Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Pole sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulichokitafuta umejipata. Ushanasa mtegoni.Huyu ni mchepuko, ndio maana simpi ukaribu wa kutosha; nilipenda kuzaa naye kwa sababu ya muonekano wake kuwa mzuri tu.
😃 😃 😃 😃 😃 😃 eti ajali na kujisahau vinaingilianaje... hili la kuruhusiwa bila kulipa bill lina ukakasiKwahiyo hospitali walimruhusu arudi nyumbani bila kulipa bill? Umesema alijisahau kurudi nyumbani na wakati huohuo unasema alipata ajali. Ajali na kujisahau vinaingilianaje
Nimetumia hii mbinu, ameweza kuondokaPanga safar ya kikazi mwambie kuna safar ya dharula chukua kabegi kako paki vinguo viwil vitatu alafu asubui sana mwite boda wako afanye aje akuchukue na ww mda huo huo apaki vinguo vyake asepe alafu ukiona kashapotea unarud zako geto maisha yanasonga
Imani yangu ni kuwa na mke mmoja tuAondoke kwann oa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu mabandidu khaaaaNimetumia hii mbinu, ameweza kuondoka
Inabidi kuwa makini mkuuChanzo Cha Mabaya ni Pesa na Wasichana Chunga Sana alishasema Salu-T.
Lakini imani yako inakuruhusu kuwa na michepuko, hilo linajulikana.Imani yangu ni kuwa na mke mmoja tu
Ndio hivyo mkuu, ungekuwa wewe ungefanyaje?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu mabandidu khaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ke wako wengi sana kuliko Me, ndio maana tunawafarijiLakini imani yako inakuruhusu kuwa na michepuko, hilo linajulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkeo/mchumba yuko wapi?Huyu ni mchepuko, ndio maana simpi ukaribu wa kutosha; nilipenda kuzaa naye kwa sababu ya muonekano wake kuwa mzuri tu.
Mkoa tofautiMkeo/mchumba yuko wapi?
Mkuu kuwa mwanaume basi acha kuwa kama umebalehe karibuni
Naye wanajimegea🏃🏃🏃Mkoa tofauti
Na maandiko yapo yanayosema muwafariji???Ke wako wengi sana kuliko Me, ndio maana tunawafariji
Ningemuacha hadi ajifungue,yaani hadi mtoto afike kidatoNdio hivyo mkuu, ungekuwa wewe ungefanyaje?
Aa wapi, na bi mkubwa akijua? Akajifungulie kwake, huduma zingine atazipata huko huko.
Hivi yale mafuta ni milele au ni kwa kipindi kile tunasoma tu.Siku vichocheo vikiondolewa kwenye mwili wa mwanaume, taasisi ya ndoa itakufa siku hiyo hiyo.
Heri yetu sisi tuliosoma shule za boys. Tulikuwa tunawekewa 'mafuta ya taa' kwenye maharage kwa hiyo miili 'haitusumbui' [emoji3][emoji3][emoji3]