Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Kadinali Pengo kanisa lake liko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu hakuhubiri siasaSisi wengine ni wakristo na wala huko kanisani hatuendi, isipokuwa mimi najua ni Askofu wa kweli kwani anatetea haki. Hata huyo Yesu hakuwa anahuburi katika kanisa moja na sehemu hiyo hiyo kila siku.
Huyo ni askofu mchongoHivi huu Mwamba Mwamakula kanisa lake kwa hapa Dar lipogo wapi na ibada ni saa ngapi?Maana anaonekana zaidi kwenye matukio na mihadhara ya siasa ya vyama upinzani kuliko Kanisani.
Yaani kuna watu Mwamakula wakimuona tu,kinachowajia kichwani ni Siasa za upinzani,wala si neno la Mungu.
Kwa mfano ukimuona Rua'ichi paaa, kinachokujia kichwani fasta ni neno la Mungu,Ukimuona Bagonza Paa,kinachokujia fasta kichwani ni neno la Mungu na ukosoaji wa kifalsafa,ukimuona Gwajima vup, kinachokujia fasta kichwani ni Mahubiri na siasa za CCM,ila ukimuona Mwamakula,moja kwa moja CHADEMA inakujia kichwani,kuna watu wanamfahamu kama askofu wa CHADEMA.
Mwenye anajua kanisa lake lilipo anipe location niende ibadani leo nikale neno mimi bana.
View attachment 2100670
Mleta Mada alipendezwa kuona picha kama hizi, roho yake ingekuwa kwatuuu
Huyo ni mwekiti wa makanisa ya anglikana hivyo ni msimamizi ila kufundiha kanisani sio saaana kama hawa wachungaji wadogo wadogo huwa ana nafasi kubwa kutalii kuliko kuingia kanisaniHivi huu Mwamba Mwamakula kanisa lake kwa hapa Dar lipogo wapi na ibada ni saa ngapi?Maana anaonekana zaidi kwenye matukio na mihadhara ya siasa ya vyama upinzani kuliko Kanisani.
Yaani kuna watu Mwamakula wakimuona tu,kinachowajia kichwani ni Siasa za upinzani,wala si neno la Mungu.
Kwa mfano ukimuona Rua'ichi paaa, kinachokujia kichwani fasta ni neno la Mungu,Ukimuona Bagonza Paa,kinachokujia fasta kichwani ni neno la Mungu na ukosoaji wa kifalsafa,ukimuona Gwajima vup, kinachokujia fasta kichwani ni Mahubiri na siasa za CCM,ila ukimuona Mwamakula,moja kwa moja CHADEMA inakujia kichwani,kuna watu wanamfahamu kama askofu wa CHADEMA.
Mwenye anajua kanisa lake lilipo anipe location niende ibadani leo nikale neno mimi bana.
View attachment 2100670
Akili yake ipo palepale.Kuna watu wanene ila wamedumaa akili.Halafu amekonda sana, kabaki mifupa tu
Wapi?Hiyo picha alikopigwa ndiko anakohubiri
Kaka.. Alhadi ni Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar taasisi ya Bakwata.Eti ndugu Mwananchi wa chini, kwani na huyu Sheikh Alhad Mussa Salum na yeye Msikiti wake uko wapi? Maana lisitokee kongamano/mkutano/kikao cha ccm na viongozi wake!
Lazima ahudhurie!