makugegamba
Member
- Mar 1, 2017
- 46
- 48
hayo na mim yanikuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa TAJIRI, Cha kukushauri chunga utajiri wako asije kukufanya uwe masikiniNimetembelewa na mdada mrembo (pisi kali kweli), kwa sasa anakaribia wiki kukaa hapa kwangu. Anategemea by jumapili ijayo aweze kuondoka.
Tangu amefika kwangu, hela imekuwa haitulii. Kila siku hela inatoka tu, na mbaya zaidi anaujauzito wangu unaokaribia mwezi.
Leo atakuambia, naomba hela ya kusafisha kucha, mara hela ya kunyoosha wigi, mara nipe hela kidogo nitume nyumbani, mara hela ya mafuta ya kung'arisha ngozi yanagharimu elfu 60, mara nipe hela nikanunue chakula, na akishanunua hicho chakula hali; mpaka nyumba imekuwa na mabaki ya vyakula ambavyo havijatumika.
Mbaya zaidi, majuzi aliniomba twende 'club' kwa sababu ni mtu anayependa sana mziki; kwa upande wangu nikawa sijisikii vizuri, nikamwambia siwezi kwenda. Akanilazimisha, ikabidi nimruhusu yeye mwenyewe aende.
Alipoenda huko kwenye starehe akajisahau kurudi nyumbani; nikawa nampigia simu mpaka saa saba usiku hajarudi; kwa hasira, nikachukua nguo zake nikaanza kuzichana chana, kwa kuhisi labda yuko na mtu mwingine.
Asubuhi, akarudi huku anamajeraha mkononi; kwa sababu alipata ajali ya boda boda usiku wakati akirudi nyumbani. Wasamaria wema, wakambeba na kumpeleka hospitali kwa sababu alikuwa amezimia.
Baada ya kunipa hayo maelezo; ilibidi niende hospitali pamoja na kulipa bill. Lakini roho ikawa inaniuma, kwa kusababisha uharibifu kwenye nguo zake.
Ikabidi niingie gharama ya kumnunulia mavazi upya; hapa natamani hata leo aondoke, kutokana na hasara anazonipa.
Tupe stori mkuuhayo na mim yanikuta
Hapa ndo umeharibu kabisa.. umekosea sana 🙄Mbaya zaidi, majuzi aliniomba twende 'club' kwa sababu ni mtu anayependa sana mziki; kwa upande wangu nikawa sijisikii vizuri, nikamwambia siwezi kwenda. Akanilazimisha, ikabidi nimruhusu yeye mwenyewe aende
😂 😂 😂Hakikisha mwanao haanzi mapenzi ukubwani
Ni mchepuko mkuu, kwa hiyo sikupenda kumbana banaHapa ndo umeharibu kabisa.. umekosea sana 🙄
Asubuhi, akarudi huku anamajeraha mkononi; kwa sababu alipata ajali ya boda boda usiku wakati akirudi nyumbani. Wasamaria wema, wakambeba na kumpeleka hospitali kwa sababu alikuwa amezimia.
.
Tupe stori mkuu, tuweze kujifunzaHapa alikupiga kitu kizito,
Kazichanga karata zake vizur Sana.
Hii mbinu alotumia niliwai simuliwa mahali
Nashukuru sana kwa huu ushauriPanga safar ya kikazi mwambie kuna safar ya dharula chukua kabegi kako paki vinguo viwil vitatu alafu asubui sana mwite boda wako afanye aje akuchukue na ww mda huo huo apaki vinguo vyake asepe alafu ukiona kashapotea unarud zako geto maisha yanasonga
Hizo nguvu unazopoteza kwa michepuko!!!!!! Omba sana Mungu akufikishe uwashuhudie watakaofika kidato.,,,Hatakiwi kujua kwa sasa, mpaka mtoto azaliwe na afikie kidato cha kwanza ndio ajue
Kwahiyo hospitali walimruhusu arudi nyumbani bila kulipa bill? Umesema alijisahau kurudi nyumbani na wakati huohuo unasema alipata ajali. Ajali na kujisahau vinaingilianajeNimetembelewa na mdada mrembo (pisi kali kweli), kwa sasa anakaribia wiki kukaa hapa kwangu. Anategemea by jumapili ijayo aweze kuondoka.
Tangu amefika kwangu, hela imekuwa haitulii. Kila siku hela inatoka tu, na mbaya zaidi anaujauzito wangu unaokaribia mwezi.
Leo atakuambia, naomba hela ya kusafisha kucha, mara hela ya kunyoosha wigi, mara nipe hela kidogo nitume nyumbani, mara hela ya mafuta ya kung'arisha ngozi yanagharimu elfu 60, mara nipe hela nikanunue chakula, na akishanunua hicho chakula hali; mpaka nyumba imekuwa na mabaki ya vyakula ambavyo havijatumika.
