Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

We ndo umeongea Sasa,intelejensia ni pesa tu.ukiwa na pesa utanunua watu na taarifa zote uzitakazo utazipatq,ukisikia super power jua pesa yake inaongea,
 
We ndo umeongea Sasa,intelejensia ni pesa tu.ukiwa na pesa utanunua watu na taarifa zote uzitakazo utazipatq,ukisikia super power jua pesa yake inaongea,
hajui kama hata hapa Tanzania kuna raia kibao tu wengine wapo hadi serikalini ni maafisa ujasusi wa marekani. kuna idadi kubwa sana ya undercover wa kimarekani nje ya marekani. achilia hao wanaokuja kwenye NGOs, wapo raia kabisa wanafanya kazi ila wana mgao wao na serikali ya marekani ina bajeti kabisa. hadi kwenye makundi ya kigaidi kule kule, hata hamas mlemle ndani ya wapalestina wapo wapalestina wanaopokea mshahara kutoa siri kwa israel na marekani everyday na ni viongozi. hivyo hivyo na kwa machadema, ndo maana tunasema kina mwabukusi waanzishe chama kipya kwasababu hiki kilichopo mbowe naona kalamba asali/sukari.
 
Akivimba uso ndo anajua kaumia.
 
Kupata taafira za kijasusi ni moja,
Kuzichakata na kuzitafasiri taarifa za kijasusi ni mbili,
Kuzitendea kazi kiufasaha taarifa za kijasusi katika ngazi ya kijasusi ni tatu,
Kuzitendea kazi kiufasaha taarifa za kijasusi katika ngazi ya kisiasa na kiutawala ni nne.
 
It's all about money..
 
Duuh.
Ya kweli hii?!
 
Tunaposema usalama wa bandari hua tunayafahamu mengi lakini ikifikia hatua watu wanapuuza unawaacha ilimradi wengine pakutokea tunapajua
Lakin pesa muhimu zaidi mkuu
 
Duh
 
Anafanana kiaina na waziri wetu wa ulinzi na usalama.
 
Huku kwetu the so called maspy wanashinda manzese wanakunywa tu pombe na supu za utumbo wa mbuzi na kujisifia kuwa wao ni usalama.
 
Mwingine yupo Kilosa ananunua ufuta
 

Unajuaje kama hana karataso za migration
 
Kuna inshomiree mmoja alisoma Highland secondary school naye nashangaa ana cheo kukubwa kwenye jeshi la hao jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…