Huyu Askofu Mwamakula ni mfuasi wa vyama vya upinzani tu.? Kanisa lake liko wapi hapa Dar.?

Huyu Askofu Mwamakula ni mfuasi wa vyama vya upinzani tu.? Kanisa lake liko wapi hapa Dar.?

Mwananchi wa chini

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
227
Reaction score
599
Hivi huu Mwamba Mwamakula kanisa lake kwa hapa Dar lipogo wapi na ibada ni saa ngapi?Maana anaonekana zaidi kwenye matukio na mihadhara ya siasa ya vyama upinzani kuliko Kanisani.

Yaani kuna watu Mwamakula wakimuona tu,kinachowajia kichwani ni Siasa za upinzani,wala si neno la Mungu.

Kwa mfano ukimuona Rua'ichi paaa, kinachokujia kichwani fasta ni neno la Mungu,Ukimuona Bagonza Paa, kinachokujia fasta kichwani ni neno la Mungu na ukosoaji wa kifalsafa,ukimuona Gwajima vup, kinachokujia fasta kichwani ni Mahubiri na siasa za CCM,ila ukimuona Mwamakula,moja kwa moja CHADEMA inakujia kichwani,kuna watu wanamfahamu kama askofu wa CHADEMA.

Mwenye anajua kanisa lake lilipo anipe location niende ibadani leo nikale neno mimi bana.

mwama.jpg
 
Sisi wengine ni wakristo na wala huko kanisani hatuendi, isipokuwa mimi najua ni Askofu wa kweli kwani anatetea haki. Hata huyo Yesu hakuwa anahuburi katika kanisa moja na sehemu hiyo hiyo kila siku.
 
Huwa mnachanganya Mambo.Yawezekana kwa kutoelewa,kujisahaulisha,kutotaka kujielewesha au mambo hayo kuchelewa kufanyika nchini.
Viongozi wengi wa dini hupenda kuwa sehemu ya wanaoonewa ili wawatetee na kuwa sauti zao,hasa na serikali zao.Mifano ipo mingi.Maaskofu wakatoliki Congo DR na mashehe wa kiislamu,marehemu Askofu Mkuu Desmond Tutu wa Afrika Kusini n.k.Hao wote huwa ni watetezi wa haki na kweli na wala si kwamba(yawezekana wakawepo wanachama) ni wanachama wa vyama pinzani.
Hebu turudi kwa Alhad Musa Salum.Huwa ukimuona unamnasibisha na siasa za chama gani?
 
Huwa mnachanganya Mambo.Yawezekana kwa kutoelewa,kujisahaulisha,kutotaka kujielewesha au mambo hayo kuchelewa kufanyika nchini.
Viongozi wengi wa dini hupenda kuwa sehemu ya wanaonewa,hasa na serikali zao.Mifano ipo mingi.Maaskofu wakatoliki Congo DR na mashehe wa kiislamu,marehemu Askofu Mkuu Desmond Tutu wa Afrika Kusini n.k.Hao wote huwa ni watetezi wa haki na kweli na wala si kwamba(yawezekana wakawepo wanachama) ni wanachama wa vyama pinzani.
Hebu turudi kwa Alhad Musa Salum.Huwa ukimuona unamnasibisha na siasa za chama gani?
Alhadi ni lumumba ukimuona paap
 
Huwa mnachanganya Mambo.Yawezekana kwa kutoelewa,kujisahaulisha,kutotaka kujielewesha au mambo hayo kuchelewa kufanyika nchini.
Viongozi wengi wa dini hupenda kuwa sehemu ya wanaoonewa ili wawatetee na kuwa sauti zao,hasa na serikali zao.Mifano ipo mingi.Maaskofu wakatoliki Congo DR na mashehe wa kiislamu,marehemu Askofu Mkuu Desmond Tutu wa Afrika Kusini n.k.Hao wote huwa ni watetezi wa haki na kweli na wala si kwamba(yawezekana wakawepo wanachama) ni wanachama wa vyama pinzani.
Hebu turudi kwa Alhad Musa Salum.Huwa ukimuona unamnasibisha na siasa za chama gani?