Mbaya zaidi, majuzi aliniomba twende 'club' kwa sababu ni mtu anayependa sana mziki; kwa upande wangu nikawa sijisikii vizuri, nikamwambia siwezi kwenda. Akanilazimisha, ikabidi nimruhusu yeye mwenyewe aende.
Alipoenda huko kwenye starehe akajisahau kurudi nyumbani; nikawa nampigia simu mpaka saa saba usiku hajarudi; kwa hasira, nikachukua nguo zake nikaanza kuzichana chana, kwa kuhisi labda yuko na mtu mwingine.
Asubuhi, akarudi huku anamajeraha mkononi; kwa sababu alipata ajali ya boda boda usiku wakati akirudi nyumbani. Wasamaria wema, wakambeba na kumpeleka hospitali kwa sababu alikuwa amezimia.
Baada ya kunipa hayo maelezo; ilibidi niende hospitali pamoja na kulipa bill. Lakini roho ikawa inaniuma, kwa kusababisha uharibifu kwenye nguo zake.
Ikabidi niingie gharama ya kumnunulia mavazi upya; hapa natamani hata leo aondoke, kutokana na hasara anazonipa.
Hapo sasa.... Yani sitaki natakaSi umpe nauli aende kwao
Siyo..."HUYU BINTI"...Andika ..."HUYU MWENZANGU,MCHUMBA WANGU,MKE AMBAYE SIJAFUNGA NAYE NDOA"...Vitu kama hivyo.Halafu,kaa pamoja naye muelimishane kuhusu bajeti,matumizi ya lazima na yasiyo ya lazima na namna ya kujidhibiti kulingana na majukumu katika umri.Nimetembelewa na mdada mrembo (pisi kali kweli), kwa sasa anakaribia wiki kukaa hapa kwangu. Anategemea by jumapili ijayo aweze kuondoka.
Tangu amefika kwangu, hela imekuwa haitulii. Kila siku hela inatoka tu, na mbaya zaidi anaujauzito wangu unaokaribia mwezi.
Leo atakuambia, naomba hela ya kusafisha kucha, mara hela ya kunyoosha wigi, mara nipe hela kidogo nitume nyumbani, mara hela ya mafuta ya kung'arisha ngozi yanagharimu elfu 60, mara nipe hela nikanunue chakula, na akishanunua hicho chakula hali; mpaka nyumba imekuwa na mabaki ya vyakula ambavyo havijatumika.
Mbaya zaidi, majuzi aliniomba twende 'club' kwa sababu ni mtu anayependa sana mziki; kwa upande wangu nikawa sijisikii vizuri, nikamwambia siwezi kwenda. Akanilazimisha, ikabidi nimruhusu yeye mwenyewe aende.
Alipoenda huko kwenye starehe akajisahau kurudi nyumbani; nikawa nampigia simu mpaka saa saba usiku hajarudi; kwa hasira, nikachukua nguo zake nikaanza kuzichana chana, kwa kuhisi labda yuko na mtu mwingine.
Asubuhi, akarudi huku anamajeraha mkononi; kwa sababu alipata ajali ya boda boda usiku wakati akirudi nyumbani. Wasamaria wema, wakambeba na kumpeleka hospitali kwa sababu alikuwa amezimia.
Baada ya kunipa hayo maelezo; ilibidi niende hospitali pamoja na kulipa bill. Lakini roho ikawa inaniuma, kwa kusababisha uharibifu kwenye nguo zake.
Ikabidi niingie gharama ya kumnunulia mavazi upya; hapa natamani hata leo aondoke, kutokana na hasara anazonipa.
Kama mkandarasi mwenye mradi wa bilioni anafanya kazi kwa mali kauli; inashindikana vipi kwa maeneo mengine kutoa huduma ya namna hiyo? Tujifunze kusoma makala au kutembelea maeneo mbalimbali, ili kupata ufahamu.Kwahiyo hospitali walimruhusu arudi nyumbani bila kulipa bill? Umesema alijisahau kurudi nyumbani na wakati huohuo unasema alipata ajali. Ajali na kujisahau vinaingilianaje
Kwakweli aisee anajitekenyaHapo sasa.... Yani sitaki nataka
Ndio na unajua ukijitekenya uwez cheka..... Nkiangalia kwa makini anacheka mnoKwakweli aisee anajitekenya
Heheheheh uwiiiihHuyu ni mchepuko, ndio maana simpi ukaribu wa kutosha; nilipenda kuzaa naye kwa sababu ya muonekano wake kuwa mzuri tu.