Huyu binti kiukweli nashindwa kumuelewa baada ya kunipa mkopo wa pesa

Huyu binti kiukweli nashindwa kumuelewa baada ya kunipa mkopo wa pesa

Je wadau niendele kukausha mpk aniulize au nimrudishie pesa yake japo nakumbuka kauli yake “WEWE USIJALI MAISHA NI KUSAIDIA UTU NI BORA ZAIDI KULIKO PESA KUWA NA AMANI WALA USIWAZE”
Kama mlikubaliana mkopo,mlipe hela yake,na usiwe unaongelea jambo la pesa kama unaona hakujibu. Cha msingi komaa umlipe hela yake,kisha uone atasemaje.
 
unafeli wapi ndugu yangu rudisha pesa ya watu usitake mpaka akutamkie nimekuachia hizo pesa , unampelekeaje mada za kurudisha pesa wakati huna, usitafute huruma ili akuchie! unachopaswa kufanya ni kumkabizi pesa zake sio kuleta bla bla ! ungekua karibu ningekulamba ata makofi, acha ujinga kabizi mzigo wa watu achukue asichukue hio ni juu yake
 
Mkuu mkopo si hiari. Inakupasa urudishe.

Kama kauli yako ya mwanzoni kabisa ilikuwa kumrudishia basi fanya hivyo.

Anaposema usijali maisha ni kusaidiana, hata Mkopo pia ni msaada. Haimaanishi kakupa bure Mkuu.
 
Mrudishie pesa yake siyo kila mtu anaweza kukumbushia pesa yake.

Ulitaka 40K amekupa 200K ungekua muungwana siku moja mbele ungerudisha 150K na kumuambia umepunguza deni. Badala yake umechikichia yote na sasa hivi unajifanya unataka kusamehewa unamcheki kila siku kushukuru na kujiongelesha utamrudishia ili iweje? Ili aseme kaa nayo?

Siyo tabia nzuri, rudisha pesa yake.
 
Mrudishie pesa yake siyo kila mtu anaweza kukumbushia pesa yake.

Ulitaka 40K amekupa 200K ungekua muungwana siku moja mbele ungerudisha 150K na kumuambia umepunguza deni. Badala yake umechikichia yote na sasa hivi unajifanya unataka kusamehewa unamcheki kila siku kushukuru na kujiongelesha utamrudishia ili iweje? Ili aseme kaa nayo?

Siyo tabia nzuri, rudisha pesa yake.

[emoji23][emoji23][emoji23]binadamu hawakosagi la kusema ila sawa kaka nmekuelewa pesa yake nitairudisha inshallah
 
Mrudishie pesa yake siyo kila mtu anaweza kukumbushia pesa yake.

Ulitaka 40K amekupa 200K ungekua muungwana siku moja mbele ungerudisha 150K na kumuambia umepunguza deni. Badala yake umechikichia yote na sasa hivi unajifanya unataka kusamehewa unamcheki kila siku kushukuru na kujiongelesha utamrudishia ili iweje? Ili aseme kaa nayo?

Siyo tabia nzuri, rudisha pesa yake.

Alaf kaka ilikuw ni big ishu si chini ya lak 6 inatakiwa ndan ya masaa mawili ningefanyaje unasema ningerudisha siku mbili huwez jua ilikuw ni nn na sio kitu simple mzee
 
Mkuu mkopo si hiari. Inakupasa urudishe.

Kama kauli yako ya mwanzoni kabisa ilikuwa kumrudishia basi fanya hivyo.

Anaposema usijali maisha ni kusaidiana, hata Mkopo pia ni msaada. Haimaanishi kakupa bure Mkuu.

Sawa kaka ila sio km nmegoma kumrudishia hela yake nisinukuliwe hvyo
 
unafeli wapi ndugu yangu rudisha pesa ya watu usitake mpaka akutamkie nimekuachia hizo pesa , unampelekeaje mada za kurudisha pesa wakati huna, usitafute huruma ili akuchie! unachopaswa kufanya ni kumkabizi pesa zake sio kuleta bla bla ! ungekua karibu ningekulamba ata makofi, acha ujinga kabizi mzigo wa watu achukue asichukue hio ni juu yake

Mkuu wapi nmeandika simrudishi pesa zake!?
 
Mkuu nikama unahisi au unataka akusamehe na usirudishe sasa nikuulize huko kwa msg huwa unaandika nn kuhusu hyo ela? hakujibu kwasababu anakushangaa yeye hataki stori kuhsu ela anataka vitendo ambavyo ni wewe kulipa. Wewe ni miongoni mwa watu wagumu kulipa deni na umekuja hapa tukupe moyo kwamba usilipe haitaji etc. Hapana blaza lipa deni lipa pesa ya watu.
 
Mrudishie pesa yake siyo kila mtu anaweza kukumbushia pesa yake.

Ulitaka 40K amekupa 200K ungekua muungwana siku moja mbele ungerudisha 150K na kumuambia umepunguza deni. Badala yake umechikichia yote na sasa hivi unajifanya unataka kusamehewa unamcheki kila siku kushukuru na kujiongelesha utamrudishia ili iweje? Ili aseme kaa nayo?

Siyo tabia nzuri, rudisha pesa yake.
Akili kumkichwa
 
Rudisha pesa yake mkuu,mm mwenyewe nikimkopesha mtu huwa sitaki anishukuru sana maana mwengne ukikubali shukrani yake na kusema "karibu tena" kama alivyfanya huyo dada basi wengi huwa hawarudishi na kuchukulia kama walipewa tu na si mkopo tena!

Nazingatia hilo nipo katika maandaliz ya kutoa advance mkuu
 
Mkuu nikama unahisi au unataka akusamehe na usirudishe sasa nikuulize huko kwa msg huwa unaandika nn kuhusu hyo ela? hakujibu kwasababu anakushangaa yeye hataki stori kuhsu ela anataka vitendo ambavyo ni wewe kulipa. Wewe ni miongoni mwa watu wagumu kulipa deni na umekuja hapa tukupe moyo kwamba usilipe haitaji etc. Hapana blaza lipa deni lipa pesa ya watu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu nafikri hujaelewa dhamira yako mm sipo hapa kwajili ya huruma ya mtu ili nisamehewe den najua ni jukum langu hilo kwahy nitarejesha hiyo pesa leo au kesho asbh
 
Back
Top Bottom