Huyo De Gea ni jini!

Huyo De Gea ni jini!

Wewe ndio ushabiki kwani De Gea ameanza kudaka wakati wa mourinho?? Shida JF ya siku hizi imevamiwa watu hawana uelewa wa mambo alafu wanataka kuwa wachambuzi

De Gea toka amekuja kacheza mechi 259 na ameshafungwa magoli 256 ikimaanisha kwa average anafungwa kwenye kila mechi na ameokoa penalty 2 tu maisha yake yote man U??

Sasa tuje kwa Oblak.... Kacheza mechi 170 na amefungwa kwenye mechi 70 pekee ikimaanisha hajafungwa mechi 100 sasa unasemaje De Gea ni best in the world??

Njooni na takwimu sio ushabiki..... Huyo De Gea anabebwa na media tu ila kuna makipa hawafikii mfano Ter stegen, De Gea, Handanovic,Donarumma n.k ila kwakuwa mnaongozwa na mahaba basi mnamuona ndio the best.
De gea. ni mtamu kuliko wote kwakua yeye Difence yake ni mbovu kuliko ao unao sema wanamzidi. Matokeo ya man u anayatafuta kwa uwezo wake mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Defence ya Manchester United inayolalamikiwa na kila mtu kwa misimu zaidi ya minne hivi sasa, ni vigumu sana kwa kipa kupata clean sheets nyingi, sipingangani na takwimu maana najua ni kweli Jan Oblak anacleansheets nyingi tangu 2014, lakini anapata hizo cleansheets kwa ubora wa mabeki na viungo wakabaji wa Atletico Madrid ( ingawa kwa msimu huu wanamapungufu kwenye defence line yao kama ni mfuatiliaji mzuri wa La Liga utaelewa hili) lakini kwa misimu minne iliyopita Atletico Madrid ndo team yenye defence nzuri kuliko team zote kwenye top 5 best leagues in Europe.
kwahiyo sishangai kuona hizo statistics zikimfavour Jan Oblak, Kama unatakwimu za saves walizofanya unaweza kuweka, lakini under poor defence hata Jan Oblak anaperform vibaya jaribu kuangalia performance yake akiwa Slovenia utaona hilo.
Kwa takwimu rasmi kutoka vyanzo mbalimbali ni kwamba save per goal ratio ya Oblak ni kubwa kuliko ya De gea

De gea anayo save per goal ya 4.0 ilihali Jan Oblak ana save per goal ya 5 ikimaanisha katika mashuti 10 on target anafungwa magoli 2 tu ilihali degea mashuti 8 pekee anafungwa magoli 2 ikimaanisha nini??

Unahitaji mashuti mengi zaidi kumfunga Jan Oblak kuliko kumfunga De Gea
 
Huo uwezo wake si wakawaida-haiwezekani!

Kipa gani yupo makini kupitiliza namna hiyo!?Mm kuanzia leo nawasiliana na babu kule kijijini tulijadili suala la uwezo wa kupitiliza wa huyo mtu!

Ni hatari!
lazima atakuwa ni FREEMASON...
 
De gea. ni mtamu kuliko wote kwakua yeye Difence yake ni mbovu kuliko ao unao sema wanamzidi. Matokeo ya man u anayatafuta kwa uwezo wake mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimeweka takwimu ni vizuri na washabiki wa man u mje na takwimu kuliko maneno ya kutiana moyo..... Nimeweka takwimu hapo kuwa save percentage ya Oblak ni kubwa kuliko De Gea sasa unasemaje tena kuwa ana defense mbovu ilihali ratio inaangalia magoli uliofungwa vs shots on target

Hyo takwimu haiangalii defense kabisa bali purely performance ya kipa akipigiwa mashuti ya on target

Tukubali tu De Gea bado sana kwa Oblak
 
Mkuu,tangu nimeanza kuona michango yako humu JF sijawahi kuona ukichangia pumba kiasi hiki.

Nakusihi katika jina la Yesu uendelee kubaki katika Jukwaa la siasa kwakuwa sipendezwi kuona ukitema Pumba/mataputapu yenye viwango vikali kama hivi.

