Mkalimani wa taifa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 753
- 1,290
Mkuu futa huu uzi utapata sonona bure,hapa hatukuachi tunakukaba huu uzi utafika page 200
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu futa huu uzi utapata sonona bure,hapa hatukuachi tunakukaba huu uzi utafika page 200
We moumbavu tu. Ganda la ndizi mtelezo. Umejitafutia visababu mpk umesamehewa. Siwez kuwa proud either na rafiki, kaka, mchumba ama mume wa kariba yako. Ungekua na nia ya kumrejeshea ungeshafanya zamani. Wewe ni dhulumati. Pumbavu weweKitu ambacho sikihitaj hapa ni matusi tu hujaitwa hapa sitak nifungue mdomo wangu juu yako tafadhal itifaki izingatiwe
Hivi umekopa pesa ya mtu halafu unamuuliza, nikulipe? Upuuzi na ush*zi mtupuWe moumbavu tu. Ganda la ndizi mtelezo. Umejitafutia visababu mpk umesamehewa. Siwez kuwa proud either na rafiki, kaka, mchumba ama mume wa kariba yako. Ungekua na nia ya kumrejeshea ungeshafanya zamani. Wewe ni dhulumati. Pumbavu wewe
Nisaidie kushangaa mkuu. Ila ukute tunaongea na mtoto mdogo asiyejitambua bado aisee. Yaan anashangaza mnoHivi umekopa pesa ya mtu halafu unamuuliza, nikulipe? Upuuzi na ush*zi mtupu
Ulitaka kudhulumu wewe, m mkiongea acha kushukuru shukuru kila mda kama omba ombaWakuu nimeamua kuleta update kwenu mm sina tabia ya dhulma ila nimesamehewa deni kwahy na bahat nzur nilimrecord kipind naongea nae ila jins ya kuieka hapa nmeshindwa
Kasamehewa wapi huyo kaamu kumdhulumu binti wa watu mpole,. Huyo binti hawezi kuja kumkopesha mtu mwingine tena kwa hii dhuluma aliyoifanya huyu mbwigaWe moumbavu tu. Ganda la ndizi mtelezo. Umejitafutia visababu mpk umesamehewa. Siwez kuwa proud either na rafiki, kaka, mchumba ama mume wa kariba yako. Ungekua na nia ya kumrejeshea ungeshafanya zamani. Wewe ni dhulumati. Pumbavu wewe
tunakuonyoosha kisawa sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jf kila mtu ni hakimu
[emoji23][emoji23][emoji23] halaf kanataka kunishupazia shingo eti... akifungua mdomo sijui kitanipata nn. Afungue tufunfuliane tu. Kajinga kweli.Kasamehewa wapi huyo kaamu kumdhulumu binti wa watu mpole,. Huyo binti hawezi kuja kumkopesha mtu mwingine tena kwa hii dhuluma aliyoifanya huyu mbwiga
.kumbe uwezo wa kulipa hukua nao na ulikua una mpiga kalenda sanaWakuu nimeamua kuleta update kwenu mm sina tabia ya dhulma ila nimesamehewa deni kwahy na bahat nzur nilimrecord kipind naongea nae ila jins ya kuieka hapa nmeshindwa
Ewaaaah[emoji23][emoji23] anatuona mazoobaaYaan kama namuona alivyompigia na kumuuliza ninataka nikutumie ile pesa ulinikopesha vipi nitume au?