mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Hapa ndio kosa la kiufundi lilipoHuyu ni mchepuko, ndio maana simpi ukaribu wa kutosha; nilipenda kuzaa naye kwa sababu ya muonekano wake kuwa mzuri tu.
Muda utasema tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndio kosa la kiufundi lilipoHuyu ni mchepuko, ndio maana simpi ukaribu wa kutosha; nilipenda kuzaa naye kwa sababu ya muonekano wake kuwa mzuri tu.
Nipe suluhisho mkuuHapa ndio kosa la kiufundi lilipo
Muda utasema tuu
Unajuaje ni yako?Kweli mkuu, anasema ata akiwa mzee lazima awe smart, kwa sababu mimi nilimuona na kumpenda kwa sababu ya muonekano wake mzuri; kwa gharama anazonipatia, natamani nikae pembeni, ingawa anaujauzito tayari.
Hatakiwi kujua kwa sasa, mpaka mtoto azaliwe na afikie kidato cha kwanza ndio ajue
Niombee, niweze kutoka kwenye hiki kitanzi😂😂😂Malipo ya vacation aliyokuja kukutembelea yamezaa matunda safi sana...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikupe pole jirani...na niseme hiiviii umepatikana
Wewe ni MAARUFU huko hospitali? Acha kutufanya watoto basi.Walipambana kuokoa uhai kwanza; wapo wanaojali uhai kwanza, pesa inafuata mkuu
Nb: alijitambulisha ni mgeni wa nani.
Siku za hatari tulikuwa kwenye honeymoonUnajuaje ni yako?
Walipambana kuokoa uhai kwanza; wapo wanaojali uhai kwanza, pesa inafuata mkuu
Nb: alijitambulisha ni mgeni wa nani.
Ishi na watu vizuri, uweze kuvaa viatuWewe ni MAARUFU huko hospitali? Acha kutufanya watoto basi.
SocializationBig Don au sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 yanatokea tu mkuu, kwa mfano, ukipishana na pisi kali barabarani huwa humtazami?Hivi huwa wakati mnafanya yote hayo huwa mnalogwa kwanza ama.!?
...Kama unatumywesha Chawa MkandaaNimetembelewa na mdada mrembo (pisi kali kweli), kwa sasa anakaribia wiki kukaa hapa kwangu. Anategemea by jumapili ijayo aweze kuondoka.
Tangu amefika kwangu, hela imekuwa haitulii. Kila siku hela inatoka tu, na mbaya zaidi anaujauzito wangu unaokaribia mwezi.
Leo atakuambia, naomba hela ya kusafisha kucha, mara hela ya kunyoosha wigi, mara nipe hela kidogo nitume nyumbani, mara hela ya mafuta ya kung'arisha ngozi yanagharimu elfu 60, mara nipe hela nikanunue chakula, na akishanunua hicho chakula hali; mpaka nyumba imekuwa na mabaki ya vyakula ambavyo havijatumika.
Mbaya zaidi, majuzi aliniomba twende 'club' kwa sababu ni mtu anayependa sana mziki; kwa upande wangu nikawa sijisikii vizuri, nikamwambia siwezi kwenda. Akanilazimisha, ikabidi nimruhusu yeye mwenyewe aende.
Alipoenda huko kwenye starehe akajisahau kurudi nyumbani; nikawa nampigia simu mpaka saa saba usiku hajarudi; kwa hasira, nikachukua nguo zake nikaanza kuzichana chana, kwa kuhisi labda yuko na mtu mwingine.
Asubuhi, akarudi huku anamajeraha mkononi; kwa sababu alipata ajali ya boda boda usiku wakati akirudi nyumbani. Wasamaria wema, wakambeba na kumpeleka hospitali kwa sababu alikuwa amezimia.
Baada ya kunipa hayo maelezo; ilibidi niende hospitali pamoja na kulipa bill. Lakini roho ikawa inaniuma, kwa kusababisha uharibifu kwenye nguo zake.
Ikabidi niingie gharama ya kumnunulia mavazi upya; hapa natamani hata leo aondoke, kutokana na hasara anazonipa.
Kwa nini mkuu...Kama unatumywesha Chawa Mkandaa
..!
Mke ninaye, huyu ni mchepuko tuAiseeh huyo hamuendani kabisa kuwa mke wako! hapo mnapotezeana muda tu
duuh aiseeh kaa mbali naye huyoMke ninaye, huyu ni mchepuko tu
Namtafutie 'gap' tu; niweze kupambana na hali yanguduuh aiseeh kaa mbali naye huyo