Huyu kijana ni mjinga sana."Lile sakata liliniathiri kwenye mambo mengi sana sio kwa upande wa kucheza pekee, wakati niko kwenye wakati mgumu kama ule kila wakati unafikiria hii kesi itaishaje, nikakutana na pigo lingine la kukimbiwa na mpenzi wangu ambaye niliamini ningekuja kumuoa.”
View attachment 2770296
"Aliona kama maisha yangu ya soka tena basi ndio yameishia pale alishindwa kuvumilia na kuamua kutafuta mtu mwingine kitu kilichoniumiza zaidi ni hatua mbaya zaidi kwangu ikawa kwenda kuolewa tena nikiwa katikati ya lile sakata, sikuwa nimemuoa ila tulikuwa na mipango mingi ya maisha kati yetu, hakutaka kuvumilia kabisa nililazimika kuyapokea maamuzi yake hakukuwa na namna na sasa nimerudi uwanjani maisha mengine yataendelea tu." — Feisal Salum
Mwanamke anayekukimbia kwenye matatizo huyo sio wa kuoa... mimi ukiniuliza mwanamke na mama mzazi, mara mia mama mzazi maana nikiwa kapuku mama mzazi ndio awezi kuniacha...Asitafute kisingizio cha matatizo yake na Yanga. Huyo binti aligundua mtu aliyekuwa naye ameshikwa akili na masikio, na mama yake! Hivyo aliona hakuna future nzuri mbele yake.
Fei Toto akubali tu maamuzi yake aliyoyachukua kipindi kile yalikuwa ni ya kipuuzi. Na madhara yake yameshaanza kuonekana! Na pia yatamtesa kwa miaka mingi.
Huyo dada alipishana na gari la mshahara"Aliona kama maisha yangu ya soka tena basi ndio yameishia pale alishindwa kuvumilia na kuamua kutafuta mtu mwingine kitu kilichoniumiza zaidi ni hatua mbaya zaidi kwangu ikawa kwenda kuolewa tena nikiwa katikati ya lile sakata, sikuwa nimemuoa ila tulikuwa na mipango mingi ya maisha kati yetu, hakutaka kuvumilia kabisa nililazimika kuyapokea maamuzi yake hakukuwa na namna na sasa nimerudi uwanjani maisha mengine yataendelea tu." — Feisal Salum
Lakini si kasema alikuwa ni mchumba tuHuyu kijana ni mjinga sana.
Haelewi hata nini cha kuongea kama kijana wa Kiislam.
Waislam hatutakiwi kuwa na "wapenzi" nje ya ndoa.
Unaruhusiwa kuwa na mchumba tu, tena mnayekutana na kuongea mbele ya maharim wake.
Nje ya hivyo ni kinyume na Uislam.
Nje ya Mada, Hivi waisilamu mnaruhusiwa kuimba nyimbo kama afanyavyo Diamond na Kiba, na pia kwa mashabiki kufuatilia nyimbo zao? Maana niliona kuna kipindi baadhi ya masheikh walimshikia bango Mzee Yusuf, ila sijaona kwa akina DiamondHuyu kijana ni mjinga sana. Haelewi hata nini cha kuongea kama kijana wa Kiislam. Waislam hatutakiwi kuwa na "wapenzi" nje ya ndoa. Unaruhusiwa kuwa na mchumba tu, tena mnayekutana na kuongea mbele ya maharim wake. Nje ya hivyo ni kinyume na Uislam.
Hakuna ushahidi wa moja kwa moja wa huyo binti kumkimbia kutokana na hayo matatizo.Mwanamke anayekukimbia kwenye matatizo huyo sio wa kuoa... mimi ukiniuliza mwanamke na mama mzazi, mara mia mama mzazi maana nikiwa kapuku mama mzazi ndio awezi kuniacha...
Huyo hakuwa mke sahihi... Shida ni kipimo tosha cha kumjua mwanamke sahihi
B.itches eeeh....wasaka fursa tuu. Aliona mwana hatacheza tena sasa imekula kwake."Lile sakata liliniathiri kwenye mambo mengi sana sio kwa upande wa kucheza pekee, wakati niko kwenye wakati mgumu kama ule kila wakati unafikiria hii kesi itaishaje, nikakutana na pigo lingine la kukimbiwa na mpenzi wangu ambaye niliamini ningekuja kumuoa.”
