Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.
Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.
Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!
Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.
Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3146809View attachment 3146809
Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.
Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.
Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!
Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.
Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Mambo ya laana ni ya kufikirikaHersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.
Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.
Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!
Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.
Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Watanzania walishanasa kwenye tope la upumbavu, kuwatoa haiwezekani labda wakufeManara anacheza namba ngapi?
Vijana wa Manara TV mna shida sana, mkishatumwa tu ninyi hata kufikiria huwa hamfikiriiHersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.
Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.
Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!
Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.
Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Hafu wakufe ila mimi nibaki.Watanzania walishanasa kwenye tope la upumbavu, kuwatoa haiwezekani labda wakufe
Manara anacheza namba ipi uwanjani?Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.
Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.
Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!
Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.
Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Aaah, ndugu yangu Manara ni kwanini uandike haya humu !!? Ungemfuata Injinia Hersi ukamueleza dukuduku lako la moyoni. Haya uliyoyaandika hayana uhalisia kwasisi tusioamini huo ujinga kuwa ukiwa karibu na fulani utapata ngekewa. NI MAWAZO YA KIMASIKINI NA UVIVU WA FIKRA.Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.
Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.
Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!
Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.
Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.