Huyu binti atakuja afe vibaya kwa ujinga wake 😮‍💨😮‍💨😮‍💨

Huyu binti atakuja afe vibaya kwa ujinga wake 😮‍💨😮‍💨😮‍💨

Nikujibu tu kwa ufupi kuwa, kipindi naanza mahusiano na huyu binti tulipima kwanza kabla ya kushiriki chochote.

Na tulipima baada ya yeye kusema hapendi kutumia njia za uzazi wa mpango kwa sababu zina madhara.

Lakini pia kila mimba inapo nasaga tunapo enda kwa daktari ku-prove huwa lazima tupime tena afya zetu.

Kwa hiyo usalama wa afya yangu mimi nau-zingatia sana labda tu awe anagawa na kwingine peku peku ndiyo ataweza kuniambukiza, japo najua possibility ya yeye kuni-cheat ni ndogo sana sijawahi kuona hata dalili.

Lakini pia kuhusu kukataa kushiriki ngono na yeye kwa sababu ya yeye kukataa kinga nishafanya sana.

Yaani anakuja kwangu kunyanduliwa lakini akikataa kinga na mimi naigomea papuchi kabisa mpaka asubuhi anaondika sija mkugusa.

Ni wanaume wachache sana wanaweza kuigomea papuchi ila mimi mara kadhaa nilikuwa naweza japo kwa mbinde.

Lakini sasa ukweli ni kwamba siyo mara zote nitaigomea, kuna mda najizira tu kuwa atajua mwenyewe si hataki.

Ndiyo maana mimba ya tatu niligoma kumpa pesa ya MISO nikamwambia mimi siwezi kufanya huo ujinga kila mara kwa uzembe wako, kinga hutaki alafu kutoa mimba ndiyo unaona rahisi, nilimwogesha matusi ya kutosha maana nili-mind sana.

Ikabidi yeye ndiyo atoe hiyo 70k nikamtaftie MISO.

Huyu mwnamke akili yake ndiyo sifuri, hivi imagine mimi mwanaume ndiyo niko tayari kutumia kinga alafu yeye mwanamke ndiyo hataki, wakati kikawaida inakuwaga vise vesa
Ukishaona kila wakati una sababu ya kupima pima jua kuna siku tu unachokipima utakiona.

Ushauri: Tumia kinga, UTAKUJA KUAMKA NA LIUTI LIKUUE.
 
Nimesha give up tayari mkuu.


Kwepa Matatizo kabisa na wanawake wa aina hizi:

1. Desperate kwa hela.
2. Wasio na elimu na busara.
3. Wasio na cha kupoteza...

Kuna jamaa yangu ana kesi ya kubaka ambayo itaisha vizuri tu, ila imemzalilisha na uonevu tu, blackmailing.

Mwanamke akishaonyesha tu dalili hizo hqpo juu, hasa uitaji serious wa hela, kaa mbali, ana namna nyingi sana za kukubadili mtaji.

Mbona hata kama wapenzi au wake zetu wako mbali twaweza vumilia upwiru tu na kuwatembelea au kuwaita, tusijiendekeze Wazee.
 
Huyo ni mtoto kama watoto wengine Bado yupo kwenye harakati za tamaa huyo. Aambiliku lakini ungekuwa na mshangazi. Mengi yanajielewa harafu matamu 6x6 yanaambilika.

Ila hivyo vitoto vya 29 kushuka chini tena ambayo havija zaa siku shauri...Bora hata single mothers maisha yamemchapa hawezi kukufanyia uhuni kama huo.

Nahisi huyo dogo anatumia udhaifu wako kukuchuna. Umeshawahi kwenda nae hospital kuthibitisha...?​
Hanichuni.

Dawa huwa namletea mimi mambo yakisha haribika.

Nilivoona inazidi mara ya nne nikamwambia mimi sitoi pesa ya dawa utajua mwenyewe maana kama ni kinga wewe ndiyo huwa unakataa.

Ilibidi atoboke yeye anipe 70k ndiyo nikaenda kumletea dawa.

Ila hapo kwenye MSHANGAZI ni kama nime-kuelewa mkuu.
 
Hanichuni.

Dawa huwa namletea mimi mambo yakisha haribika.

Nilivoona inazidi mara ya nne nikamwambia mimi sitoi pesa ya dawa utajua mwenyewe maana kama ni kinga wewe ndiyo huwa unakataa.