2772022_1660090_FB_IMG_1514731600839.jpg
 
Hivi huu Mwamba Mwamakula kanisa lake kwa hapa Dar lipogo wapi na ibada ni saa ngapi?Maana anaonekana zaidi kwenye matukio na mihadhara ya siasa ya vyama upinzani kuliko Kanisani.
Yaani kuna watu Mwamakula wakimuona tu,kinachowajia kichwani ni Siasa za upinzani,wala si neno la Mungu.
Kwa mfano ukimuona Rua'ichi paaa, kinachokujia kichwani fasta ni neno la Mungu,Ukimuona Bagonza Paa,kinachokujia fasta kichwani ni neno la Mungu na ukosoaji wa kifalsafa,ukimuona Gwajima vup, kinachokujia fasta kichwani ni Mahubiri na siasa za CCM,ila ukimuona Mwamakula,moja kwa moja CHADEMA inakujia kichwani,kuna watu wanamfahamu kama askofu wa CHADEMA.
Mwenye anajua kanisa lake lilipo anipe location niende ibadani leo nikale neno mimi bana.

View attachment 2100670
Huyu chief wangu kule Unyakyusani.

Kifupi ni kama Yesu,

1. Yesu alikuja kwa wanaoteseka je ccm wanateswa?
2. Yesu alikuja kwa wanaotafuta haki je police wanatenda haki?

Hayo yaliyokosekana ndio yanayomfanya baba askofu Mwamakula awe upande wa wanyonge.

Mfano

Huko Italy kipindi Cha dikteta Mussolini Roman Catholic walikabidhiwa Vatican, tangia hapo catholic wanamuona Mussolini alikuwa kiongozi mzuri.

Kifupi Ile Vatican ni rushwa waliyopewa catholic Ili wasiuseme ukweli kuhusu Mussolini.
 
Na ukimwona yule paaaaaa unajua kanisa lake lipo ..
 
Hivi huu Mwamba Mwamakula kanisa lake kwa hapa Dar lipogo wapi na ibada ni saa ngapi?Maana anaonekana zaidi kwenye matukio na mihadhara ya siasa ya vyama upinzani kuliko Kanisani.
Yaani kuna watu Mwamakula wakimuona tu,kinachowajia kichwani ni Siasa za upinzani,wala si neno la Mungu.
Kwa mfano ukimuona Rua'ichi paaa, kinachokujia kichwani fasta ni neno la Mungu,Ukimuona Bagonza Paa,kinachokujia fasta kichwani ni neno la Mungu na ukosoaji wa kifalsafa,ukimuona Gwajima vup, kinachokujia fasta kichwani ni Mahubiri na siasa za CCM,ila ukimuona Mwamakula,moja kwa moja CHADEMA inakujia kichwani,kuna watu wanamfahamu kama askofu wa CHADEMA.
Mwenye anajua kanisa lake lilipo anipe location niende ibadani leo nikale neno mimi bana.

View attachment 2100670
Yaani huyu ndo hata afya na nuru ya mwili hana! Kinaroho ya kwa nini?
 
Huwa mnachanganya Mambo.Yawezekana kwa kutoelewa,kujisahaulisha,kutotaka kujielewesha au mambo hayo kuchelewa kufanyika nchini.
Viongozi wengi wa dini hupenda kuwa sehemu ya wanaoonewa ili wawatetee na kuwa sauti zao,hasa na serikali zao.Mifano ipo mingi.Maaskofu wakatoliki Congo DR na mashehe wa kiislamu,marehemu Askofu Mkuu Desmond Tutu wa Afrika Kusini n.k.Hao wote huwa ni watetezi wa haki na kweli na wala si kwamba(yawezekana wakawepo wanachama) ni wanachama wa vyama pinzani.
Hebu turudi kwa Alhad Musa Salum.Huwa ukimuona unamnasibisha na siasa za chama gani?
1660090_FB_IMG_1514731600839.jpg
 
Kuna siku niliona picha zinatembea mtandaoni gj Marisa na mbowe James akiwa ktk kanisa la kkkt kimara temboni wakihudhuria ubario wa mwanae na askofu mwamakula akipokea ubarikio

Swal nikajiuliza huyu Ni askof wa dhehebu gani mnk mbona mtot wake amepokea kipa imara kkkt

Na ss wa kkkt hutuna taarifa yake kuwa Ni askfu wetu

Mungu ambariki sna kwa Kaz anayoifanya ktk kutetea haki ipatikane nnchini
 
Kumbe hata habari zake huzijui, lakini umeanzisha uzi...
 
Back
Top Bottom