amazing kuliko hilo?Huyu nae chaumbea kweli yanamuhusu nini,kwani amesikia kuwa hamissa anataka kuitwa hivyo au raia ndio wanataka kumuita ,,ndio tushasema Hamisa tz sweetheart
Halafu hapa ni celebrity sijui hajui maana yake!Wewe umeyajuaje haya bila kufungua aka ka uzi braza si upite [emoji118]
Mkuu kumbe wewe ni kemm siwez ifungua kwanza hii video kwasababu SIAMINI!hv makonda hana la kufanya jaman!yaan naye kajiweka kwenye matimu ya kipuuzi km haya???????? duh!
asante Mungu kwakunpa mume ambaye hana mauzauza km haya!ukute mkewe hana ht hizo team!dah!
HIVI NITIMAMU HUYU KWELI!amewadhadhalisha sana wasukuma huyu!//mxiew
Mkuu kumbe wewe ni ke
Mimi huwa nawaambia Tanzania hâtuna viongozi tuna shitheads ndo wanatuongoza na baadhi yetu tunaona sawa , mwisho wa siku ni shitheads leading shit heads na output yake ni continuous circle of mental retardation na economic mediocrity of the society & the nation becomes a shithole .........Zéro type society , period !We have a long way to go. Huyu ndo mkuu wa mkoa anaongea upuuzi tu. Mwenyezi Mungu tulikukosea nini sisi watanzania kama hawa ndo viongozi wetu!
Alijaribu post graduate in leadership and management ikakataa, kama ingekuwa rahisi sasa hivi angekuwa PhD student🙂🙂🙂🙂 ana mapungufu yake..lakini hakai meza 1 na bashite,,mm niingekuwa bashite kwahyo nafasi ningesoma sana kwakweli!,maana pesa anayo
Kweeli mkuu viewNakukumbusha: mtaji wa youtube channel ni viewers
Unaweza kukuta anafatilia vizuri tuu hayo mambo km binadamu wengine, na anaweza pia akajumuika na akina wema kupeana michapo inayoendelea, ni ubinadamu tuu, akiwa nje ya ofisi, so pale kaongea km paulo sio km RCDSMPAUL MAKONDA MWENYE DAR ES SALAAM YAKE.
anyway nje ya ukuu wa mkoa nae ni mwanadamu ana hisia zake pia katika maisha ya kawaida.Tusiwe tunahukumu kila jambo bila sababu
He is stupid.Kuna mambo mtu akifanya unabaki unastaajabu..... Smh [emoji51][emoji51][emoji17][emoji17]
hhahahah kichwa kizito..😛😛😛...Alijaribu post graduate in leadership and management ikakataa, kama ingekuwa rahisi sasa hivi angekuwa PhD student
Baba mjengo kesha tamka hadharani kuwa yeye ni kichaa,unafikiri wateule wake watakuwa na akili?Huyo ni mwaume au mwanamke "".....? yaani huyo ndiye anaye vaa kofia ya ukuu wa Mkoa wa dar " anajihusisha na umbea .... Kweli hili taifa linaongozwa na wehu