Ilibidi atoboke yeye anipe 70k ndiyo nikaenda kumletea dawa.

Ila hapo kwenye MSHANGAZI ni kama nime-kuelewa mkuu.
Piga mashangazi bwana hivi vitoto mambo mengi...
 
Kwepa Matatizo kabisa na wanawake wa aina hizi:

1. Desperate kwa hela.
2. Wasio na elimu na busara.
3. Wasio na cha kupoteza...

Kuna jamaa yangu ana kesi ya kubaka ambayo itaisha vizuri tu, ila imemzalilisha na uonevu tu, blackmailing.

Mwanamke akishaonyesha tu dalili hizo hqpo juu, hasa uitaji serious wa hela, kaa mbali, ana namna nyingi sana za kukubadili mtaji.

Mbona hata kama wapenzi au wake zetu wako mbali twaweza vumilia upwiru tu na kuwatembelea au kuwaita, tusijiendekeze Wazee.

Hapo Namba 1 ndiyo mbaya zaidi.

Namba 2 anajiua kwa ujinga wake na muda huo huo unamwonea huruma kwa namna anavyoji angamiza
 
Ukishaona kila wakati una sababu ya kupima pima jua kuna siku tu unachokipima utakiona.

Ushauri: Tumia kinga, UTAKUJA KUAMKA NA LIUTI LIKUUE.
Sasa kama mhusika kinga hataki anasema zina madhara kwake ila yupo tayari mpime afya kwanza hapo maana yake ni nini.

Ni uchaguzi wa option mbili tu either niache papuchi au niende vile yeye anavyotaka.

Mimi niliamua kwenda njia ambayo yeye anataka maana kama unavyojua sisi wanaume kuacha papuchi siyo kazi rahisi.

Ila kwa sasa nimeamua nimkimbie maana kwanza nishakitumia vya kutosha nilichokitaka, na nikawa namshauri abadilike awe tayari kutumia kinga lakini bado akawa hataki, sasa kinachofata ni mimi kusepa
 
Withdrawal zinawashinda nini hadi kupeana mimba, kama contraceptive zingine mmeshindwa kutumia, basi jitahidini na hiyo moja iliyobaki muwe makini. Otherwise tumieni kalenda, mimba nne ni nyingi sana, mumewe anaweza kupata tabu sana wakija kutafuta mtoto.
 
Demu kakufanyia timing analysis huku akiapply ile kauli mbiu ya time value of money na akijua kabisa kuwa the higher the risk the higher the return and vice versa.

Wanawake wengi wanaishi na hii mbinu, shtuka mwamba utakuja ufe vibaya
 
[emoji16][emoji16][emoji16]

Sijui, ila zinatoka INDIA.

Zilitengenzwa special kwa maginjwa mengine lakini madaktari wa tanzania wakageuza matumizi [emoji23]
Kinachoniumiza ni hizo bei yaani hapa nimewaza nianze kukagua mzigo wote wa MSD ulioletwa nipakue alafu nilete huko mjini sidhani kama nitakosa milioni zangu
 
Sasa kama mhusika kinga hataki anasema zina madhara kwake ila yupo tayari mpime afya kwanza hapo maana yake ni nini.

Ni uchaguzi wa option mbili tu either niache papuchi au niende vile yeye anavyotaka.

Mimi niliamua kwenda njia ambayo yeye anataka maana kama unavyojua sisi wanaume kuacha papuchi siyo kazi rahisi.

Ila kwa sasa nimeamua nimkimbie maana kwanza nishakitumia vya kutosha nilichokitaka, na nikawa namshauri abadilike awe tayari kutumia kinga lakini bado akawa hataki, sasa kinachofata ni mimi kusepa
Boss, Kinga ni kwa ajili yako si yake, mwanaume unaenda unavyotaka si mwanamke anavyotaka. Upo sawa kuachana naye kama hafati makakwa yako.
 
Siku unaenda kula mzigo meza paracetamol 4 hutasikia mimba, ukiona hiyo ngumu mwambie yeye ameze na cocker 0
Umewahi kuua rafiki yangu?
Acha kuishi maisha ya story za vijiweni utakufa na tutakuzika bahati mbaya na mimi nikija huko nikakukuta nitakukung'uta kwa ujinga wako
 
Back
Top Bottom