View attachment 2770296
"Aliona kama maisha yangu ya soka tena basi ndio yameishia pale alishindwa kuvumilia na kuamua kutafuta mtu mwingine kitu kilichoniumiza zaidi ni hatua mbaya zaidi kwangu ikawa kwenda kuolewa tena nikiwa katikati ya lile sakata, sikuwa nimemuoa ila tulikuwa na mipango mingi ya maisha kati yetu, hakutaka kuvumilia kabisa nililazimika kuyapokea maamuzi yake hakukuwa na namna na sasa nimerudi uwanjani maisha mengine yataendelea tu." — Feisal Salum
mimi alinikera kitendo chake cha kutokuwa na adabu kwa viongozi wa yanga, na ile kutetewa na Rais kwasababu tu ni mzanzibar, hii kitu ilinikera huyu dogo aisee. wazanzibar ni watu wa kuwaangalia sana, wanateteana hadi kwenye vitu vya kijinga kabisa."Lile sakata liliniathiri kwenye mambo mengi sana sio kwa upande wa kucheza pekee, wakati niko kwenye wakati mgumu kama ule kila wakati unafikiria hii kesi itaishaje, nikakutana na pigo lingine la kukimbiwa na mpenzi wangu ambaye niliamini ningekuja kumuoa.”
View attachment 2770296
"Aliona kama maisha yangu ya soka tena basi ndio yameishia pale alishindwa kuvumilia na kuamua kutafuta mtu mwingine kitu kilichoniumiza zaidi ni hatua mbaya zaidi kwangu ikawa kwenda kuolewa tena nikiwa katikati ya lile sakata, sikuwa nimemuoa ila tulikuwa na mipango mingi ya maisha kati yetu, hakutaka kuvumilia kabisa nililazimika kuyapokea maamuzi yake hakukuwa na namna na sasa nimerudi uwanjani maisha mengine yataendelea tu." — Feisal Salum
Amekimbiwa hadi na ShirikishoAsitafute kisingizio cha matatizo yake na Yanga. Huyo binti aligundua mtu aliyekuwa naye ameshikwa akili na masikio, na mama yake! Hivyo aliona hakuna future nzuri mbele yake.
Fei Toto akubali tu maamuzi yake aliyoyachukua kipindi kile yalikuwa ni ya kipuuzi. Na madhara yake yameshaanza kuonekana! Na pia yatamtesa kwa miaka mingi.
Mimi nashauri Hersi afukuzwe ili Fei arudi Yanga"Ama Fei aendelee kucheza Yanga,au Rais Hersi aachie kiti"
Fei bana!
umama mwenyewe😉Wanawake huwa tunaona mbali, wee mtu anawanyambua mabosi wake hadharani, mara anasema walikuwa wanamlisha ugali na sukari ndo angeweza kumstiri mke?
Siku vingeumana angeenda klauzi kusema mke alikuwa anampa nyama mbichi (elewa neno nyama) 🤣🤣🤣🤣
Mwanaume kifua bwana, mwanaume koromeo, mwanaume hasusi.... lile sakata lilionesha ana umama mwingi, kiasi akimbiwe.
Na huko nako sijui atamsingizia nani!!Amekimbiwa hadi na Shirikisho
Kashapuyanga huyo itakua aliachwa baada ya kutoka shirikishoNa huko nako sijui atamsingizia nani!!
Kwenye maisha penda sana Amani ya Moyo, Salimu yeye alitaka Amani ya Moyo... Uwezi kulazimisha kukaa sehemu moyo ulishakataa, na yeye mwenyewe alisema...mimi alinikera kitendo chake cha kutokuwa na adabu kwa viongozi wa yanga, na ile kutetewa na Rais kwasababu tu ni mzanzibar, hii kitu ilinikera huyu dogo aisee. wazanzibar ni watu wa kuwaangalia sana, wanateteana hadi kwenye vitu vya kijinga kabisa.
kwa hiyo sasaivi anawaangalia wenzie wakichanja mbuga wakati yeye analamba koni.