Hakuna shabiki wa mpira mwenye utulivu wa akili anayeweza kujaribu hata kimoyomoyo tu kumfananisha DDG na kipa yeyote yule hapa duniani kwa sasa!
Mkuu shida mnaongozwa na ushabiki wa Man U badala ya uhalisia.... Mie nimeweka takwimu hapo sasa kwanini msjikite kwenye takwimu kuliko mahaba

Shot per goal ratio De Gea kazidiwa na Jan Oblak sasa hapo unasemaje de gea ni mzuri kuliko Jan Oblak.... Ni vizuri tuwe tunafuatilia ligi zote kuliko kuangalia tu EPL alafu tunadhani ndio mpira unaishia hapo hapo
 
Kwa Defence ya Manchester United inayolalamikiwa na kila mtu kwa misimu zaidi ya minne hivi sasa, ni vigumu sana kwa kipa kupata clean sheets nyingi, sipingangani na takwimu maana najua ni kweli Jan Oblak anacleansheets nyingi tangu 2014, lakini anapata hizo cleansheets kwa ubora wa mabeki na viungo wakabaji wa Atletico Madrid ( ingawa kwa msimu huu wanamapungufu kwenye defence line yao kama ni mfuatiliaji mzuri wa La Liga utaelewa hili) lakini kwa misimu minne iliyopita Atletico Madrid ndo team yenye defence nzuri kuliko team zote kwenye top 5 best leagues in Europe.
kwahiyo sishangai kuona hizo statistics zikimfavour Jan Oblak, Kama unatakwimu za saves walizofanya unaweza kuweka, lakini under poor defence hata Jan Oblak anaperform vibaya jaribu kuangalia performance yake akiwa Slovenia utaona hilo.
wanacheza Ligi ya mbuz hao muulize kocha wa Man City anavyoumbuka
 
Mnasifia De gea ila mkae mijua beki hamna,siku akiumia De Gea mtapata tabu sana bado mnahumhitaji Kolibaly.
 
Mfano jana Totenharm kipindi cha pili kwa presha waliyokuwa nayo wangeweza kufunga magoli mawili au matatu golikipa yoyote yule ambaye haitwi De gea
Hahaha, huyu bi gea si alifungwa goli tatu ndani ya dk 10?
 
All Hail King David
FB_IMG_1547402472422.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo takwimu zako ziweke vizuri,vinginevyo nawe ni shabiki tu
Unasema De Gea kacheza mechi 259 na kufungwa magoli 256
Oblak Mechi 170 na kafungwa mechi 70, hapa kwanini usiweke idadi ya magoli kama ulivyofanya kwa De Gea?

Binafsi namkubali sana Jan Oblak na nishabiki wake, uwezo wake hauachi mashaka kabisa.
Huyo jamaa zwa zwa sana mkuu ! [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu shida mnaongozwa na ushabiki wa Man U badala ya uhalisia.... Mie nimeweka takwimu hapo sasa kwanini msjikite kwenye takwimu kuliko mahaba

Shot per goal ratio De Gea kazidiwa na Jan Oblak sasa hapo unasemaje de gea ni mzuri kuliko Jan Oblak.... Ni vizuri tuwe tunafuatilia ligi zote kuliko kuangalia tu EPL alafu tunadhani ndio mpira unaishia hapo hapo
Unaamini kwamba Jan akija MUFC anaweza kumtuliza bench De Gea?

Unajua haya mambo ya takwimu ukiacha assists na magoli huwa nayapuuziaga sana.

Ni sawa na zile hadithi za Jorginho kupiga pasi 300 peke yake kumbe pasi 100 kati ya hizo ni zile za kumrudishia Kepa mpira na zilizobaki ni zile za kugongeana na Luiz.

Angalia pia na uhalisia, ni mwaka wa sita au saba sasa beki za MUFC hazieleweki ambao hawa ndio wa kumpa DDG ulinzi asifikiwe na mpira.

Tumpe DDG sifa zake,hautopungukiwa na kitu!
 
Washabiki kwa kukuza mambo hamjambo..... Eti best goalkeeper in the world!! Huyo De gea kafungwa magoli 32 ndani ya mechi 22 pekee ilihali wenzake kina Oblak wamefungwa magoli 10 pekee msimu huu mpaka sasa.....

De Gea kweli kajitahidi sana Man U lakini ni wa kawaida sana sema anabebwa na media na ndio maana alikua hana msaada wowote kwa timu ya taifa hadi kusababusha ikatolewa mapema imagine alishindwa okoa hata penalty mechi ya Russia.....!!
Mchukue kipa wa timu nyingine mchezeshe na defence ya man u tuone atafungwa mangapi.

Degea kinacho muua ni defence.. inavuja sana. Degea akikaa na ukuta kama wa man city au liverpool. Angekuwa na cleanshit za kutosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom