Huyu binti atakuja afe vibaya kwa ujinga wake ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ

Huyu binti atakuja afe vibaya kwa ujinga wake ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ

Boss, Kinga ni kwa ajili yako si yake, mwanaume unaenda unavyotaka si mwanamke anavyotaka. Upo sawa kuachana naye kama hafati makakwa yako.
Uko sawa, lakini pia tulipima before any thing to happen.

Kinga anayoiamini yeye ni kupima kwanza kabla nyama hazija gusana
 
Habari wana jamvi.

Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi.

Sasa bhana haka kabinti kana shida moja nayo ni hii "hakataki kabisa kutumia njia yeyote ya uzazi wa mpango kwa kigezo kwamba zina madhara".

Yaani kondomu anasema mafuta yake yana mdhuru, vidonge vya P2, sijui vijiti na contraceptive methods zote anasema zinaua kizazi, mara sijui atapata cancer.

Yaani ki-ufupi nikimwambiaga kuhusu njia za uzazi wa mpango au kuchukua tahadhari kwa njia za kisasa hatakagi kabisa na ana kasirika hapo hapo.

Kwa hiyo tukiwa na upwiru njia pekee tunazotumiaga ni mbili ambazo ni kalenda (kwake yeye) na kumwaga nje (liko juu yangu mimi).

Sasa hizi njia zote mbili zina risk, naweza nikasema kupata mimba kwa kutumia hizi njia ni 50/50, hazina uhakika wa asilimia 100 kabisa.

Mimi huwa najitahidi kumwaga nje nikikutana nae japo mara moja moja huwa nafeli maana nako siyo kazi rahisi ku-divert njia wakati wa utamu.

Kwenye kalenda hilo anajuaga mwenyewe mimi hata sifatiliagi.

Tatizo ni kwamba ghafla bin vuu anakwambia hazioni siku zake, na kimbilio pekee ni MISO PROSTOL.

Sasa hivi imeshatokea four times kila iki nasa ni kukimbilia MISO PROSTOL elfu sabini naliwa kila ikitokea.

Sasa mimi najiuliza huyu binti kati ya kutumia kondomu au njia yeyote ya uzazi wa mpango na sasahivi ashatoa mimba nne tu akiwa na mimi, kupi kuna madhara zaidi ?

Nishamwambia sana lakini hataki kunielewa sasa nilicho amua mimi ni kwamba nianze tu kumkwepa mdogo mdogo maana naona kama ana masiara na afya yake na maisha yake pia.

Unasema mafuta ya kondom yana madhara alafu unaenda kutoa mimba 4 si usenge huu aisee.

Hata leo nimetoka kumwambia kuhusu hilo amenijibu kuwa "hatokaa atumie njia yeyote ya uzazi wa mpango ya kisasa"

Nika mwambia kwa hiyo unavyotoa mimba ndiyo unafurahia na kuona hakuna madhara ? hana majibu.

Nashindwa kuelewa anashindwaje kuwa mjanja na mkubwa almost 27 years old.

NB : Suala la uzazi wa mpango linadhibitiwa na mwanamke zaidi, sisi wanaume ni wa kushirikishwa tu.

Ukifeli wewe mwanamke usidhani mwanaume nitaweza peke yangu, mwanaume akiwa na nyege uwezo wake wa kufikiri hushuka hadi asimia sifuri kabisa.
Ametoa mimba zako nne mkuu?
 
Na wewe unachukulia poa tu?
Siyo mchumba wangu wala siyo mpenzi wangu wa kudumu.

Tulikutana tu maeneo ya kazi tukakubaliana tuwe tunapozana kwa sababu sote tuna wapenzi wetu ila wako mbali.

Kwa hiyo mimi namhurumia tu yeye kwa abortion zile ki-afya siyo nzuri kwake, na kiimani/Mungu ni dhambi pia.

Mimi nishamshauri sana atumie contraceprive methods ila hataki, sasa mimi nifanyeje, nimeamua nimkimbie tu ili mabalaa yasije kuzidi
 
Habari wana jamvi.

Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi.

Sasa bhana haka kabinti kana shida moja nayo ni hii "hakataki kabisa kutumia njia yeyote ya uzazi wa mpango kwa kigezo kwamba zina madhara".

Yaani kondomu anasema mafuta yake yana mdhuru, vidonge vya P2, sijui vijiti na contraceptive methods zote anasema zinaua kizazi, mara sijui atapata cancer.

Yaani ki-ufupi nikimwambiaga kuhusu njia za uzazi wa mpango au kuchukua tahadhari kwa njia za kisasa hatakagi kabisa na ana kasirika hapo hapo.

Kwa hiyo tukiwa na upwiru njia pekee tunazotumiaga ni mbili ambazo ni kalenda (kwake yeye) na kumwaga nje (liko juu yangu mimi).

Sasa hizi njia zote mbili zina risk, naweza nikasema kupata mimba kwa kutumia hizi njia ni 50/50, hazina uhakika wa asilimia 100 kabisa.

Mimi huwa najitahidi kumwaga nje nikikutana nae japo mara moja moja huwa nafeli maana nako siyo kazi rahisi ku-divert njia wakati wa utamu.

Kwenye kalenda hilo anajuaga mwenyewe mimi hata sifatiliagi.

Tatizo ni kwamba ghafla bin vuu anakwambia hazioni siku zake, na kimbilio pekee ni MISO PROSTOL.

Sasa hivi imeshatokea four times kila iki nasa ni kukimbilia MISO PROSTOL elfu sabini naliwa kila ikitokea.

Sasa mimi najiuliza huyu binti kati ya kutumia kondomu au njia yeyote ya uzazi wa mpango na sasahivi ashatoa mimba nne tu akiwa na mimi, kupi kuna madhara zaidi ?

Nishamwambia sana lakini hataki kunielewa sasa nilicho amua mimi ni kwamba nianze tu kumkwepa mdogo mdogo maana naona kama ana masiara na afya yake na maisha yake pia.

Unasema mafuta ya kondom yana madhara alafu unaenda kutoa mimba 4 si usenge huu aisee.

Hata leo nimetoka kumwambia kuhusu hilo amenijibu kuwa "hatokaa atumie njia yeyote ya uzazi wa mpango ya kisasa"

Nika mwambia kwa hiyo unavyotoa mimba ndiyo unafurahia na kuona hakuna madhara ? hana majibu.

Nashindwa kuelewa anashindwaje kuwa mjanja na mkubwa almost 27 years old.

NB : Suala la uzazi wa mpango linadhibitiwa na mwanamke zaidi, sisi wanaume ni wa kushirikishwa tu.

Ukifeli wewe mwanamke usidhani mwanaume nitaweza peke yangu, mwanaume akiwa na nyege uwezo wake wa kufikiri hushuka hadi asimia sifuri kabisa.
Nyie ni wauaji...
 
Siyo mchumba wangu wala siyo mpenzi wangu wa kudumu.

Tulikutana tu maeneo ya kazi tukakubaliana tuwe tunapozana kwa sababu sote tuna wapenzi wetu ila wako mbali.

Kwa hiyo mimi namhurumia tu yeye kwa abortion zile ki-afya siyo nzuri kwake, na kiimani/Mungu ni dhambi pia.

Mimi nishamshauri sana atumie contraceprive methods ila hataki, sasa mimi nifanyeje, nimeamua nimkimbie tu ili mabalaa yasije kuzidi
Mkuu,

Ya kwanza katoa.

Ya pili katoa.

Ya tatu katoa.

Ya nne katoa.

Umemhurumia kweli au ushafanya huu mchezo wenu sasa?
 
Hakuna cha mimba hapo unapigwa tu unless uwe una ushahid kua ni kweli alipima akakutwa na ujauzito.Mabinti wengi wanafanya hivyo kwa lengo la kujipatia pesa tu trust me.
 
"ishini nao kwa akili"

Hivi mna hakika haya mafurushi ya kizazi hiki yana hiyo akili kweli๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†
Hii ingredient kuna uwezekano imepunguzwa au haiwekwi tena aisee!!
 
Mkuu,

Ya kwanza katoa.

Ya pili katoa.

Ya tatu katoa.

Ya nne katoa.

Umemhurumia kweli au ushafanya huu mchezo wenu sasa?
Mkuu imetosha, upwiru hauna akili sana hasa ukishindwa kuudhibiti.

Ila kwa kiasi kikubwa nampa lawama mwanamke, anajua kabisa kabisa matokeo ya kunyanduana bila kinga ni Mimba lakini bado kinga anakataa kuwa zina madhara.

Aninyime basi papuchi kwa usalama wa mimba zisizo tarajiwa, bado haninyimi ananiletea kila wiki, ikinasa anasema yu lugha rahisi "kalete miso tuje tu-flash" yaani hata hajutii huyu binti sijui ni mngoni wa kizazi kipi
 
Back
Top Bottom